Kesi ya Mbowe: Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi, Dkt. Hussein Mwinyi atajwa kumtumia pesa Mtuhumiwa

Kesi ya Mbowe: Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi, Dkt. Hussein Mwinyi atajwa kumtumia pesa Mtuhumiwa

Kila nikijaribu kukuelewesha unakua mzito, haya wasiitwe Bali aitwe Mbowe na atiwe ndani, umefurahi?
Unanielewesha ujinga! Eti then unaniambia nije sijui wapi unafikiri nakuogopa! Mimi siogopi yoyote bali ni Mungu tu! Be informed!!
 
Kwa hiyo wote waliomtumia miamala huyo Bwire waitwe!!?
Kama wataonekana Wana interest kwenye kesi!Waziri wa ulinzi kutuma fedha Kwa mtuhumiwa ugaidi si jambo dogo!
Mbaya zaidi taarifa za miamala zimefichwa!
Hapo ndio Kuna mashaka,na ndio interest ya Mwinyi kwenye kesi inapopata mashiko!
 
Mkuu uelewa wa hawa jamaa ni shida tupu! Wanasheria wao wanawaingiza mkenge kila siku! Wanaacha kufuatilia mambo ya muhimu kuhusu kesi hiyo. Sasa eti pesa ya Mwinyi imekuwa issue kwani huyo Gaidi Bwire hajawahi kutumiwa pesa na mtu mwingjne zaidi ya Mwinyi na Mbowe!! Issue hizo pesa alizotumiwa na Mbowe zilikuwa kwa ajili ya kusaidia ugaidi.
Nani anauwezo wa kutambua kama huu muamala ni wa kufadhili ugaidi na huu in wa kawaida?
 
Haya na Mwananchi nao walikua Wana report, nao pia wako biased? Hivi unawezaje kuwa biased kwa kuandika na kupost kile kinachozungumzwa?
Kwa hiyo unafikiri kila kinachosemwa kwenye kesi ni facts?
 
Kama wataonekana Wana interest kwenye kesi!Waziri wa ulinzi kutuma fedha Kwa mtuhumiwa ugaidi si jambo dogo!
Mbaya zaidi taarifa za miamala zimefichwa!
Hapo ndio Kuna mashaka,na ndio interest ya Mwinyi kwenye kesi inapopata mashiko!
Kwani alituma wakati gani akiwa bado yuko uraiani au akiwa tayari ameshitakiwa?
 
Mambo ya sheria ni magumu sana, na hatutakiwi kukurupuka.

Nani ameona huo muamala? Kama upo nani anajua huyu aliyekuwa waziri wa ulinzi alituma kwa ajili gani? Je una manufaa gani kwa akina Mbowe kwenye kesi?

Kwa nini tunaanza kuwa na hisia ambazo hazina msingi wa kisheria? Hizi hisia hazifai kabisa kwenye mambo ya kesi.
Mkuu kwa ufupi tu...KOJOA UKALALE
 
Mambo ya sheria ni magumu sana, na hatutakiwi kukurupuka.

Nani ameona huo muamala? Kama upo nani anajua huyu aliyekuwa waziri wa ulinzi alituma kwa ajili gani? Je una manufaa gani kwa akina Mbowe kwenye kesi?

Kwa nini tunaanza kuwa na hisia ambazo hazina msingi wa kisheria? Hizi hisia hazifai kabisa kwenye mambo ya kesi.

Kwa hiyo Wewe Ni smart kuliko like jopo la wanasheria?
 
Mambo ya sheria ni magumu sana, na hatutakiwi kukurupuka.

Nani ameona huo muamala? Kama upo nani anajua huyu aliyekuwa waziri wa ulinzi alituma kwa ajili gani? Je una manufaa gani kwa akina Mbowe kwenye kesi?

Kwa nini tunaanza kuwa na hisia ambazo hazina msingi wa kisheria? Hizi hisia hazifai kabisa kwenye mambo ya kesi.
Vitu vingi vinatokea duniani, ambavyo hata kama hujui kwamba vipo haimaanishi havitokei.
 
Back
Top Bottom