Kesho Mwanza CHADEMA itaifunika CCM sherehe za uhuru. Wakuu wa chama kuhudhuria

Kesho Mwanza CHADEMA itaifunika CCM sherehe za uhuru. Wakuu wa chama kuhudhuria

Duniani tunaishi watu wa kila namna, kama hivi wewe mwehu,wapo wenye mtindio wa ubongo,wapo vichaa na kadhalika, kwa kuwa pumzi tumepewa bure gharama za kuhama sayari hii ni kubwa basi endelea kukua tu ili upumbavu wako ukomae zaidi uwarithishe na wajukuu zako
...duu! Watu kama wewe ndo mnafanya upinzani uonekana unaungwa mkono na watu wasiojua nini maana ya siasa ulichoandika ni tofauti na mada husika...ebu jibu hoja kama tumesusia uchaguzi wa serikali za mitaa kwa hujuma za serikali je leo nini kimebadilika tukashiliki pamoja nao kujadili mema ya uhuru wakati wananchi wanyonge wamezurumiwa haki yao ya kuchagua viongozi waliowataka? Je tuseme mbowe kafikwa bei au ndo kujipendekeza kwa watawala katusaliti umma!
 
Nimesikitishwa Jana kuona kamati kuu ya chadema ikitamka kwa kinywa kipana kwamba kesho 9/12/2019 mwenyekiti mbowe ataongoza ujumbe wa viongozi kusherehekea uhuru wa tanganyika ccm kirumba mwanza mbele ya mwenyekiti wa ccm na rais wa Tanzania! Hivi kweli mbowe umesahau mwezi uliopita ulitangaza kususia uchaguzi wa serikali ya mitaa/vijiji ukisema serikali ya ccm imewaengua wagombea na kuwanyima haki yao ya kuchagua na kuchaguliwa je leo nini kimebadilika? Mikutano ya kisiasa imefungiwa kwa miaka 4 kinyume cha katiba ya nchi bado huoni unasema unaenda kwenye uhuru!! Tukisema wamekufika bei kama ulivyokua unawatuhumu kina mrema utabisha?..ivi unakwama wapi ndg au kesi zimekufanya uchanganyikiwe sasa unatafuta huruma ya watawala kuomba poo! Bila kujali ni wanachama wangapi wameumia kwaajiri ya kutetea misimamo ya chama ulioitoa..usipobadilika utaongoza chama kikiwa dhaifu sana maana unataka kuwa mwenyekiti mwenye ndimi 3 nilizani umejifunza makosa ya 2015 ya kusomba mafuriko hewa.
Sisi Wanaccm moyo kwatuuu.
Watanyooka tu mawakala wa Mabeberu
Naona Mabeberu yametoa masharti bila kushiriki sherehe pesa hawaleti[emoji3][emoji3][emoji3] ccm mbele kwa mbeleeee Magufuli oyeeeeeeee Magufuli safiiiiiii
 
...duu! Watu kama wewe ndo mnafanya upinzani uonekana unaungwa mkono na watu wasiojua nini maana ya siasa ulichoandika ni tofauti na mada husika...ebu jibu hoja kama tumesusia uchaguzi wa serikali za mitaa kwa hujuma za serikali je leo nini kimebadilika tukashiliki pamoja nao kujadili mema ya uhuru wakati wananchi wanyonge wamezurumiwa haki yao ya kuchagua viongozi waliowataka? Je tuseme mbowe kafikwa bei au ndo kujipendekeza kwa watawala katusaliti umma!

Unaonekana mtoto mdogo ama ni mtu wa makamo ila mwenye akili za utoto bado! Akili zako ni finyu na umekaririshwa kusema mambo usiyoyajua!
Huo uchaguzi wa serikali za mitaa sitauzungumza maana inaonekana umetoka kuzimu leo na kwamba umeshushwa tu na hujui yanayoendelea kwenye siasa za chama cha mapinduzi dhidi ya upinzani.
Muhimu tumia akili ndogo uliyonayo wala huhitaji kuhitimu darasa la saba kutambua kwamba siasa si chuki, na si lazima watu wote kuwa na itikadi ya aina moja na kwamba yule unayetofautiana naye kiitikadi si adui yako.
Leo unaanza kutazama upinzani kwa jicho la chuki, leo unamshambulia mtu mwenye umri kumzidi baba yako kwa maneno ya kejeli na chuki kisa tu akili yako inakutuma kwamba asiyeishabikia CCM ni adui wa nchi.
Nadhani ni umri na upeo wako, ila kama sio kesho ama keshokutwa itakuchukua hata miaka 50 mbele kutambua kwamba ulikuwa unatumia fuvu la kichwa kuwaza badala ya ubongo! Kilalaheri, natambua mjinga huwa anajifunza ila mpumbavu hajifunzi kitu kipya kwa kuwa anajua kila kitu.
 
