Kazi nzuri sana mkuu wa wilaya ya Temeke

Mwanafunzi akipata uja uzito wanamfukuza shule!
Having said that, kahisi umri unakwenda lakini angefunga ndoa japo ya mkataba!
 
Umejuaje kama hajaolewa?. Punguza maneno ya kimbea yasiyo na uhakika.
 
Unaposhika nafasi ya kumwakikisha Rais kama DC au RC kuna maslahi ya Taifa ikiwemo mahusiano yako. So kulalwa lalwa hovyo nooooo. Ndio maana ana bendera ya Serikali. Huyu
Anatakiwa ajiuzulu mara moja.
Serikali haina dini
 
Hivi DC ndiye mtendaji pale wilayani au mkoani?

Vipi nafasi ya DED ipo wapi hapo na kama jukumu la utendaji kapewa DC sasa nini kazi ya DED?
 
Nani kamdunga mimba DC?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…