Mababy daddy washakufa
Kwa hiyo wewe mjane?Mababy daddy washakufa
Ni kweliWaliokufa ni asilimia ndogo sana chini ya moja.
Ma single mother wengi baby dad wao wapo hai..
Na hao ma baby dady ni wasumbufu sana wakijua baby mama wake kapata bwana aliyejipata..
Anakuwa na usumbufu mwingi ili amtese mume wa baby mama wake kisaikolojia
Kwa wapelestina hata binti akiwa na 18, ukimuoa atakupiga na kitu kizito tu.Habari wadau.
Kwa research yangu isiyo rasmi. Kazi ya kusaka mwenza wa maisha ni ngumu sana ukianza kuifanya ukiwa na age above 30s..
Imani yako kwa watu inakuwa ndogo sana kutokana na uhalisia wa ubongo wako ulivyopevuka.
Hii inawatokea vijana wengi wa kiume na wa kike waliojipata. Yaani wenye stable income ama vipato vizuri.
Nikitazama ndugu, jamaa na marafiki ambao wamejipata. Wanateseka sana na hili.
Ushauri wa wazi kwa vijana wadogo wa kiume.
Ni rahisi sana kupata Mke mwema kama ukimpata mapema.. kabla hajazidi 25. Uwe umeshamuwahi.
Wanawake wengi ni wake bora ila experience za maisha zinawabadilisha na kuwa wabaya.
Muhimu umuwahi kabla hajakutana na experience za kumbadilisha na kuendana na mabadiliko hayo. Mkifunga ndoa mapema. Mnagrow mapema.. na imani juu yenu inakuwa kubwa.
Mbeleni ngumu sana kumuamini mtu. Hasa ukiwa umejipata.
Kila mtu unaona anafata faida kwako
Mimi anatupongeza na shemeji yako kwamba bora tumeanza zamani.
Njooo tuyajenge basi,vumlee saniah.Mababy daddy washakufa
Nakuja babaNjooo tuyajenge basi,umlee saniah
Hali ya maisha ya vijana ni ngumu.Vijana wamegoma kuoa
Mkuu vipi sisi tunaomiliki wanawake wengi kadiri umri unavyo sogea tunazidi kuongeza na kuongeza wanawake unatusemeaje ndugu?Habari wadau.
Kwa research yangu isiyo rasmi. Kazi ya kusaka mwenza wa maisha ni ngumu sana ukianza kuifanya ukiwa na age above 30s..
Imani yako kwa watu inakuwa ndogo sana kutokana na uhalisia wa ubongo wako ulivyopevuka.
Hii inawatokea vijana wengi wa kiume na wa kike waliojipata. Yaani wenye stable income ama vipato vizuri.
Nikitazama ndugu, jamaa na marafiki ambao wamejipata. Wanateseka sana na hili.
Ushauri wa wazi kwa vijana wadogo wa kiume.
Ni rahisi sana kupata Mke mwema kama ukimpata mapema.. kabla hajazidi 25. Uwe umeshamuwahi.
Wanawake wengi ni wake bora ila experience za maisha zinawabadilisha na kuwa wabaya.
Muhimu umuwahi kabla hajakutana na experience za kumbadilisha na kuendana na mabadiliko hayo. Mkifunga ndoa mapema. Mnagrow mapema.. na imani juu yenu inakuwa kubwa.
Mbeleni ngumu sana kumuamini mtu. Hasa ukiwa umejipata.
Kila mtu unaona anafata faida kwako
Lazima hii ni kweli kabisa na upendo upo hivyo.Mtoa mada upo sahihi sana.
Kiukweli kitu cha msingi ni kuangalia sifa kuu za Mwanamke unaetaka kuoa.
Kuna Mtu unakuwa nae ktk mahusiano ANAOGOPA kukupteza na wewe UNAOGOPA kumpoteza.
Ukishakuwa ktk aina hii ya mahusiano lazima mtoboe.
Kiukweli tunachanganyikiwa.Ukiwa huna hela, utashauriwa tafuta hela ndo uoe, ukiwa na hela unashauriwa ni bora uoe kabla hujazipata.
Daaah??? Tunachanganyana jaman.
Masingle maza tupo tayari kutulia lakini pia hamtutaki
Hakuna singo maza mtulivuMasingle maza tupo tayari kutulia lakini pia hamtutaki
Sema tu hujawahi kukutana naeHakuna singo maza mtulivu
Nadra mnoo[emoji23][emoji23]Sema tu hujawahi kukutana nae
Give your honest opinion, huyo rafiki yako mbunge ana sura mbaya? Unaeza kuta shida ni mwonekano wake wa kimwili ni mbaya labda binti kiziwiSahihi, nina rafiki yangu mbunge wa Magufuli, amejenga Njendengwa investment area bonge la mjumba above 1B. Anasema hamna kazi ngumu kama kumpata mke kwa umri wake, alipata binti mmoja familia ya kiarabu matajiri, La haula wanamwambia abadili dini amegoma na uhusiano umevunjika .
Hawa wengine wa kibongo anasema wanamdangia tu 😅 Mi hucheka!
[emoji23][emoji23][emoji23]Oa mapema bila hela ugongengewe upate stress ufe , tukuzike baby wako tukamshone vizuri , week moja tu anakusahau ! [emoji23]
Vijana wa kiume kuoa kunahitaji maandalizi weka mazingira sawa ukiona unamudu (nakazia ukiona unamudu) vuta mali ndani !! Wasichana wakuoa wapo ni wengi sana tuliza akili.