Nimesikitishwa Jana kuona kamati kuu ya chadema ikitamka kwa kinywa kipana kwamba kesho 9/12/2019 mwenyekiti mbowe ataongoza ujumbe wa viongozi kusherehekea uhuru wa tanganyika ccm kirumba mwanza mbele ya mwenyekiti wa ccm na rais wa Tanzania! Hivi kweli mbowe umesahau mwezi uliopita ulitangaza kususia uchaguzi wa serikali ya mitaa/vijiji ukisema serikali ya ccm imewaengua wagombea na kuwanyima haki yao ya kuchagua na kuchaguliwa je leo nini kimebadilika? Mikutano ya kisiasa imefungiwa kwa miaka 4 kinyume cha katiba ya nchi bado huoni unasema unaenda kwenye uhuru!! Tukisema wamekufika bei kama ulivyokua unawatuhumu kina mrema utabisha?..ivi unakwama wapi ndg au kesi zimekufanya uchanganyikiwe sasa unatafuta huruma ya watawala kuomba poo! Bila kujali ni wanachama wangapi wameumia kwaajiri ya kutetea misimamo ya chama ulioitoa..usipobadilika utaongoza chama kikiwa dhaifu sana maana unataka kuwa mwenyekiti mwenye ndimi 3 nilizani umejifunza makosa ya 2015 ya kusomba mafuriko hewa.

Kwani anaenda kwenye mkutano wa kampeni au anaende kwenye sherehe? Je huo uhuru ilikuwa ni wa chama kimoja tu?

Naomba usimlishe maneno mbowe.
 
Duuu mkuu, kwa hiyo kwenye huo mkutano ndio Magufuli ataelewa cdm ni kina nani? Na asipowakejeli itakuwaje? Kuliko kushiriki hiyo hafla ni bora wangeshiriki uchaguzi wa serikali za mitaa kungekuwa na impact, na sio hiyo hafla ya nusu saa. Kweli kabisa kamati kuu wamekaa wakaona hiyo hafla ndio sehemu ya kutoa fundisho! Nisikufiche kuna tatizo huko kwenye uongozi wa cdm kama maamuzi ni haya. Na ndio maana msimamo wangu uko wazi, nafasi ya mwenyekiti haimtoshi tena Mbowe kwa sasa.

Kushiriki hiyo sherehe ni kwenda kufuta madai yote halali ya cdm kuwa kuna uonevu wa kidemokrasia hapa nchini. Kama wananisikia nawashauri kusitisha mara moja kushiriki hiyo sherehe maana ni kujimaliza wenyewe.
Sasa mzee, katika kila wagombea 100 ulioweka 96 wameenguliwa eti hawana sifa wakati sio kweli kuna sababu kweli ya kuhalalisha jambo hilo eti kuwafurahisha?
Uchaguzi ilikuwa halali kabisa kuwasusia na ulimwengu umedhibitisha hakukuwa na uchaguzi.
 
Sasa mzee, katika kila wagombea 100 ulioweka 96 wameenguliwa eti hawana sifa wakati sio kweli kuna sababu kweli ya kuhalalisha jambo hilo eti kuwafurahisha?
Uchaguzi ilikuwa halali kabisa kuwasusia na ulimwengu umedhibitisha hakukuwa na uchaguzi.

Kwenye hilo la kususia uchaguzi niliunga mkono kwa asilimia mia moja, ila hili la kushiriki hizi sherehe za uhuru, siungi mkono maana sioni tija yoyote, sana sana ni kwenda kuwasafisha washenzi. Mbona sisi tunaowakubali wapinzani tulishawaelewa viongozi kususia hizo sherehe kutokana na madai halali ya uminywaji wa demokrasia? Ni kipi kimebadlika sasa au kitabadilika kwa wao kushiriki hizo sherehe na hao wahuni? Haya maamuzi yatawagharimu sana cdm kama hawaelewi. Kushiriki kwa cdm ni sawa na jirani yako kumbaka mkeo, kisha uende kwenye sherehe yake kwa kisingizio cha kulinda ujirani mwema!
 
