Kelele zikiwa nyingi na kuwazomoea Bodi Kwa Maamuzi ya Kijinga, msije kushangaa Yanga anapewa Point 3 maana washaanza kuraruana tayar.

Kelele zikiwa nyingi na kuwazomoea Bodi Kwa Maamuzi ya Kijinga, msije kushangaa Yanga anapewa Point 3 maana washaanza kuraruana tayar.

Yanga hawashiki funguo jana wameingiaje uwanjani?
Na mechi ilitangazwa imeghairishwa?Au mlivunja mAgeti kama ulivyo utaratibu wenu?
Soma taarifa iliyotolewa na bosi ya ligi.
Ilitakiwa makolo watoe taarifa kwanza na sio kuvamia, sasa hamna taarifa yoyote ndio maana uwanja ukafungwa mpaka siku ya mechi.

Iko wazi kolo kakimbia mechi.
 
Yanga hawashiki funguo jana wameingiaje uwanjani?
Na mechi ilitangazwa imeghairishwa?Au mlivunja mAgeti kama ulivyo utaratibu wenu?
Mechi iliahirishwa mageti yakiwa wazi, Bodili iliahirisha saa sita ila mageti yalikuwa wazi kabla ya muda huo
 
meneja wa uwanja hajui kanuni?
wapi kwenye kanuni za tff zinasema ukitaka kwenda kufanya mazoezi utoe taarifa?
Taarifa iko hivyo, hawakua na taarifa kama wao bodi ya ligi wameandika hivyo ina maana ni lazima taarifa iwepo kile sio choo cha umma ati kisa una mechi kesho basi unaamua kwenda/kutokwenda bila taarifa ndgu, mbona kitu kidogo hicho.
 
Kwa ile press, Simba walionesha nia ya kutoenda uwanjani, lakini sio kwamba hawakwenda uwanjani. TFF kutoa taarifa ya kuahirisha mchezo, maana yake Simba hawana kosa tena.
 
Mechi iliahirishwa mageti yakiwa wazi, Bodili iliahirisha saa sita ila mageti yalikuwa wazi kabla ya muda huo
kwa hiyo Baada ya kughairisha wakaacha wazi mpaka jioni?
Na yanga nao licha ya mechi kughairishwa wakaenda hivyo wakiwa wanajua hakuna maofisa wa mchezo,marefa wala watu wa bodi ya ligi?
kama ni hivyo Haji manara Apewe hadhi ya udokta wa maono.
 
Taarifa iko hivyo, hawakua na taarifa kama wao bodi ya ligi wameandika hivyo ina maana ni lazima taarifa iwepo kile sio choo cha umma ati kisa una mechi kesho basi unaamua kwenda/kutokwenda bila taarifa ndgu, mbona kitu kidogo hicho.
simba amevunja kanuni gani,? kwenda uwanjani bila taarifa
 
aliyeogopa ni yule aliyemkataza mwenzie asiingie uwanjani akakimbize majini
Timu isipofanya mazoezi mchezo inahairishwa? Iwapo Meneja wa uwanja angeshindwa kusimamia upatikanaji wa umeme nako ingepelekea mchezo kuhairishwa? Iwapo mvua ingenyesha na kupelekea mazoezi kutofanyika nako mechi ingehairishwa? Iwapo foleni ya magari ingekuwa kubwa na kupelea timu ya Simba kufika uwanjani kwa wakati nako ingesababisha mechi kuhairishwa?

Bodi ya Ligi wameshindwa kuwalinda wapenzi wa soka, wao wameegemea kwenye ushabiki bila kuangalia logic.
Yaani upelelezi haujakamilika tayari wameshafikia hitimisho.
 
Utaratibu wa Timu kupewa pointi 3 baada ya timu nyingine kutofika uwanjani upoje? Maana:

1. Ilitakiwa Yanga wafike uwanjani muda wa mchezo husika.

2. Kuwe na viongozi wote wa mechi husika wakiwemo makamishina na refarii uwanjani ambaye atawaongoza waingie uwanjan muda ukifika.

3. Saa moja na robo refarii angepuliza kipyenga kuashiria kuanza kwa mchezo.

4. Refarii angesubiria timu nyingine iingie uwanjani kwa muda wa dakika 15.

5. Baada ya dakika 15 kutimia bila timu nyingine kuingia uwanjani, refarii angemaliza mechi na timu iliyokuwepo uwanjan ingepewa ushindi na alama 3.

Je! kwa jana hayo yote yalikamilika ili Yanga wapewe ushindi na alama 3 kama kichwa cha habari cha bandiko hili kinavyodai?
Wasipokuelewa hapa ndiyo basi tena wameshindikana.

Hakuna hata picha inayoonyesha Yanga waliingia uwanjani na jezi rasmi ya mechi halafu wapo huku mitandaoni wanabwabwaja wapewe pwenti 3 za bure.
 
