Kazi ya Ualimu imeniharibia maisha yangu. Sisemi msiisomee la hasha!

We ni HRO wa wapi?
Ni DHRO, THRO, MHRO, au Mkurugenzi Rasilimali watu?

#YNWA
 
Basi UALIMU ni kazi? Ni watu wanaohangaika kutafuta unga tu, na ukiona mwalimu ana maji ya Dasani mkononi anatembea nayo ujue aliitwa kwenye kikao cha platnum wanaotafuta waombaji wa Mikopo
Acha dharau kuna walimu ni madon kwa sasa , wana business za kutosha hayo maji ya kunywa ni pesa ndogo mno kwao.

Ni kweli salary ya ualimu ni ndogo kimfumo ila kazi ya ualimu ukiwa makini unatoka kimaisha tu kwa sasa.
Ni mfumo tu mbovu wa nchi yetu ila kazi ya ualimu ni njema kabisa
 
Hakika ,
Kuna watembeza maandazi mijini wanaingiza mamilion kwa mwezi kuliko mtu aliyeajiriwa.

Jamaa aheshimu kazi , hatuwezi kulingana katika maisha kamwe
 
Walimu wengi wmetoka familia duni. Mshahara 600+ lakini ukoo mzima wanataka mgao [emoji23][emoji23][emoji23] sasa huyu mtu atatoboa lini jameni?
Kutoka familia duni ni watumishi wengi wauma wametoka familia duni sio walimu tu ,udaktari ,uafisa ugani ,usekretari ,ukutubi ,masjala ,uaskari, wote hao
 
Mkuu hujafafanua ulipata vipi kazi nyingine uliacha au ilikuwaje
 
Kazi ya Ualimu ilikuwa ngumu pale:
  • Shule DED na DEO walipojibinafshia shule za umma kupitia Ike Decentralisation. Kwa sasa mkuu wa shule/ mwalimu mkuu ni mkibarua (kama part time) wa DEO, DED, REO, n.k.
  • Kutaka wanafunzi wenye maandalizi duni kabisa, kushindwa kushindwa kuhesabu, kuandik n.k wafaulu.
  • Kwenye vikao maafisa WA mkoa na wilaya walipoanza kuwafokea wasimamizi wa shule kana kwamba wanafokea ng'ombe kutukana na ufaulu duni ktk eneo husika la utawala; ili hali ukweli unajulikana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…