Unaonekana mtoto mdogo ama ni mtu wa makamo ila mwenye akili za utoto bado! Akili zako ni finyu na umekaririshwa kusema mambo usiyoyajua!
Huo uchaguzi wa serikali za mitaa sitauzungumza maana inaonekana umetoka kuzimu leo na kwamba umeshushwa tu na hujui yanayoendelea kwenye siasa za chama cha mapinduzi dhidi ya upinzani.
Muhimu tumia akili ndogo uliyonayo wala huhitaji kuhitimu darasa la saba kutambua kwamba siasa si chuki, na si lazima watu wote kuwa na itikadi ya aina moja na kwamba yule unayetofautiana naye kiitikadi si adui yako.
Leo unaanza kutazama upinzani kwa jicho la chuki, leo unamshambulia mtu mwenye umri kumzidi baba yako kwa maneno ya kejeli na chuki kisa tu akili yako inakutuma kwamba asiyeishabikia CCM ni adui wa nchi.
Nadhani ni umri na upeo wako, ila kama sio kesho ama keshokutwa itakuchukua hata miaka 50 mbele kutambua kwamba ulikuwa unatumia fuvu la kichwa kuwaza badala ya ubongo! Kilalaheri, natambua mjinga huwa anajifunza ila mpumbavu hajifunzi kitu kipya kwa kuwa anajua kila kitu.
...hahaaa mbona unahama hoja au dishi limeyumba ndg yangu?...kiufupi mbowe kawa muoga sio mbowe wa miaka ile ya kina Dr slaa uyu mbowe kapaushwa na mafuriko hewa ya 215 hana msimamo tena pumzi imekata asipozibitiwa atafanya utumbo zaidi ya huu wa kesho...chama wapewe vijana kama heche wenye msimamo usiyobadilika...huu utetezi mandazi ndio mliufanya 2015 matokeo yake yanakiumiza chama mpaka leo
 
...hahaaa mbona unahama hoja au dishi limeyumba ndg yangu?...kiufupi mbowe kawa muoga sio mbowe wa miaka ile ya kina Dr slaa uyu mbowe kapaushwa na mafuriko hewa ya 215 hana msimamo tena pumzi imekata asipozibitiwa atafanya utumbo zaidi ya huu wa kesho...chama wapewe vijana kama heche wenye msimamo usiyobadilika...huu utetezi mandazi ndio mliufanya 2015 matokeo yake yanakiumiza chama mpaka leo
Nadhani wewe ni mtoto sana kwangu kuanza ku argue mambo yasiyo na kichwa wala miguu, simamia unachokiamini!
 
Kwenye hilo la kususia uchaguzi niliunga mkono kwa asilimia mia moja, ila hili la kushiriki hizi sherehe za uhuru, siungi mkono maana sioni tija yoyote, sana sana ni kwenda kuwasafisha washenzi. Mbona sisi tunaowakubali wapinzani tulishawaelewa viongozi kususia hizo sherehe kutokana na madai halali ya uminywaji wa demokrasia? Ni kipi kimebadlika sasa au kitabadilika kwa wao kushiriki hizo sherehe na hao wahuni? Haya maamuzi yatawagharimu sana cdm kama hawaelewi. Kushiriki kwa cdm ni sawa na jirani yako kumbaka mkeo, kisha uende kwenye sherehe yake kwa kisingizio cha kulinda ujirani mwema!
Kwa argument yako ni kwamba pia wasiwe wanashiriki shughuli za bunge kwa kuwa Lisu alivuliwa ubunge???. Cha msingi ni kuwa siasa za kususa na chuki sio productive. Politics pia is about making headlines either for right or wrong reasons.
 
Kwa argument yako ni kwamba pia wasiwe wanashiriki shughuli za bunge kwa kuwa Lisu alivuliwa ubunge???. Cha msingi ni kuwa siasa za kususa na chuki sio productive. Politics pia is about making headlines either for right or wrong reasons.

Huo mfano wa kususia bunge ni irelevant na mada husika. Nasema kwenda kushiriki hizo sherehe ni kwenda kujichoresha tu.
 