Hilo haliwezekani, wao ndio walitoa official statement ya kuahirisha mechi na Simba imeifuata hiyo. Hakuna marefa wala officials wengine waliofika uwanjani zaidi ya Uto, hapo unampa Yanga pointi 3 kwa kipi? Kwa Simba kusema 'No reform no Derby'? Huo uamuzi mnaohisi utatolewa ndio walifaa kuufata Simba tuliposema hatushiriki hii mechi wangeacha taratibu zote ziendelee kama kawaida, kwa kumuadhibu hivyo Simba manake nao wanastahili adhabu. Hii ngoma imekaa vibaya kwao.
Simba walitangaza kughairi,Bodi ya ligi ikaja kuahirisha mchezo,bodi ya ligi wasingeahirisha Simba ingeingia kwenye mtego,sasa wanawapaje Yanga points 3 wakati bodi ya ligi imeahirisha mchezo,maofisa hawapo,marefa hawapo halafu point 3 watatoaje.

Maamuzi ni mechi kupangwa upya,ingawa Yanga wamesema hatacheza tena dabi msimu huu ila watacheza tu,siku ya mechi itatangazwa na mgeni rasmi atakuwa Rais halafu viongozi wa siasa kujipendekeza lazima washauri ngoma ipigwe na mechi itachezwa.
 
Kwenye uwanja wowote, timu mwenyeji ndo anakuwa mwenye uwanja kwa wakti huo..!!
yanga hamna uwanja nyie ni timu mwenyeji .hamna mamlaka yoyote kuzuia watu,sema uchawi wenu.
Timu isipofanya mazoezi mchezo inahairishwa? Iwapo Meneja wa uwanja angeshindwa kusimamia upatikanaji wa umeme nako ingepelekea mchezo kuhairishwa? Iwapo mvua ingenyesha na kupelekea mazoezi kutofanyika nako mechi ingehairishwa? Iwapo foleni ya magari ingekuwa kubwa na kupelea timu ya Simba kufika uwanjani kwa wakati nako ingesababisha mechi kuhairishwa?

Bodi ya Ligi wameshindwa kuwalinda wapenzi wa soka, wao wameegemea kwenye ushabiki bila kuangalia logic.
Yaani upelelezi haujakamilika tayari wameshafikia hitimisho.
taarifa ya simba inasema aliyezuia mazoezi ya simba ni makomandoo wa utopolo sio meneja wa uwanja.wekeni sawa kwanza hapo.
 
yanga hamna uwanja nyie ni timu mwenyeji .hamna mamlaka yoyote kuzuia watu,sema uchawi wenu.

taarifa ya simba inasema aliyezuia mazoezi ya simba ni makomandoo wa utopolo sio meneja wa uwanja.wekeni sawa kwanza hapo.
Timu mwenyeji ndo inakuwa yenye uwanja kwa wakati huo.
 
Na hii ndiyo hoja yangu Chief. Bodi wamenunua kesi, hapa kilichobaki ni Uto kuwaonesha kazi kitu ambacho nina doubt kama mtaweza mana na nyie mna makando kando yenu ambayo bodi wanaweza kuyatumia kama leverage.
Fact
 
Ukiachana ushabiki unaweza kujadili jambo kwa busara zaidi. Itopolo ndiyo kitu gani sasa mkuu. Nani mwenye kithibitisha kuwa hawa ni makomandoo wa Yanga? Tokea lini Serikali ikaeuhusu mamlaka ya Ulinzi wa mali ya umma kama kiwanja ikawa chini ya timu ya mpira?
 
Kamwe nyuma mwiko msitegemee points za mezani eti kwa makelele ya mtandaoni.
Maamuzi ni yaleyale mechi imeghairishwa na itachezwa tar nyingne na niwape pole kuwaambia na mtacheza hiyo tar nyingne iwe mnapenda au kishingo upande
 
Utaratibu wa Timu kupewa pointi 3 baada ya timu nyingine kutofika uwanjani upoje? Maana:

1. Ilitakiwa Yanga wafike uwanjani muda wa mchezo husika.

2. Kuwe na viongozi wote wa mechi husika wakiwemo makamishina na refarii uwanjani ambaye atawaongoza waingie uwanjan muda ukifika.

3. Saa moja na robo refarii angepuliza kipyenga kuashiria kuanza kwa mchezo.

4. Refarii angesubiria timu nyingine iingie uwanjani kwa muda wa dakika 15.

5. Baada ya dakika 15 kutimia bila timu nyingine kuingia uwanjani, refarii angemaliza mechi na timu iliyokuwepo uwanjan ingepewa ushindi na alama 3.

Je! kwa jana hayo yote yalikamilika ili Yanga wapewe ushindi na alama 3 kama kichwa cha habari cha bandiko hili kinavyodai?
Unajichosha kuwaelewesha hao
 
Suala hili liko wazi. Yanga anastahili point 3 na magoli 3. Kinyume na hapo Bodi ya michezo na TFF waachie ngazi maana wameshindwa kazi.
Amka kwenye ndoto hizo ......mbona tulikubaliana kuwa ndoto ni USIKU?
 
Back
Top Bottom