Kazi ya kusaka mke / mume ni ngumu sana ukiwa above 30 na umejipata kimaisha. ila mwanamke / mume unamuona anafata hela zako. Ushauri kijana oa mapema

Kwa wapelestina hata binti akiwa na 18, ukimuoa atakupiga na kitu kizito tu.
 
Mkuu vipi sisi tunaomiliki wanawake wengi kadiri umri unavyo sogea tunazidi kuongeza na kuongeza wanawake unatusemeaje ndugu?
 
Give your honest opinion, huyo rafiki yako mbunge ana sura mbaya? Unaeza kuta shida ni mwonekano wake wa kimwili ni mbaya labda binti kiziwi
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…