Mo graphics 2019
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,002
- 1,483
Zanzibar hawako tayari. Kama nyerere mwenyewe alishindwa kwa sasa ni ngumu sana.Kwa nini watawala hawataki muungano wa serikali moja ambayo ndiyo sera yao waliyoiweka hadharani zama za G55?
Tangu lini kutokuwa tayari kwa wananchi kukawazuia watawala kufanya watakacho. Hata vyama vingi asilimia kubwa hawakutaka.Zanzibar hawako tayari. Kama nyerere mwenyewe alishindwa kwa sasa ni ngumu sana.
Ila hakuna maana ya muungano kwa hvi tunavoenda, tunaishi kinafki sana
Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Bara wanapata kila kitu hata utawala tuko chini yao.Ila wao wakija huku wanataka Kila fursa. Ni ngumu sana ata ukiwa mtu wa bara kuajiriwa zanzibar
Hata upande wa ajira ikitokea kuna nafasi zipo kule basi kwa sehemu zilizo nyingi lazima waandike mwombaji lazima awe na kitambulisho cha Mzanzibari mkazi ambapo hapo ni kama wameamua ajira wapaeane wao kwa wao tu lakini ukija huku bara hamna mambo hayo.
Inasikitisha sana yaani.
Serikali ya Tanzania ni yetu sote Zanzibar na Tanganyika, sasa vipengele unavyo taka haiwezekaniSerikali ya Tanzania itabidi iweke vipengele kwenye baadhi matangazo ya ajira kwenye wizara na taasisi za Serikali, mfano Bandari, PCCB, Magereza, wizara ya Afya, ikitangaza nafasi za kazi iseme muombaji lazima awe Mtanganyika Baba na Mama na kama Mzanzibari atakiwi kuomba
Hakuna nchi inaitwa baraBara wanapata kila kitu hata utawala tuko chini yao.
Zanzibar ni nchi kamili, Tanganyika ni nchi ilio kufaTatizo wana hisia za kimorroco,wanajifanya wao wanafaa kuwa muungano wa falme za kiarabu😂😂😂😂😂😂😂
Poor watumbatu
Upuuzi mtupu MTU mweusi kujifanya mwarabu.Zanzibar ni nchi kamili, Tanganyika ni nchi ilio kufa
Zanzibar ni nchi iwe weusi au weupe sio muhimu, mambo ya Tanzania hata Zanzibar ana haki zake , shida ni kufikiri Tanzania ndio TanganyikaUpuuzi mtupu MTU mweusi kujifanya mwarabu.
Vunjeni muungano mnalalamika nini kila sikuEti wanajiona ndugu zao wa damu ni Waomani!! Halafu cha kushangaza, sisi Watanganyika ndiyo tunaowalisha na kuwanywesha!
Halafu Kutoka huko Oman na Saudia kwenyewe, miaka nenda huwa wanaambulia msaada wa tende tu wakati wa mfungo.
Mwaka wa ngapi huu mnalia lia humu?vunjeni muone kama Zanzibar itakwishaNa tutauvunja tu, ili kila mtu aendelee na 50 zake. Kama mtahamia kwa ndugu zenu wa Oman, sawa tu.
5. Kuitwa goziIkiwa wewe umezaliwa Tanganyika basi ukifika hapa kisiwani jiandae na kero zifuatazo.
1. Kudaiwa leseni ya udereva Zanzibar (hata kama unayo ya huko kwenu).
2. Kukosa Uhuru wa kutumia kilevi hadharani.
3. Kukosa fursa ya kumiliki ARDHI.
4. Bullying (kuitwa CHOGO).
5. Uhuru wa kuabudu mashakani (ref. Uchomaji Moto nyumba za ibada)
Mbona huku wa zenji wanaitwa wala urojo kawaida tuHuu muungano una songobingo nyingi sana. Mojawapo ni hii....
Kule Zanzibar Watanganyika tunaitwa Machogo.
Tanganyika ni nchi mfuuKatiba ya Zanzibar inaitambua Zanzibar kama nchi kamili. Tanganyika ndio nchi moja na Tanzania.
Unatulisha wewe kama nani? Chakula tunanunua kama wanavyonunua wengine wa nchi jirani.Eti wanajiona ndugu zao wa damu ni Waomani!! Halafu cha kushangaza, sisi Watanganyika ndiyo tunaowalisha na kuwanywesha!
Hiyo inatokana na inferiority complex yenu wabara. Hapa Zanzibar watu wamekuwa mchanganyiko kwa karne nyingi tu na wala hakuna anayemdharau mtu. Lakini tangu mumeanza kuingia visiwani humu imekuwa maneno maneno mengi tu ya chuki na hasada.Wanadanganyika na tende za sukari....wananishangazaga Sana watu waliomix race na kuona wao hawausiki na rangi nyeusi wakati wamelala kwenye matumbo meusi
Hivi siku maccm akili ikiwakaa sawa, na kuridhia kujitoa kwenye huu muungano wa ukupe wa changu changu, changu chako; si mtakuwa mnashindia urojo na tende tu nyinyi!!Mwaka wa ngapi huu mnalia lia humu?vunjeni muone kama Zanzibar itakwisha
Maadui wa muungano hamtafanikiwa kutugawaTanganyika ni cha wote, na Zanzibar ni ya Wazanzibar peke yao!.
Nyerere alifanya uhaini kuua uhuru wa Tanganyika na kugawa rasilimali za Watanganyika kwa watu wa nchi jirani ya Zanzibar
Hatutegemei paka yeyote kila kitu tunanunua kwa pesa zetu, vunjeni muungano hata leo usiku halafu utaona Zanzibar itakavyo pendeza, Tanganyika kumejaa wezi na wala rushwa halafu mna laumu Zanzibar kwa upuuzi wenuHivi siku maccm akili ikiwakaa sawa, na kiridhia kujitoa kwenye huu muungano wa ukupe wa changu changu, changu chako; si mtakuwa mnashindia urojo na tende tu nyinyi!!
Mnaleta jeuri, na wakati mnaitegemea Tanganyika kwa kila kitu?