Mfuatilie vizuri huyu member, huwa anajisifia kasoma Ujerumani na mke wake eti ni mjerumani, anasema hata hilo jina la kwenye id Ni la mkewe! Ana pointless za hatari na hujiona bonge la msomi mzalendo. Sasa pata picha anaandika post ndefu yenye kejeli na kujipendekeza juu, huku akiwa na tatizo kubwa la kuandika kwa ufasaha, kuna post moja nilimpa vitu vyenye ncha kali mpaka akatia akili. Ni mtu aliyechanganyikiwa
[emoji24][emoji24][emoji24] Changia hoja please! Usiwe illiterate namna hiyo na kuwa mnafiki katika personal matters. Haisaidii kitu kuwa na Personal hatredy na mimi. Mimi ni mtanzania ambaye naipenda nchi yangu na watanzania wenzangu ikiwemo na wewe. Sina Sababu ya kwenda deep kwenye ugomvi ambao wewe wala mimi hautatusaidia. Acha vitendo vyako vya unafiki na provocation mara moja na concetrate na maisha yako!

Mimi sio mungu wako na wala sio mtu aliyekufanya wewe usiendelee na maisha unayo yatamani, lakini hujayapati na wala hutegemei kuyapta.

Matatizo yako na familia yako usinifanye mimi nika husika kwa namna moja au nyingine. Kama wewe mwenyewe unayachezea maisha yako kwa kushinda mtandaoni usitegemee wengine nao kuwa kama wewe. Uchawi unaanza na husuda na ndiyo hapo mtu anapo anza kuzuia maendeleo yake na familia yake kwa ajili ya mafanikio ya mwenzake.

Nikutaarifu tu kijana wa Uswahilini, usilo lijua wewe sio ndiyo mwenzako halijui pia.
Kwenye nchi za wenzetu CV na References za experience ya maisha ni vitu common sana na vina-matter kuliko maneno matupu.

Nikichangia hoja na katika hoja yangu nika indicate msemo kama; "nilipokuwa ujerumani nasoma..." hiyo sio sifa bali ni reference in the context ya hoja. Ni kitu cha kawaida katika discussions, comments au uchangiaji wa hoja.

Nakupa mfano; Wazungu wakiwa kwao na kuzungumzia mambo ya Afrika au tabia za wanyama au watu Tanzania, mara nyingi utasikia kwenye context ya hoja wanaanza na maneno kama; "nilipo kuwa Serengeti... au Zanzibar ...". Hapa sio kwamba anajisifu, la hasha, bali anataka msikilizaji au msoma hoja yake aelewe kuwa hayo anayo yaeleza sio fantasy, bali ana i-refer hoja yake na experience aliyoipata aidha Serengeti au Zanzibar. Lakini kwa vile wewe mkoma huelewi hilo, tayari unawaza kuwa huko ni kujisifa, majivuno na kejeli. Ya nini hayo yote? Hii ni attitude ya kuendeleza umasikini wa akili. Ni sawa sawa na kujichimbia kaburi mwenyewe.

Makosa kama "AGP" badala "IGP" hayo ni makosa yanayo itwa syntax error au semantic error. Hai husiani chochote na kuchanganyikiwa kwa akili wala kuwa mjinga. Nafikiri utakubaliana na mimi kuwa hata wewe kwenye hoja zako unazo changia kuna makosa kama hayo. Zaidi ya hayo nafikiri uta elewa kuwa mara nyingi tuna tumia Smart phones tukiwa mtandaoni na wakati huo huo mtu anakuwa safarini kwenye gari, treni au ndege wakati anaandika, kwa hiyo ni kawaida makosa ya haina hiyo hutokea. Jitihidi kuelewa mambo in context.
Usikakamae na Behavior za watoto wa darasa la pili.
Ana pointless za hatari na hujiona bonge la msomi mzalendo.
[emoji23][emoji23][emoji23] Wewe jamaa ni choo sana. Ni nini hii sasa? Ndiyo, nimesoma masomo ya juu Ujerumani kwenye Faculty ya Mechanical Engineering. Subject Areas zangu ni Process Engineering (Bachellor) na Design Engineering (Masters) So what?

Zaidi ya hayo ndiyo, nina utaalam wa CAD (Computer Aided Design) katika Tools za CATIA V5 na Siemens NX. Je, unajua ni vitu gani hivi?

