Kenya: Hakuna pasu kwa pasu tena, Mahakama imeamua wanandoa wanaoachana kila moja achukue chake au kuonyesha ushahidi wa mchango wa mali ya kugawana.

Kenya: Hakuna pasu kwa pasu tena, Mahakama imeamua wanandoa wanaoachana kila moja achukue chake au kuonyesha ushahidi wa mchango wa mali ya kugawana.

Kwa sheria hiyo usishangae idafi ya vifo vya wanaume ikazidi kuongezeka. Wanaume watarogwa sana wafe
Tunabadilisha zote, ikiwa watoto wapo wasimamie mali, ikiwa hamna watoto basi Mali zinauzwa/milikiwa na wanafamilia wa mume kwa sababu ndiyo wenye vinasaba naye. Mwanamke abebe yake akaendelee na maisha yake.
 
Mbona huwa ni ivyo ktambo sana Mkuu, wewe mlipe wakili vizuri tu uone kama hakutoi kwenye huo msala.

Tafuta wakili tangu kabla hujaoa sababu ndoa ni mkataba kama mikataba mingine.

Kwenye ndoa unaweza kuwa na mali binafsi na bali za ndoa, na hili lipo kabisa na kuna maamuzi ya Mahakama zetu yamesemea hilo.

Sema tu watu wngi wamefungwa machp na maamuzi kesi ya Bi. HAWA MOHAMMED. Wamegoma kabisa kujifunza zaidi.

Ila all in all inawezekana kabisa Mkuu.
 
Mbona huwa ni ivyo ktambo sana Mkuu, wewe mlipe wakili vizuri tu uone kama hakutoi kwenye huo msala.

Tafuta wakili tangu kabla hujaoa sababu ndoa ni mkataba kama mikataba mingine.

Kwenye ndoa unaweza kuwa na mali binafsi na bali za ndoa, na hili lipo kabisa na kuna maamuzi ya Mahakama zetu yamesemea hilo.

Sema tu watu wngi wamefungwa machp na maamuzi kesi ya Bi. HAWA MOHAMMED. Wamegoma kabisa kujifunza zaidi.

Ila all in all inawezekana kabisa Mkuu.
Bi. Hawa Mohamed Vs Ally Sefu [emoji2]

Mkuu, uko mkoa gani?
 
Sheria hii ni kandamizi kwetu sisi wanaume, ikizingatiwa kwamba sisi ujipanga ipasavyo kabla ya ndoa kuliko wenza wetu.

Ndoa ikivunjika Kila mtu aondoke na kilicho chake. Tabia ya wanawake kuvizia mali zetu , wengine wakienda mbali hadi kututoa uhai ilimradi wamiliki mali zetu siyo nzuri kabisa.

Kama mwanamke alikuja na begi lake moja basi ndoa ikivunjika abebe begi lake moja hilo hilo hakuna cha kugawana mali pasu.

Na tena athibitishe kwamba ni begi lake kweli na alikuja nalo.

Kama ni mapenzi/upendo tunafaidi wote, yaani tena yule mwanamke ambaye hujazaa naye ukitoa mbususu hakuna anacho offer zaidi ya kunyonya mali zako tu.

Hii itapunguza migogoro ya kifamilia, tamaa za wanawake kuvizia mali za wanaume wao.

Kama mmezaa pamoja, mali zibaki kwa mwanaume na watoto. Ikiwa hamjazaa pamoja, ndoa ikivunjika abebe alichokuja nacho tu na kuondoka zake.

HAKUNA KUVIZIA MALI ZETU, WANAWAKE NA NYIE JITUMENI MMILIKI ZENU KWANZA, KABLA YA KUJILENGASHA NA KUNYEMELEA MALI ZETU WANAUME.

Kenya tayari wamepitisha hii sheria, Tanzania tunasubiri nini?
Hata partnership zipo hivyo, cha muhimu ni kusaini prenuptial agreement kabla ya ndoa. Ili ukiondoka unaondoka kama ulivyokuja
 
Sheria hii ni kandamizi kwetu sisi wanaume, ikizingatiwa kwamba sisi ujipanga ipasavyo kabla ya ndoa kuliko wenza wetu.

