Kesi ya Mbowe: Mbowe na viongozi wa CHADEMA msiposikiliza ushauri wa Godbless Lema anaeshauri muondoe mawakili mahakamani, mtakuja kujiulaumu sana

Kesi ya Mbowe: Mbowe na viongozi wa CHADEMA msiposikiliza ushauri wa Godbless Lema anaeshauri muondoe mawakili mahakamani, mtakuja kujiulaumu sana

Mbowe kwenda jela sio suala zito. Comes with the territory. Huwezi kuwa mwenyekiti wa CHADEMA ukawa salama Tanzania. Haiwezekani. You have to pay the cost to be the boss. Leo hii tungekuwa na namna ya kupiga hesabu ya gharama zinazoingiwa na serikali katika kuunda na kuendesha machinery ya kupambana na CHADEMA tungetishika.

Huyo Halima Mdee na wenzake wameshakuwa neutralised kwa vijisenti. Wameshapoteza credibility. Huko CCM hakuna anayetilia maanani kauli zake hata akifoka namna gani. Polisi ndio wameshampuuza kabisa as a nonentity.

Angeleta vurugu mahakamani? Polisi wepi wangemruhusu hata afike huko mahakamani? Angetekwa njiani na kufichwa. Na kiwango kilichofikiwa ilibakia kubakwa kabisa wasiwe na sauti tena. Acha Mbowe na CHADEMA waendelee kubeba msalaba wao wa kuwapigania Watanzania wasiokuwa na ujasiri wa kusimama kidete kutetea haki zao.
We are lumpens
 
Serikali siyo wajinga kumfungulia Mbowe kesi ya ugaidi. Mbowe mwenyewe anajuwa namna alivyolikoroga.

Muulizeni kati ya Desemba 2020 na March 2021 mpaka tunamzika DIKTETA Magufuli alikuwa wapi? Muulizeni ni kitu gani aliomba kwenye ubalozi wa Denmark na alijibiwa nini?

Nendeni na ubalozi wa Canada mkaone status ya papers zake kwa alichokiomba. Mmasingizia alikuwa kwenye biashara zake Dubai, ana biashara gani Dubai?

Kwa nini Serikali ihangaike kumtengeneza Mbowe mashtaka ya kubumba? Ni nguvu gani aliyonayo?

Mbowe alitaka kuweka nchi kwenye status of instability immediately baada ya uchaguzi kukamilika. Serikali ilipogundua njama ndipo akalazimika kukimbia.

Nani kasikia masekondari ya shule za Kisslami yanachomwa tena baada ya Mbowe kuwa mikono salama pale Ukonga?

Na kwa kiasi kikubwa amshukuru Samia ambaye ameacha Mahakama itende haki kwani ingekuwa hajawahi kukimbia nchi wakati wa Mwendazake, saa hizi Mbowe angekuwa na msaidizi wake Ben Saanane huko kuzimu.

Nashangaa Wana CDM mnamtukana Rais SSH eti DIKTETA mwanamke wakati ameacha uhuru wa habari na utawala wa sheria uendelee.
Ukiwa CCM vision myopic
 
Mbowe kwenda jela sio suala zito. Comes with the territory. Huwezi kuwa mwenyekiti wa CHADEMA ukawa salama Tanzania. Haiwezekani. You have to pay the cost to be the boss. Leo hii tungekuwa na namna ya kupiga hesabu ya gharama zinazoingiwa na serikali katika kuunda na kuendesha machinery ya kupambana na CHADEMA tungetishika.

Huyo Halima Mdee na wenzake wameshakuwa neutralised kwa vijisenti. Wameshapoteza credibility. Huko CCM hakuna anayetilia maanani kauli zake hata akifoka namna gani. Polisi ndio wameshampuuza kabisa as a nonentity.