Na kama isitoshe, kikazi ili niweze kuwa na Access kwenye CAD Data zilizo kuwa Served kwenye Data Base kama PDM/PLM System na SAP nina tumia VPM (Virtual Processing Manegement Programs), wenyewe wanaziita "Interfaces" kama; 3D comm, ENOVIA VPM, PRISMA, SMARAGD na TEAM CENTER kutegemeana na projects na kampuni uliyoko.

Kwa maelezo yangu hayo mafupi kuhusu utaalam wangu uta make up your mind mwenyewe kutambua mtu mwenye qualifications kama hizi atafanya kazi wapi? Sitaki useme tena nanajisifu. Ningependa tu u aknowledge kuwa ninazo Qualifications na skills za vitendo na sio tu za nadharia, kama wengi wetu wanao jifanya wasomi nchini, lakini pindi wanapo pewa madaraka na mkuu wa serikali, kushindwa kuperform vizuri.

Je, cockroach hiyo sio skills za kuniwezesha mimi "sokwe" wa Afrika ku-compente na watu wa ulimwengu wa kwanza kwenye majukwaa makubwa ya kimataifa na kuniwezesha mimi na familia yangu kuishi maisha ya kula bata?

Ni elimu yangu cockroach na nimeisotea mwenyewe. Hakuna mtu ataninyang'anya cockroach. Na wewe endelea kulia tu cockroach na kuni kejeli. Mimi si ndiyo napiga maisha hivyo! Nina shida gani tena cockroach?

anasema hata hilo jina la kwenye id Ni la mkewe!
Aiseee! Nafikiri hapa una matatizo makubwa sana ya kiakili au wivu. Maneno ni jina langu na Meier ni jina la ukoo wa mke wangu. Sasa tatizo hapa ni nini? Sijakueleza kuwa mimi naitwa Maneno Meier. Meier siyo kibongo changu. Mtu akiandika kitu jitahidi kukisoma kwa umakini ili uelewe na usipende kuleta uzushi usio eleweka, hiyo sio tabia nzuri ya wanaume, kama wewe ni mwanaume kweli, mimi naona ni tabia ya kike! Mbona unajiabisha na kujidhalilisha mwenyewe brother?
Sasa pata picha anaandika post ndefu yenye kejeli na kujipendekeza juu, huku akiwa na tatizo kubwa la kuandika kwa ufasaha, kuna post moja nilimpa vitu vyenye ncha kali mpaka akatia akili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umeshinda kwa kuni provoke! Wewe kweli sikuwezi! Nakunyooshea mikono! Ila ningependa kulitoa moja tu la mwisho.

Please! Please! Please! Naomba usisome magazeti yangu kama wewe haikupendezi. Wewe haya kuhusu hayo. Nayaandika kwa ajili yangu na nafasi yangu kwa jinsi ninavyo ona ina paswa na kunipendeza mimi kuchangia hoja. Hakuna mtu ana kulazimisha kuyasoma.

JF ni Plattform huru ambalo lina mpa kila mtu dunia uhuru wa kutoa au kuchangia mawazo yake ya moyoni kwa kuzingatia taratibu za good neighborhood with each other, wenye kupendezewa na hoja watasoma na wale wasio pendezwa nayo waache. Sijajua kama kuna utaratibu mwengine wa kuchangia hoja JF. Kama kwako ni pumba au texts ni ndefu acha! Usiumize kichwa na kujipa Stress zisizo na sababu!
 
  • Thanks
Reactions: Ole
[emoji24][emoji24][emoji24] Changia hoja please! Usiwe illiterate namna hiyo na kuwa mnafiki katika personal matters. Haisaidii kitu kuwa na Personal hatredy na mimi. Mimi ni mtanzania ambaye naipenda nchi yangu na watanzania wenzangu ikiwemo na wewe. Sina Sababu ya kwenda deep kwenye ugomvi ambao wewe wala mimi hautatusaidia. Acha vitendo vyako vya unafiki na provocation mara moja na concetrate na maisha yako!

Mimi sio mungu wako na wala sio mtu aliyekufanya wewe usiendelee na maisha unayo yatamani, lakini hujayapati na wala hutegemei kuyapta.

Matatizo yako na familia yako usinifanye mimi nika husika kwa namna moja au nyingine. Kama wewe mwenyewe unayachezea maisha yako kwa kushinda mtandaoni usitegemee wengine nao kuwa kama wewe. Uchawi unaanza na husuda na ndiyo hapo mtu anapo anza kuzuia maendeleo yake na familia yake kwa ajili ya mafanikio ya mwenzake.

