- Thread starter
- #61
Hapana.
Sikubaliani na wewe kwamba hatujawahi kupata uongozi wenye dira miaka zaidi ya 60 toka tupate uhuru.
..Tanzania tuna ardhi nzuri.
.. Pia siasa safi kuliko Kenya.
..Vilevile uongozi bora na wenye dira kuliko Kenya.
..Kwanini wako vizuri ktk viwanda, na sasa wanaelekea kutuzidi kwenye kilimo na hata ufugaji?