Kesi dhidi ya Mbowe: Ushahidi wa Luteni Denis Urio ni muhimu sana

Kesi hii ilipikwa mno hadi ikaungua! palipo na uongo wa kishetani Mola huweka njia ya ukweli ili kumuumbua shetani!
 
Adamoo na mwenzake walienda morogoro kabla ya kuanza safari ya Moshi - Je walikwenda kumwona nani? kwa kusudi lipi? Je yawezekana akawa Luteni Urio na hapo ndipo tatizo likaanziapo?
Mini nafikiri hivyo.
 
Kuna mchezo mchafu unatengenezwa wa kumfunga Mbowe
 
Ni nadra sana kuona mtu kama Luteni wa Jeshi aliyeko kazini anateswa hovyo hovyo na hawa ma copro wa Police - nafikiri mama arudishe hadhi ya jeshi letu hili haraka mno - kesi ya Mh. Mbowe imeonyesha wazi wazi.

Kama Mwanajeshi kakiuka basi kuna mamlaka ya kijeshi yamchukulie hatua lakini si kumtoka kambini na kuteswa na raia wakakamavu. Hata leo hii wananchi wakiwaona JWTZ wanapita kwa mazoezi husimama kushangilia huku kina mama kupiga vigelegele - JWTZ ni jeshi letu wananchi lipewe hadhi yake.

Awamu ya tano kuna mambo imefanya hayakuwa sawa kwenye hivi vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
 
Hio ilikuwa zamani subiri muda utasema, utopolo wa akina kingai na mahita mtaaga public, hii dharau na aibu haipiti bure.
 
Hii ishu imesukwa na TISI kwa kushirikiriana machoko wa polisi na Magufuli aliwakatalia huu upuuzi, sasa wamempa huu utopolo Samia, hii vita wajipange watakufa wengi mno, tujipe muda within 12 months mtajionea wenyewe.
 
Kuwa na Mashahidi wengi sana kwa upande wa serikali ni very risk sana,tena mnoooo hasa kwa kesi ya kupikwa.Just imagine tayari serikali imeshaleta mashahidi watatu na wote ushahidi umeshatofautiana tofautiana baina yao,Je,mpaka wakifika shahidi wa 23 unategemea nn kitatokea 🤣 🤣 🤣
 

Mabeyo ndio chanzo cha yote haya,ni bladifekini sana huyu kumbe, aliamishia nguvu ya Jeshi letu wananchi ”JWTZ ”kwa PoliCCM ili kumfurahisha Msukuma feki wa Chato, na haya ndio matokeo yake, sijuhi ni Msukuma mwenzie . Nimemzarau sana hii takataka inayoitwa Mabeyo.
MaKomandoo wanapona vitani huko, anakuja kuning’inizwa kama popo na ”makada” kufurahisha wahuni tu wa kisiasa, uliona wapi?!
 
Adamoo na mwenzake walienda morogoro kabla ya kuanza safari ya Moshi - Je walikwenda kumwona nani? kwa kusudi lipi? Je yawezekana akawa Luteni Urio na hapo ndipo tatizo likaanziapo?
Mini nafikiri hivyo.

Nadhani wewe ndo unanipa tip nzuri kuliko wote.Ushahidi kwamba walikwenda Morogoro kabla ya kwenda Moshi nani katoa?(Nataka kujua tu,mi si mfuatiliaji mzuri wa hii kesi)
 
DPP kama ana uelewa mpana sana ni bora akaifuta hii kesi; Just imagine mpaka sasa jamhuri tayari imeshaleta mashahidi watatu kati ya 23 na wote ushahidi wao hauna consistency,sasa wakifika kwa shahidi wa 23 si ndo itakuwa balaa hasa ukizingatia utetezi wana mawakili ambao ni very competent 🤣 🤣 Hii case ishakuwa ni mess kwa upande wa serikali
 
Hii ishu imesukwa na TISI kwa kushirikiriana machoko wa polisi na Magufuli aliwakatalia huu upuuzi, sasa wamempa huu utopolo Samia, hii vita wajipange watakufa wengi mno, tujipe muda within 12 months mtajionea wenyewe.
Achene Mahakama ifanye kazi yake mwisho itoe HAKI. Sasa nyie mnatoa povu kisa Maelezo ya utetezi. Kumbuka katika kujitetea MTU ataeleza lolote analoona litaweza kumnasua. Najua wengi ni Ubinafsi unawasumbua.
 
Nadhani wewe ndo unanipa tip nzuri kuliko wote.Ushahidi kwamba walikwenda Morogoro kabla ya kwenda Moshi nani katoa?(Nataka kujua tu,mi si mfuatiliaji mzuri wa hii kesi)
Mke wa adamoo,juzi mahamani alisema kabla ya hawajaenda Moshi ,wakaenda Morogoro kwanza
 
Fikirishi/Za kunyapia
Hao Komandoo walitengenezwa ili kummumaliza Uhuru lkn imeonekana wategaji hawakuwa makini ni terms au Komando wamekuwa double agents.
Game NZITO

Uhuru! Unaweza kujazia kidogo hizi japo za kunyapia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…