Wewe ni kabila gani?Kuweni mumestarabika basi
Kwanza soma hiyo sentensi uone unavyojichanganya, ....last week natoka mwanza kuja dodoma....leo narudi mwanza kwenda dodoma...punguza mihemko na jazba.Last week natoka mwanza kuja dodoma nimekaa na jamaa anakera kweli kweli kwenye siti yeye na mtoto wake kufika hadi kunitapikia gombana sana hadi nafika mwanza, leo narudi mwanza kwenda dodoma kuna
Ni kawaida ya wanaume wahangaikaji hio,nyie wanaume wa dar simnanukia zile body spray zimeandikwa 'fighting temptation.'Shombo la dagaa sijui
Last week unatoka Mwanza kuja Dodoma umegombana na jamaa hadi unafika Mwanza! Dishi tu lilikuwa limeyumba kwa mitetemo.Last week natoka mwanza kuja dodoma nimekaa na jamaa anakera kweli kweli kwenye siti yeye na mtoto wake kufika hadi kunitapikia gombana sana hadi nafika mwanza, leo narudi mwanza kwenda dodoma kuna kijana kapandia njiani kaja kukaa siti ya pembeni yangu yaani kwanza ananuka sana pili ni msumbufu hakupi nafasi upumzike full kukugusagusa alafu ni wakiume yaani anakera hatulii kwenye siti mara akulalie yaani dah safari unakerwa hadi unafika alafu mtu hajali wala nini yaan dah wasukuma mna shida gani aisee
Hakuna Wachagga wachafu?Mchaga
Sisi wasukuma wengi ni washamba. Tumeshazoea kushinda na mang'ombe tunaomba mtuzoee tu mkuu. Kadiri siku zinavyoenda tutajirekebisha.
Ila mwambie jamaa akae kwa kutulia aache kuhangaika kama kuku anaetafuta pakutagia. Mwambie "Ngosha, kaa kwa password".
Last week unatoka Mwanza kuja Dodoma umegombana na jamaa hadi unafika Mwanza! Dishi tu lilikuwa limeyumba kwa mitetemo.