Kenyan economy is 90 % white dominated while Tanzanian economy is 80 localy dominated by Tanzanians

Kenyan economy is 90 % white dominated while Tanzanian economy is 80 localy dominated by Tanzanians

Jenga hoja sio matusi au unapo comment hutaki watu wa argue?
Kama ww unatumia akili nani asie na akili?
Kwani ratio ya matajiri wa Marekani na wananchi wa kawaida ikoje? Kwani Marekani hakuna Ombaomba ? na kwenye majukwaa uchumi wao unazungumziwaje?
Alieleta huu uzi hajasema kuhusu inclusive economy na unaweza ukaongoza kwenye inclusive economy nchi ikawa haiendi mbele...
Ndiyo sababu nikakuuliza unatumia akili au?, Kichwa cha habari cha hii mada kinasema 90% ya uchumi wa Kenya upo mikononi mwa wageni, hiyo inatofauti gani na inclusive economy?, hayo ya Marekani na nchi kwenda mbele hueleweki unachotaka kukisema, tulia kisha fikiria kabla ya kuandika kitu unachotaka watu wengine wachangie, kumbuka kuna watu wenye uwezi tofauti na wewe, jaribu kuwa makini ktk kujenga hoja zako.
 
Nairobi slum population- 5%
Dar slum population- 70%

Maskini wa kutupwa nyinyi ndo maana mmejaza omba omba kila mahali Kenya...hadi lodwar, Turkana utawapata tu omba omba wa Tanzania
Uongo huu walahi
 
Nimekuambie ulete hizo Takwimu ulizo sema hapa[emoji107]
6e139ca1b5e17a878036df43f5814905.jpg
 
ahaaa haaa haaa wewe akili zako ni box kweli. hao Waingereza unaosema born in Kenya, wenyewe wanawaona nyingi maboya tu. wanasema a puppy if born in the horse's house can not make it a horse but it will still be a puppy. nyie endeleeni kujidanganya kuwa wao ni wakenya, halafu wakijiita Kenyan cowboys nyie endeleeni kuwakenulia mimeno yenu.
Usimwamshe aliye lala
 
We mwenye high IQ tuelezee kama hii si 70%
b62e2f2e4fe791e8cab99302bf97c21e.jpg

016dbbc3ba5abe79d1df8875cd4cd80a.jpg

Tumewafundisha sana issue ya urban sprawl. Tanzania hakuna slums, bali UNPLANNED SETTLEMENTS. wee kwa akili yako unaweza pata kwenye slums za Kenya property yenye market/fair value ya US$ 1 million? Manzese zipo nyingi tu.
 
Am not shocked by this information, because is the only country and the first one to have two president. Sasa kwanini isiwe na aina hiyo ya uchumi???? But I don't know why Kenyans they hate truth, if you want go with them you have to provide cooked data!! Haha haha hawatakagi ambiwa ukweli kabisa kila kitu ikiwa kwao ni Mbaya watabisha tyu. Shame on you brother.
 
Am not shocked by this information, because is the only country and the first one to have two president. Sas kwanin isiwe na na aina hiyo ya uchumi???? But I don't know why Kenyans they hate truth, if you want go with them you have to provide cooked data!! Haha haha hawatakagi ambiwa ukweli kabisa kila kitu ikiw kwao ni Mbaya watabisha tyu. Shame on you brother

Hapo kuna RAIS WA WANANCHI (walala hoi) halafu na RAIS wa WENYE NCHI (MATAJIRI).
 
Bongolala ni bongolala tu, ukisha mweka kwenye pig sty atastay pale pale tu.
poor LDC
 
Meanwhile Tanzanians are polluting our streets with their begging culture

 
Cha kushangaza ni kwamba wazungu hawajafika hata 1% ya 'population' yote ya Kenya. Kwa hivyo hesabu yako ni ya kukariri tu kama ile ya 1,2,3 kwenye shule ya chekechea! Kijana, tembea ujionee kwa macho yako!
Nafikiri utakuwa hujaelewa hiyo takwimu..... Au nayo imepikwa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tanzania trailing behind kenya hehe,LDC mko na kibarua ndugu zetu,to catch up with us.........keep following us in every step of the way,mtakiona !
 
Hivi uchumi wa Dunia unamilikiwa na asilimia ngapi ya watu wote waliopo Duniani?
Kuna wakati Waziri Mkuu wetu Tanzania, aliwahi kuliambia Bunge kwamba Uchumi wa Tanzania unamilikiwa na Watanzania wa nane tu! Na kwamba ukiwashughulikia hao uchumi utayumba! Katika hao Watanzania wanane, sita kati yao ni wenye asili ya Asia.

Nachotaka kusema hapa ni kitu kimoja, kwamba daima idadi ya matajiri ni wachache popote pale duniani, ukilinganisha na masikini!

Suala na weupe/wazungu kumiliki uchumi kuliko weusi hilo sio jambo geni. Ni tatizo la kiasili!
Lkn Watanzania wa leo sijui kwa nini tunayafurahia mabaya ya wenzetu kana kwamba yetu ni mazuri!
Ni ujinga kuwacheka na kuwasimanga Wakenya katika suala la kiuchumi wakati shilingi yao tu ni imara mara 20 kuliko shilingi yetu.
 
A country that lacks the following:
An aviation industry with direct flights to US
Super highways
multiple highway interchanges
Super highways
Multinational corporations
Does not lead in any international recognized sport.
Has no world class universities
Poor medical facilities
Has no supertall skyscrapers
Poor education curriculum,no wonder many of you study here.
Founded on socialism
=Tz
 
Hivi uchumi wa Dunia unamilikiwa na asilimia ngapi ya watu wote waliopo Duniani?
Kuna wakati Waziri Mkuu wetu Tanzania, aliwahi kuliambia Bunge kwamba Uchumi wa Tanzania unamilikiwa na Watanzania wa nane tu! Na kwamba ukiwashughulikia hao uchumi utayumba! Katika hao Watanzania wanane, sita kati yao ni wenye asili ya Asia.
Nachotaka kusema hapa ni kitu kimoja, kwamba daima idadi ya matajiri ni wachache popote pale duniani, ukilinganisha na masikini!
Suala na weupe/wazungu kumiliki uchumi kuliko weusi hilo sio jambo geni. Ni tatizo la kiasili!
Lkn Watanzania wa leo sijui kwa nini tunayafurahia mabaya ya wenzetu kana kwamba yetu ni mazuri!
Ni ujinga kuwacheka na kuwasimanga Wakenya katika suala la kiuchumi wakati shilingi yao tu ni imara mara 20 kuliko shilingi yetu.
Huyu mwengine mjinga #,hajui maana ha inclusive economy na economic balance # nchi inaweza ikawa na uchumi mkubwa lakin ina maskini wengi kuzidi nchi yenye uchumi mdogo# kwa mfano huku South America Brazil ni nchi yenye uchumi mkubwa compared all countries in south america lakin ni nchi maskini na raia wake wengi ni maskin ukifanisha na McGowan zenye uchumi mdogo kama Uruguay ,Argentina na chile ambayo ndio the only first world county in the south America
 
Back
Top Bottom