Nikutaarifu tu kijana wa Uswahilini, usilo lijua wewe sio ndiyo mwenzako halijui pia.
Kwenye nchi za wenzetu CV na References za experience ya maisha ni vitu common sana na vina-matter kuliko maneno matupu.

Nikichangia hoja na katika hoja yangu nika indicate msemo kama; "nilipokuwa ujerumani nasoma..." hiyo sio sifa bali ni reference in the context ya hoja. Ni kitu cha kawaida katika discussions, comments au uchangiaji wa hoja.

Nakupa mfano; Wazungu wakiwa kwao na kuzungumzia mambo ya Afrika au tabia za wanyama au watu Tanzania, mara nyingi utasikia kwenye context ya hoja wanaanza na maneno kama; "nilipo kuwa Serengeti... au Zanzibar ...". Hapa sio kwamba anajisifu, la hasha, bali anataka msikilizaji au msoma hoja yake aelewe kuwa hayo anayo yaeleza sio fantasy, bali ana i-refer hoja yake na experience aliyoipata aidha Serengeti au Zanzibar. Lakini kwa vile wewe mkoma huelewi hilo, tayari unawaza kuwa huko ni kujisifa, majivuno na kejeli. Ya nini hayo yote? Hii ni attitude ya kuendeleza umasikini wa akili. Ni sawa sawa na kujichimbia kaburi mwenyewe.

Makosa kama "AGP" badala "IGP" hayo ni makosa yanayo itwa syntax error au semantic error. Hai husiani chochote na kuchanganyikiwa kwa akili wala kuwa mjinga. Nafikiri utakubaliana na mimi kuwa hata wewe kwenye hoja zako unazo changia kuna makosa kama hayo. Zaidi ya hayo nafikiri uta elewa kuwa mara nyingi tuna tumia Smart phones tukiwa mtandaoni na wakati huo huo mtu anakuwa safarini kwenye gari, treni au ndege wakati anaandika, kwa hiyo ni kawaida makosa ya haina hiyo hutokea. Jitihidi kuelewa mambo in context.
Usikakamae na Behavior za watoto wa darasa la pili.
[emoji23][emoji23][emoji23] Wewe jamaa ni choo sana. Ni nini hii sasa? Ndiyo, nimesoma masomo ya juu Ujerumani kwenye Faculty ya Mechanical Engineering. Subject Areas zangu ni Process Engineering (Bachellor) na Design Engineering (Masters) So what?

Zaidi ya hayo ndiyo, nina utaalam wa CAD (Computer Aided Design) katika Tools za CATIA V5 na Siemens NX. Je, unajua ni vitu gani hivi?

Na kama isitoshe, kikazi ili niweze kuwa na Access kwenye CAD Data zilizo kuwa Served kwenye Data Base kama PDM/PLM System na SAP nina tumia VPM (Virtual Processing Manegement Programs), wenyewe wanaziita "Interfaces" kama; 3D comm, ENOVIA VPM, PRISMA, SMARAGD na TEAM CENTER kutegemeana na projects na kampuni uliyoko.

Kwa maelezo yangu hayo mafupi kuhusu utaalam wangu uta make up your mind mwenyewe kutambua mtu mwenye qualifications kama hizi atafanya kazi wapi? Sitaki useme tena nanajisifu. Ningependa tu u aknowledge kuwa ninazo Qualifications na skills za vitendo na sio tu za nadharia, kama wengi wetu wanao jifanya wasomi nchini, lakini pindi wanapo pewa madaraka na mkuu wa serikali, kushindwa kuperform vizuri.

Je, cockroach hiyo sio skills za kuniwezesha mimi "sokwe" wa Afrika ku-compente na watu wa ulimwengu wa kwanza kwenye majukwaa makubwa ya kimataifa na kuniwezesha mimi na familia yangu kuishi maisha ya kula bata?

Ni elimu yangu cockroach na nimeisotea mwenyewe. Hakuna mtu ataninyang'anya cockroach. Na wewe endelea kulia tu cockroach na kuni kejeli. Mimi si ndiyo napiga maisha hivyo! Nina shida gani tena cockroach?


