Kesi ya Mbowe: Mbowe na viongozi wa CHADEMA msiposikiliza ushauri wa Godbless Lema anaeshauri muondoe mawakili mahakamani, mtakuja kujiulaumu sana

Wacha ujinga wako Tindo . Mdude aliposhinda Mahakama zilikuwa huru, Sabaya alipohukumiwa miaka 30, Mahakama ziko huru.

Nyinyi mnajuwa uovu wa Mbowe ndiyo maana suruwali zinawabana.
 
Ya Sabaya mlikuwa mnafurika mahakamani kwa kuhamasishana sasa ni zamu yenu pia kualikana kisutu.
 
Nadhani ni msimamo mzuri nakubaliana na hoja ya Mh Lema
 
Lema ana elimu ipi katika taaluma ya sheria ?
 
Ndyali ni aina ya ndizi huko Mbeya. Kwa hiyo Yahweh asikie dua la ndizi
 
Yaani denooJ unakipangia chombo cha Dola muda na namna ya kumkamata Mbowe. Mimi najaza upupu kwenye server ila Mbowe anajaza kinyesi kwenye ndoo. Shenzi kabisa alishadharau sana Serikali. Ngoja tuonyeshane makali
 
Huo ushahidi ulionao wewe peke yako ambao hata Kingai na Mahita hawana.


Utopolo.
Tutaelewana tu! Subirini, mtu wenu hachomoki this time. Ameyavagaa mavi kwa kujifanya anajuwa kuchamba
 
Yaani denooJ unakipangia chombo cha Dola muda na namna ya kumkamata Mbowe. Mimi najaza upupu kwenye server ila Mbowe anajaza kinyesi kwenye ndoo. Shenzi kabisa alishadharau sana Serikali. Ngoja tuonyeshane makali
Musiba alikuwa kama wewe. Kumbe alikuwa hana maana yoyote bila magufuli.
 
Ni kwamba Mwenyekiti wenu ni mchafu. Mmtetea mtu ambaye hamumjui
 
Mshaurini mzee Mbowe akiri makosa, huenda Mahakama ikamsamehe. jela sio pazuri.
 
Ni kwamba Mwenyekiti wenu ni mchafu. Mmtetea mtu ambaye hamumjui
Nyie mnayemfahamu ndio leteni ushaidi usio na chenga wa huo uchafu mliokalilishwa. Sio kubweka bweka kama mbwa koko
 
Kwanini tunalea ujinga hadi lini wa tanzania tutapata akili.
 
Wakijitoa sasa hivi MATAGA watasema mawakili wa mboe wameona wamezidiwa na hivyo kuamua kujitoa,kwa hali ilivyo bora wapambane kupAngua ushaidi mpaka mwisho ili wote tuone vioja vinavyoendelea huko mahakamani
Nadhani tungoje angalau mashahidi wa jamuhuri watoe ushadi angalau wafike robo tatu,baada ya hapo maamuzi ya kuwaondoa mawakili lifanyike
 
watu wangejua umuhimu wa ile hukumu ya case ndogo basi wange kubaliana na lema
 
Hata wao wakimuhukumu sisi tunaofutilia kesi kila leo na wananchi kwa ujumla tunaona vile haki ikipindishwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…