Kenya inaongoza uzalishaji Avocado Afrika. Tusipokuwa makini chini ya CCM kuna siku Kenya itailisha Tanzania

Kenya inaongoza uzalishaji Avocado Afrika. Tusipokuwa makini chini ya CCM kuna siku Kenya itailisha Tanzania

Hv unapata wap muda wa kumjibu hyyu nguchiro?????
tatizo lako unamahaba amboyo yanakufanya ubishe vitu vipo adharani panda gari nenda hai shuka kwa sadala tembelea shamba la kibohehe ujuonee mwenyewe picha za nini nchi yetu sote tumecheza chipukizi tumeimba nyimbo za kusifu chama pendwa sana hata kuliko wewe ila kama wanateleza kubalini kukosolewa na pia mjirekebishe mwekezaji alikuwa anaingiza watu 1000kwa siku kwa 5000per day unadhani zilikuwa zinapona kaya ngapi pale alikuwa ameandaa heka 1000za parachichi unadhani leo hii tungekuwa tunapata kodi shilingi ngapi kisa walishindwana mkuu wa wilaya eti kumkomoa mbowe shame on you
 
Hamna lolote,wenzenu serikali yao inawatafutia watu wao fursa za masoko ya nje
Ehe tz je,wanaofanya export ni wachache sana na hao hao kila kukicha ndy wanataka wawe mabilionea....

Ova
Hao hao ndio wauza ngada
Yaani hawawezi kupambana bila madawa wengi wao

Avocados zinauzwa kwa bei ya kutupa zinaenda SA na Kenya halafu hizooo ulaya
 
Nchi yetu sijui Ina shida gani, na nani anaweza kuitatua, karibu Bei za mazao yote hadi Madini ni ndogo kuliko kwa majirani, ndio maana Kagera wanatorosha kahawa Kwenda Uganda, wa zenj wanatorosha karafuu Kwenda Kenya, parachichi zinapelekwa kwanza Kenya ndio ziuzwe kimataifa, dhahabu , Tanzanite zinatoroshewa Kenya.

Kwa Nini majirani hawatoroshi bidhaa zao kuleta TZ? Ni sababu sisi ndio tuna bei za karibu na bure. Kwenye Kipindi Cha DW mkenya mmoja anahojiwa anadai mti mmoja wa AVocadro unamsomesha mtoto shule ya private kwa mwaka, TZ hata uwe na acre huwezi.
 
..Ni kama tumeamka toka USINGIZI mzito.

..wakati Tanzania tunasaini mkataba wa kupeleka Avocado China, ndugu zetu wa Kenya walishakuwa huko kitambo.

..Na ktk miezi minne mauzo ya Avocado yao China yana thamani ya usd 57 million.
.
Hiyo ndio diplomasia ya DK.Samia Sasa.
 
Hiyo ndio diplomasia ya DK.Samia Sasa.

..ndio tatizo letu Watanzania.

..tunaabudu wanasiasa na Raisi kupita kiasi.

..Kenya kwenye mambo yao ya biashara, kilimo, ufugaji, utalii, huwezi kuwasikia wanamtaja-taja na kumtukuza Raisi wao.

..Kwa hapa Tanzania, mfanyabiashara, au mkulima, akizungumza sentensi tatu, moja atamtukuza raisi au mwanasiasa.

..Tubadilike KIFIKRA.
 
..ndio tatizo letu Watanzania.

..tunaabudu wanasiasa na Raisi kupita kiasi.

..Kenya kwenye mambo yao ya biashara, kilimo, ufugaji, utalii, huwezi kuwasikia wanamtaja-taja na kumtukuza Raisi wao.

..Kwa hapa Tanzania, mfanyabiashara, au mkulima, akizungumza sentensi tatu, moja atamtukuza raisi au mwanasiasa.

..Tubadilike KIFIKRA.
Hawana namna lazima wamtaje Rais.

Matunda ya diplomasia

 
Hawana namna lazima wamtaje Rais.

Matunda ya diplomasia



..mbona Kenya hawamtukuzi Raisi wao kama tunavyofanya Tanzania?

..mpaka Kenya wanauza avocado China unadhani hakukuwa na juhudi za kidiplomasia?

..Ni suala la kujiamini na kujitambua. Watanzania tunapaswa kubadilika KIFIKRA.

..Naomba usinitoe kwenye mada.
 
..mbona Kenya hawamtukuzi Raisi wao kama tunavyofanya Tanzania?

..mpaka Kenya wanauza avocado China unadhani hakukuwa na juhudi za kidiplomasia?

..Ni suala la kujiamini na kujitambua. Watanzania tunapaswa kubadilika KIFIKRA.

..Naomba usinitoe kwenye mada.
Walishamtukuza walipopata hiyo fursa,uwe unafuatilia hotuba za ma hasla basi
 
Wakuu tujaribu kuangalia mambo haya mawili.

1.Kwa nini ni rahisi kupitishia avos bandari ya Mombasa kuliko dar, yaani mzigo unatoka Mbeya, badala ya kupitia Dar port, wafanya biashara wanaona rahisi kupitishia Mombasa sababu ya miundombinu na urasimu pale bandarini. Sasa data zote za export za matunda zitakuwa zinasoma kama origin ni Kenya kumbe avos zingine zimetoka Songea. Vivyo hivyo kwenye airport zetu.

2. post harvest storage, hatuna kabisa hii huduma na hivyo mzigo wetu mwingi hupotea kabla ya safari, wenzetu wana huduma hii na hivyo kuongeza quantity ya final product sokoni.
 
..Majirani wako makini kwelikweli ktk masuala ya kilimo, na wanazingatia viwango.

..angalia video hizi mbili kuna mengi ya kujifunza kuhusu namna ya kufanya kilimo.




Sisi ni kuwasha mwenge kulikotutoa akili au kitu gani? Mbona hatuna focus na chochote?
 
Back
Top Bottom