Kero za abiria wa mabasi ya Mwanza

Kero za abiria wa mabasi ya Mwanza

Status
Not open for further replies.

Kapepo

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2015
Posts
1,066
Reaction score
1,194
Last week natoka Mwanza kuja Dodoma nimekaa na jamaa anakera kweli kweli kwenye siti yeye na mtoto wake kufika hadi kunitapikia.

Tuligombana sana hadi nafika Mwanza, leo narudi Mwanza kwenda Dodoma kuna kijana kapandia njiani kaja kukaa siti ya pembeni yangu yaani kwanza ananuka sana pili ni msumbufu hakupi nafasi upumzike full kukugusagusa halafu ni wa kiume yaani anakera hatulii kwenye siti mara akulalie yaani dah safari unakerwa hadi unafika.

Halafu mtu hajali wala nini yaani dah wasukuma mna shida gani aisee!
 
Last week natoka mwanza kuja dodoma nimekaa na jamaa anakera kweli kweli kwenye siti yeye na mtoto wake kufika hadi kunitapikia gombana sana hadi nafika mwanza, leo narudi mwanza kwenda dodoma kuna
Kwanza soma hiyo sentensi uone unavyojichanganya, ....last week natoka mwanza kuja dodoma....leo narudi mwanza kwenda dodoma...punguza mihemko na jazba.

Halafu kwa incidence hizo mbili tu basi ndio una jumlisha mabus yote yaendayo Mwanza na abiria wote waendao na kutoka Mwanza kuwa ndio tabia zao! nahakika kwa safari zote mbili kwenye bus mlikuwa zaidi ya abiria wawili (yaani zaidi yako na hao abiria waliokukera), swali ni je abiria wengine mlikuwa nao kwenye bus walikuwa waki behave namna ileile kama hao wengine unaowalalamikia?
 
Last week natoka mwanza kuja dodoma nimekaa na jamaa anakera kweli kweli kwenye siti yeye na mtoto wake kufika hadi kunitapikia gombana sana hadi nafika mwanza, leo narudi mwanza kwenda dodoma kuna kijana kapandia njiani kaja kukaa siti ya pembeni yangu yaani kwanza ananuka sana pili ni msumbufu hakupi nafasi upumzike full kukugusagusa alafu ni wakiume yaani anakera hatulii kwenye siti mara akulalie yaani dah safari unakerwa hadi unafika alafu mtu hajali wala nini yaan dah wasukuma mna shida gani aisee
Last week unatoka Mwanza kuja Dodoma umegombana na jamaa hadi unafika Mwanza! Dishi tu lilikuwa limeyumba kwa mitetemo.
 
Sisi wasukuma wengi ni washamba. Tumeshazoea kushinda na mang'ombe tunaomba mtuzoee tu mkuu. Kadiri siku zinavyoenda tutajirekebisha.

Ila mwambie jamaa akae kwa kutulia aache kuhangaika kama kuku anaetafuta pakutagia. Mwambie "Ngosha, kaa kwa password".
 
Sisi wasukuma wengi ni washamba. Tumeshazoea kushinda na mang'ombe tunaomba mtuzoee tu mkuu. Kadiri siku zinavyoenda tutajirekebisha.

Ila mwambie jamaa akae kwa kutulia aache kuhangaika kama kuku anaetafuta pakutagia. Mwambie "Ngosha, kaa kwa password".

Unamtuliza anaelewa ukipita muda anaruda tena yaan kakata usingizi wote
 
Hapa pembeni kuna mtu kashusha siti ya mbele wanyuma kabanwa na jamaa hana habri hata akiambiwa
 
Last week unatoka Mwanza kuja Dodoma umegombana na jamaa hadi unafika Mwanza! Dishi tu lilikuwa limeyumba kwa mitetemo.

Typing error ila ni dom to mwanza na mwanza to dom , mkikaa majumbani mwenu muwe mnafundishana ustaarabu na busara basi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom