Kenya: Ilikuaje hadi mtu mmoja anaua watu 42 bila polisi kujua?? Je muuaji ni mwerevu kuliko vyombo vya usalama?

Kenya: Ilikuaje hadi mtu mmoja anaua watu 42 bila polisi kujua?? Je muuaji ni mwerevu kuliko vyombo vya usalama?

Uongo tupu.

Hiyo ni Spinning Propaganda inayofanywa na Wafuasi wa Rais William Ruto na Utawala wake ili kuwazuga Raia hususani Vijana wa Gen Z ili kuwapunguzia hasira wasiweze kuuangusha Utawala wake ambao upo umekalia kuti kavu kwa sasa. Hao Polisi na Wapelelezi waliohusika ktk kufanya huo upelelezi uchwara ili kumsafisha Rutto na Utawala wake ili usiondolewe madarakani na vijana wenye hasira kutokana na ugumu wa maisha
NAKAZIA
 
Yes ndio hii,sasa huu ni muendelezo,kuna part one mpaka Tatu,hii ya kukamatwa kwa Daktari live akimtoa mdada pagaleni ni ya jana
mkuu nieleweshe mi nimeona kama igizo vile!!

Maana police hawawezi kumshika mtu kama wanaigiza!!
 
mkuu nieleweshe mi nimeona kama igizo vile!!

Maana police hawawezi kumshika mtu kama wanaigiza!!
Sio maigizo ni true,lakini chanzo cha kujulikana ni huyo mwenye hiyo Youtube Channel Senior Dave ndie aliyevumbua baada ya kuwakuta jamaa na demu wake na kuwafanyia challenge Loyalty Test,kisha akawashirikisha Polisi ndio ukamataji wa watuhumiwa wengine ukaendelea
 
Watupumzishe Jamani. Kwa hiyo muuaji alikuwa anangojea watu waandamane ndiyo aanze kuua?.

Polisi wametafuta mtu wa kumtupia mzigo, wao ndiyo wanahusika.
 
Back
Top Bottom