Ndoa ikivunjika Kila mtu aondoke na kilicho chake. Tabia ya wanawake kuvizia mali zetu , wengine wakienda mbali hadi kututoa uhai ilimradi wamiliki mali zetu siyo nzuri kabisa.

Kama mwanamke alikuja na begi lake moja basi ndoa ikivunjika abebe begi lake moja hilo hilo hakuna cha kugawana mali pasu.

Na tena athibitishe kwamba ni begi lake kweli na alikuja nalo.

Kama ni mapenzi/upendo tunafaidi wote, yaani tena yule mwanamke ambaye hujazaa naye ukitoa mbususu hakuna anacho offer zaidi ya kunyonya mali zako tu.

Hii itapunguza migogoro ya kifamilia, tamaa za wanawake kuvizia mali za wanaume wao.

Kama mmezaa pamoja, mali zibaki kwa mwanaume na watoto. Ikiwa hamjazaa pamoja, ndoa ikivunjika abebe alichokuja nacho tu na kuondoka zake.

HAKUNA KUVIZIA MALI ZETU, WANAWAKE NA NYIE JITUMENI MMILIKI ZENU KWANZA, KABLA YA KUJILENGASHA NA KUNYEMELEA MALI ZETU WANAUME.

Kenya tayari wamepitisha hii sheria, Tanzania tunasubiri nini?
Hakuna sheria katika nchi hii inayosema mkiachana na mke mgawane pasu kwa pasu
 
Hakuna sheria katika nchi hii inayose.a mkiacha na mke mgawane pasu kwa pasu
Kama hakuna why mnashupalia mgawanyo sawa, wa mali, pindi kukitokea matatizo?.

Madawati ya jinsia, ndugu, mahakama, madhehebu mpaka wewe mnasimama kidete watoke pasu!.

Ile sheria ya Kenya nzuri sana yaani, kumbuka mahakama zetu hazina ubavu kufanya hivi ni mpaka wanasiasa waseme, Yes!.
 
Kama hakuna why mnashupalia mgawanyo sawa, wa mali, pindi kukitokea matatizo?.

Madawati ya jinsia, ndugu, mahakama, madhehebu mpaka wewenasimama kidete watoke pasu!.

Ile sheria ya Kenya nzuri sana yaani, kumbuka mahakama zetu hazina ubavu kufanya hivi ni mpaka wanasiasa waseme, Yes!.
Mahakama ipi imewahi sema mke na mume wakiachana lazima wagawane mali pasu kwa pasu!?
 
Sheria hii ni kandamizi kwetu sisi wanaume, ikizingatiwa kwamba sisi ujipanga ipasavyo kabla ya ndoa kuliko wenza wetu.

Ndoa ikivunjika Kila mtu aondoke na kilicho chake. Tabia ya wanawake kuvizia mali zetu , wengine wakienda mbali hadi kututoa uhai ilimradi wamiliki mali zetu siyo nzuri kabisa.

Kama mwanamke alikuja na begi lake moja basi ndoa ikivunjika abebe begi lake moja hilo hilo hakuna cha kugawana mali pasu.

Na tena athibitishe kwamba ni begi lake kweli na alikuja nalo.

Kama ni mapenzi/upendo tunafaidi wote, yaani tena yule mwanamke ambaye hujazaa naye ukitoa mbususu hakuna anacho offer zaidi ya kunyonya mali zako tu.

Hii itapunguza migogoro ya kifamilia, tamaa za wanawake kuvizia mali za wanaume wao.

Kama mmezaa pamoja, mali zibaki kwa mwanaume na watoto. Ikiwa hamjazaa pamoja, ndoa ikivunjika abebe alichokuja nacho tu na kuondoka zake.

HAKUNA KUVIZIA MALI ZETU, WANAWAKE NA NYIE JITUMENI MMILIKI ZENU KWANZA, KABLA YA KUJILENGASHA NA KUNYEMELEA MALI ZETU WANAUME.

Kenya tayari wamepitisha hii sheria, Tanzania tunasubiri nini?
Sheria za Tanzania zinakubali prenup agreement ? Kama zinakubali, na wewe una wasiwasi siku za mbele basi mnafanya makubaliano kabla ya ndoa.
 
Back
Top Bottom