Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Safari ipi hiyo ?! Ya kung'ang'ania kubaki ktk ujinga ?!. Tukubali kushindana na hii ni kama hatutaki tena malalamiko, ya kuwa wanyonge kwa waUganda na waKenya, ktk lolote ikiwemo viwanda na utalii na miundombinu.Mkuu odhiambo safari ndio ishawadia hiyo,kua mpole
Lakini hili la mtu kushindwa interview dhidi ya hao jamaa, halafu anakimbilia Tiss kudai ni majasusi haitaisaidia nchi.