Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #141
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... kwa hili Airtel haliwahusu sana; wanaweza kujitetea. Orodha ya miamala wao waliitoa kama walivyokua instructed na barua ya polisi ambao walikuwa wanataka miamala among specific numbers so, (Airtel) wasingeweza kutoa miamala ambayo hawakuulizwa!
Njoo hapa mbwa wewe! Njoo uendelee kuongea ujinga wakoOna ulivyo bwege eti "inaeleza malengo" !! What I can conclude is Don't arque with a fool people might not notice the difference!! Bye!!
Nielekeze nije sasa hivi mkuu!Njoo hapa mbwa wewe! Njoo uendelee kuongea ujinga wako
Hii kesi imefikia pazuri kama mbowe ni Gaidi kwa kutuma pesa the same kwa aliyemtumia Bwire pesa!Tujiulize Kutuma hela ndio key Point ya Mbowe kushikiliwa na Jamhuri kama ndio Key point basi wale wote waliomtumia Bwire pesa wakatamatwe akiwemo Husein Mwinyi kama sivyo basi Mbowe aachiwe. Mbowe ni Kiongozi na Hussein ni kiongozi pia
Nikisema wewe ni mjinga sikosei kabisa.Unaona ulivyo pumba!! Unachotakiwa kujua pesa iliyotumwa na Mbowe ili kuwa kwa ajili gani na pia iliyotumwa na Mwinyi ilikuwa kwa ajili gani? Kweli Chadema ina nyumbu wengi sana!
Dah! Leo umenikera sana, nimekusamehe tuendeleeNielekeze nije sasa hivi mkuu!
Ukiwa CCM sijui na akili huwa inapotea kwa muda?... kwa hili Airtel haliwahusu sana; wanaweza kujitetea. Orodha ya miamala wao waliitoa kama walivyokua instructed na barua ya polisi ambao walikuwa wanataka miamala among specific numbers so, (Airtel) wasingeweza kutoa miamala ambayo hawakuulizwa!
... kwa hili Airtel haliwahusu sana; wanaweza kujitetea. Orodha ya miamala wao waliitoa kama walivyokua instructed na barua ya polisi ambao walikuwa wanataka miamala among specific numbers so, (Airtel) wasingeweza kutoa miamala ambayo hawakuulizwa!
Kwanini miamala hiyo ifichwe?Ndio hapo mashaka yanapokuwa makubwa!Mwinyi aitwe mahakamani aeleze alituma Kwa malengo gani!Unaona ulivyo pumba!! Unachotakiwa kujua pesa iliyotumwa na Mbowe ili kuwa kwa ajili gani na pia iliyotumwa na Mwinyi ilikuwa kwa ajili gani? Kweli Chadema ina nyumbu wengi sana!
Mnaanza kutengeneza "movie" eee.....🤣🤣Kabisa yaani , alishirikiana na Tiss na Polisi , huyu Hangaya kaiendeleza tu tena kwa shinikizo la kitengo , ulikuwa mpango wa Jiwe kufuta Chadema ili atawale kwa amani maisha yote .
NAAHIDI KUANZISHA UZI MWANANA KUHUSU HILI MUDA SI MREFU , KUNA WATU NAENDELEA KUWAHOJI
usiondoke JF
Aisee we unafuatilia hii kesi kweli?... issue ni lego la miamala hiyo ni lipi? Hope mahakama itaamua kwa busara!
😍Kwa haiba ya Rais Mwinyi kipindi akiwa waziri wa ulinzi sishangai kama kumsaidia mtu anaeyemfahamu kumtumia pesa ikawa ni jambo la ajabu.
Uungwana wake si sababu ya kuona kama alitenda jambo baya na jambo lipo kwa mahakama ngoja niishie hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wewe tweets hizo ndiyo reference zako!!?Nikisema wewe ni mjinga sikosei kabisa...
Wao watuhumiwa na kesi wanaitolea wenyewe hukumu🤣Akili zenu ni pumba sana yaani kutajwa Mwinyi tu mmeshinda kesi siyo!!??
Duh! Kwamba jamaa kakaa chini kazitunga then akazi-tweet? Are you serious Ndugu?Yaani wewe tweets hizo ndiyo reference zako!!?
Kwa hiyo wote waliomtumia miamala huyo Bwire waitwe!!?Kwanini miamala hiyo ifichwe?Ndio hapo mashaka yanapokuwa makubwa!Mwinyi aitwe mahakamani aeleze alituma Kwa malengo gani!
Watawala watafanya mbinuWacha tuone, CHADEMA wanataka kumuita kizimbani Mheshimiwa "Rahisi" wa Zenji