Aiseee! Nafikiri hapa una matatizo makubwa sana ya kiakili au wivu. Maneno ni jina langu na Meier ni jina la ukoo wa mke wangu. Sasa tatizo hapa ni nini? Sijakueleza kuwa mimi naitwa Maneno Meier. Meier siyo kibongo changu. Mtu akiandika kitu jitahidi kukisoma kwa umakini ili uelewe na usipende kuleta uzushi usio eleweka, hiyo sio tabia nzuri ya wanaume, kama wewe ni mwanaume kweli, mimi naona ni tabia ya kike! Mbona unajiabisha na kujidhalilisha mwenyewe brother?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umeshinda kwa kuni provoke! Wewe kweli sikuwezi! Nakunyooshea mikono! Ila ningependa kulitoa moja tu la mwisho.

Please! Please! Please! Naomba usisome magazeti yangu kama wewe haikupendezi. Wewe haya kuhusu hayo. Nayaandika kwa ajili yangu na nafasi yangu kwa jinsi ninavyo ona ina paswa na kunipendeza mimi kuchangia hoja. Hakuna mtu ana kulazimisha kuyasoma.

JF ni Plattform huru ambalo lina mpa kila mtu dunia uhuru wa kutoa au kuchangia mawazo yake ya moyoni kwa kuzingatia taratibu za good neighborhood with each other, wenye kupendezewa na hoja watasoma na wale wasio pendezwa nayo waache. Sijajua kama kuna utaratibu mwengine wa kuchangia hoja JF. Kama kwako ni pumba au texts ni ndefu acha! Usiumize kichwa na kujipa Stress zisizo na sababu!

Narudia tena, ww lazima utakuwa umechanganyikiwa ndio maana unatoa maelezo marefu kama uko kwenye kuomba ajira. Sina muda wa kuweka elimu yangu hapa na kujisifia mambo ya kipuuzi huku natumia fake ID, ningekuwa verified user ningeweza kuweka CV yangu hapa ili uweze kufuatilia kama una shaka. Sasa we unajisifia huku unatumia fake Id kama sio wendawazimu ni nini? Nyie wazee ndio huwa watu wanawachapia wake zenu maana hamna lolote la maana zaidi ya kujisifia usenge.
 
..ni mkabila.

..angalia ziara ngapi amefanya huko kwao.

...ni mahali gani nchi hii ametembelea mara nyingi kuliko kwao?

..na hatoba zake za KIKABILA. basi muweke na WAKALIMANI wa kutafsiri ili waTz wote waelewe.




Mkuu utaendelea kuwewesekaweweseka tu, angalia hiyo kitu maana leo JPM kapiga hadi Kichaga, lakini sio hilo tu Kinyakyusa, Kigogo nk . Huko ndio tunaita kufunika sio ngonjera za JokaKuu na chama chake cha Bandia ambacho kinamtajirisha yeye binafsi bila kuwajali Watanzania.​


Rais anaendeleza upendo kwa raia wote Watanzania katika kukagua na kufufua sekta ya meli nchini. JakaKuu na ukabila wake na ukanda alitaka JPM aongee kiingereza tabia ambazo bado ni fikra za kutawaliwa na weupe.
 
Narudia tena, ww lazima utakuwa umechanganyikiwa ndio maana unatoa maelezo marefu kama uko kwenye kuomba ajira. Sina muda wa kuweka elimu yangu hapa na kujisifia mambo ya kipuuzi huku natumia fake ID, ningekuwa verified user ningeweza kuweka CV yangu hapa ili uweze kufuatilia kama una shaka. Sasa we unajisifia huku unatumia fake Id kama sio wendawazimu ni nini? Nyie wazee ndio huwa watu wanawachapia wake zenu maana hamna lolote la maana zaidi ya kujisifia usenge.
Kwa sababu huna cockroach. Hakuna sababu nyingine. Hoja zako mbona zina onyesha kama mtu ana elimu na experience ya kazi au la. Wewe huna kitu. You are so narrow minded. Ungekuwa mtu mwenye skill kubwa isinge wezekana ukawa mda wote kwenye mtandao na kuwaamnisha watu eti una elimu? Nyanya yako ndiyo anaweza akakubaliana na wewe.

Mtu mwenye elimu hata ya degree moja hawezi toa hoja shallow namna hiyo kama zako. Argue techinacally na references na sio vitu ambavyo viko hypothetical!
 
  • Thanks
Reactions: Ole
Back
Top Bottom