Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Joanah the baby-sitter.😂Aseee nilishawahi kupewa majukumu ya kulea kwa masaa mengi sana ya ile safari
Mbaya zaidi watoto wanakula kila muda huku mimi nikiwa kinyume chao....sipendi kabisa kula safarini na huwa naomba nisikae na mtu anayekula kula hovyo
Yule mama alikata siti moja wakati ana watoto wadogo wawili...wabongo safari ya kustaarabika bado ni ndefu sana!!!!
Komenti yako imeibua hasira upya ya ile safari
Ofisini kwetu wameleta utaratibu mpya wa staff kupanda mabasi badala ya ndege.jf kuna watu mnapanda bus si mlisema mnatumia ndege
Hata kwenye ndege kiongozi hao watu wapo, unamkuta kakaa kimya, ukimwambia anaanza sababu.jf kuna watu mnapanda bus si mlisema mnatumia ndege
Kuna zee moja lilikatalia dirishan na siti ni yangu kwa kumheshimu nikamuacha , sasa Wakat wa safari nikamuomba afungue dirisha akakataa et upepo mkali. Mbona nilimtoa nikakaa mie maana karibu basi Zima walikuwa wamefunga madirisha hewa ikawa nzitoo .Kama gari halitumii AC nitamsihi tu asifunge dirisha. Kuna wengine wanang'ang'ania kukaa upande wa dirisha na wanaogopa upepo. Akikubali masharti haina shida. Akikataa nitaomba tu anipishe.
Hakuna siti ninazo chukia kukaa kama siti za dirishani ambazo hakuna kufungua dirisha, bora mara kumi elfu nikae siti ya koridoni ndiyo najiachia vizuri zaidi!!Mna deal vipi na hawa watu maana kusafiri ni starehe pia.
Yaani una chagua siti yako ya dirishani una lipia ili kesho usafiri kwa raha uki enjoy mazingira afu una kuta mtu kakaa kwenye iyo siti na wala hajiongezi kabsa ana jikausha kimya as if hamna kilicho tokea .
Binafsi hili jambo lina nikera sanaa na ubaya huwa siwezi kumwambia mtu atoke kwenye siti yangu kuepusha maneno.
Ila watanzania mjaribu kuwa wastaarabu kama una jijua umechelewa kukata ticket na uja kata ya dirishani ni kheri uombe au ukae siti yako sio una jiwahisha mapema afu una jiona mjanjaa kumbe jinga tu.
Ukikaa dirishani wwe ndiyo unakua na mamlaka ya kufunga na kufungua dirisha kwenye yale ma bus yasiyokua na AC!!Kwani kukaa dirishani ndio nin?
Hahaha, Kumbe ni mamlaka yanagombewa siyo.Ukikaa dirishani wwe ndiyo unakua na mamlaka ya kufunga na kufungua dirisha kwenye yale ma bus yasiyokua na AC!!
Umeona! Mamlaka si ktu ya mchezo mchezo kukipata kirahisi!!Hahaha, Kumbe ni mamlaka yanagombewa siyo.
Ila wabongoUkikaa dirishani wwe ndiyo unakua na mamlaka ya kufunga na kufungua dirisha kwenye yale ma bus yasiyokua na AC!!
Wabongo wanapenda kujimilikisha mamlaka hata yasiyokua yao!![emoji23][emoji23][emoji23]Ila wabongo