Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Unateseka ukiwa wapi?
Taja hao wanasheria ghuli tuwajue
Shaidi: Nilipanda basi la kimanjaro linatoka singida nikashukia Arusha
Baada ya mwana ccm kaaya kutoa ushahidi kuhusisha basi la Kilimanjaro
Mmiliki wa base la Kilimanjaro nae kaanza kugombana na dereva wake ni kwanin walibalidilisha rout ya Dar to Arusha na kuipeleka Singida to Arusha bila ruhusa yake
Maneno mengi tu naona hapa umejitahidi kuandika,najaribu kuelewa unamaanisha nini wala sioni zaidi ya kujichosha tu.