Kenya: Hakuna pasu kwa pasu tena, Mahakama imeamua wanandoa wanaoachana kila moja achukue chake au kuonyesha ushahidi wa mchango wa mali ya kugawana.

Hakua na haja ya kuuza maana hakuna ndoa. Walikua wanapunguziana ugumu tu
 
well said, Majizo alifanya hii kabla kujenga ile HQ mpya, japo alitolewa mapovu lakini alicheza sana
 
Huku kwetu tungekua nayo HARAKA, kuna MAJAMBAZI ya kike yanaibia sisi kwa mgongo wa ndoa...
 
Wanawake siku zote wanakua na plan B.. Na plan B yao ni kwamba kama sheria ya kugawana 50/50 imefutwa basi kifuatacho ni kumuua mwanaume
 
Enyi wanawake wenzangu amkeni...chakarikeni msikubali ubwenyenye...ona sasa.
Ila msisahua mwisho unapaswa kuyhibitisha vile ulichangia mali au pato la mwenza.
Na wale wanaoua ili wabaki wajane ??

#YNWA
 
Wanawake siku zote wanakua na plan B.. Na plan B yao ni kwamba kama sheria ya kugawana 50/50 imefutwa basi kifuatacho ni kumuua mwanaume
UmewaZa mbali Sana mkuu,
Vifo vitakua vingi Sana aisee[emoji848]
 
Hii ije na Tanzania,watu wanyooke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…