Kesho Mwanza CHADEMA itaifunika CCM sherehe za uhuru. Wakuu wa chama kuhudhuria

Naipenda sana hii. Halafu watu wasiojua maana ya hii watapinga.
Nataman wanachama wote wa cdm waende kwa wingi wakaonyeshe kabisaa kuwa bado wapo na hawaterereki kwa lolote lile
 
Mkuu, kusherekea uhuru wa Taifa lako sio usaliti. Siasa sio ugomvi.
 
Uhuru wa nchi ipi?mchonga meno mzee wa riwaya aliwaona wazee wetu mafala sana
 
Mkuu Tindo,
Umemjibu vema sana huyu kilaza wa Lumumba street! Mwambie Mombasa kuna ajira za madumejike yenye IQ kama zake…!
 
Basi tuwe na Chama kimoja SIMPLE
Haiwezekani, kwa kuwa tutakuwa tunaivunja Katiba ya nchi.. ......

Kwa kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya mwaka 1977, ibara ya 3(1) inatamka hivi nikinukuu " Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, itakuwa na mfumo wa kidemokrasia na ya vyama vingi" mwisho wa kunukuu
 
Kama kuna karata CDM mmejua kucheza ni hii, Leo Dunia itashuhudia unafiki wa mtu .
Kwa kuwa najua kuwa wale makada wa CCM watawaelekeza mapolisi "wao" wawashughulikie hao wapinzani wao wa Chadema, na kwa kuwa sherehe hizo zitapata "coverage" ya vyombo vya habari vya dunia, hapo ndipo tutakapobaini kuwa kumbe Jiwe ni mnafiki no. 1 nchini!
 
Mkuu una hoja za kipuuzi sana.Mimi sio msukuma lkn huwa siangaiki na anapoongea kisukuma. Anaongea kisukuma kutokana na hadhira iliyopo na sijawahi msikia mnananchi wa kawaida akitoa povu zaidi ya bavicha wa kwenye media
Magufuli viwango vyake havitoshi kabisa ni grade ya chini unaongeaje ki lugha wakati inajulikana lugha ya taifa ni Kiswahili
 

cc: John Joseph Pombe Magufuli!
 
Kamati kuu ya Chadema kwa kauli moja imeazimia kushiriki katika sherehe za Uhuru zitakazofanyika Mwanza kitaifa.

View attachment 1284723
Kosa kubwa la kwanza kwa CDM ilikuwa kumpokea Lowassa. Mwisho wake tumeuona.

Kosa la pili ni hili la kuhudhuria sherehe za Uhuru zikiongozwa na mtu aliyeapa kuwaangamiza kwa njia zozote zile.

Sikutegenea hili baada ya umafia waliofanyiwa kwenye uchaguzi uliogeuka uchaguzi. Na kesho wataamkia mahakamani kwenye kesi za kubambikwa.

Uongozi CDM ujitafakari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…