Kesi ya Mbowe: Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi, Dkt. Hussein Mwinyi atajwa kumtumia pesa Mtuhumiwa

Kama wataonekana Wana interest kwenye kesi!Waziri wa ulinzi kutuma fedha Kwa mtuhumiwa ugaidi si jambo dogo!
Mbaya zaidi taarifa za miamala zimefichwa!
Hapo ndio Kuna mashaka,na ndio interest ya Mwinyi kwenye kesi inapopata mashiko!
Sidhani kama hata hapo amekuelewa

Cc magu2016
 
Kwani Mbowe alituma wakati gani? Unafikiri Mbowe alituma wakati Bwire akiwa ameshitakiwa? Ukiwa neutral utakuta unapata ufahamu sana kwenye haya mambo. Jiweke mbali na huko uliko jing'ang'aniza, uwe huru, huwezi kuwa mzito kuelewa.
Mimi nauliza swali na wewe unaniuliza swali sasa nani atajibu swali langu!!.
 
Asante sana sana kwa kuzidi kufafanua
 
Elewa hoja sasa, kama wanadai Mbowe kutuma pesa ni Ugaidi, kwanini isiwe Ugaidi alipotuma Mwinyi?

Mbona hoja ya wazi kwanini huelewi wewe *zi wa kijani?
Hahahahahaha wanajitoa ufahamu, Maji yamezidi unga
 
Kigogo ni January Makamba. Hataki kumshambulia Mama. Dogo ana hope kuwa atakuja kuwa Rais wa Tz.
Nimefikia kusema ni Mr. January kwa kuangalia picha za juzi alizo post kigogo (ufagio) aka andika jinsi ya kuongeza wateja ktk biashara yako. Ukiangalia picha zile Graphics zake ni sawa na Zile January aliwahi post ktk Instagram account yake mtu akiwa ndani ya Shimo, akivunja ngazi na kukokea moto. Na damu zina vuja. Huyu ni J. Makamba.
 
Mboye akituma pesa ni zinakuwa za kufadhili ugaidi

Raisi Mwinyi akituma pesa zinakuwa za msaada

Mwinyi+Hangaya tunawataka mahakamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…