Angeleta vurugu mahakamani? Polisi wepi wangemruhusu hata afike huko mahakamani? Angetekwa njiani na kufichwa. Na kiwango kilichofikiwa ilibakia kubakwa kabisa wasiwe na sauti tena. Acha Mbowe na CHADEMA waendelee kubeba msalaba wao wa kuwapigania Watanzania wasiokuwa na ujasiri wa kusimama kidete kutetea haki zao.
Ushauri wa Lema unaleta moral question.

Suppose kweli Mbowe kazushiwa, Lema kwa kukimbia vita na kukimbiza familia yake nje ya nchi pengine kwa kuogopa kupewa makosa hayo wanayoita fabricated; anakosa moral authority ya kumshauri Mbowe.

Mbowe na yeye pia ana familia yake na chama cha kukisimamia; huo ndio mziki wake. Ushauri wa mtu aliekimbia huo mziki unafaa kweli. Uwezi kumshauri mtu kufanya kitu ambacho wewe mwenyewe unaogopa yasikukute.

Kwenye siasa pana wasaa zinataka pressure ili umtibue mpinzani afanye irrational decisions, matendo ya kina Mdee zama zile ya kuzua jambo juu ya jambo mpaka na wao kuwa na kesi yanachangia sana kutengeneza mazingira ya unyanyasaji.

Kwa sasa Mbowe kabakia na keyboard warriors tu, halafu wanataka aachie uhuru wake kirahisi kirahisi.

Also kuna swala la ‘cause and effect’ what are the beneficial outcome Mbowe akisusia kujitetea?

Uwezi kuniambia niruke baharini, papa anitafune mnionee huruma and then what; liwe somo kwa wengine baharini kuna papa (at the cost of my life) au what exactly is the objective ya mimi kujirusha. I have seen Jaws so I need a very good reason why I should jump on shark infested waters.

It’s time Mbowe aachane na ushauri wa hao watu too costly for his wellbeing.

Yaani niache kuonyesha dunia these are fabricated charges niende jela kirahisi kwa ushauri wa mtu aliekimbia vitu vile vile nilivyotupiwa mimi.
 
Mtu amekaa magereza utarejeshaji? ni uhuni tupu

Iko namna ya kuzuia Mbowe kwenda jela wadhalimu wakikamia? Kama hakuna, basi wasirahisishiwe njia ya kumfunga bila kupitishwa kwenye aibu yote ya dhambi wanayoilazimisha. Kesi yote isikilizwe hadi mwisho.

Mandela alikaa jela miaka 27 akatoka na heshima kubwa sana. Sio la kuombea; ni ikitokea hivyo.
 
Serikali siyo wajinga kumfungulia Mbowe kesi ya ugaidi. Mbowe mwenyewe anajuwa namna alivyolikoroga.

Muulizeni kati ya Desemba 2020 na March 2021 mpaka tunamzika DIKTETA Magufuli alikuwa wapi? Muulizeni ni kitu gani aliomba kwenye ubalozi wa Denmark na alijibiwa nini?

Nendeni na ubalozi wa Canada mkaone status ya papers zake kwa alichokiomba. Mmasingizia alikuwa kwenye biashara zake Dubai, ana biashara gani Dubai?

Kwa nini Serikali ihangaike kumtengeneza Mbowe mashtaka ya kubumba? Ni nguvu gani aliyonayo?

Mbowe alitaka kuweka nchi kwenye status of instability immediately baada ya uchaguzi kukamilika. Serikali ilipogundua njama ndipo akalazimika kukimbia.

Nani kasikia masekondari ya shule za Kisslami yanachomwa tena baada ya Mbowe kuwa mikono salama pale Ukonga?

Na kwa kiasi kikubwa amshukuru Samia ambaye ameacha Mahakama itende haki kwani ingekuwa hajawahi kukimbia nchi wakati wa Mwendazake, saa hizi Mbowe angekuwa na msaidizi wake Ben Saanane huko kuzimu.

Nashangaa Wana CDM mnamtukana Rais SSH eti DIKTETA mwanamke wakati ameacha uhuru wa habari na utawala wa sheria uendelee.
Kama unayosema Yana ukweri nenda mahakamani kasaidie upande wa ushaidi wa jamuhuri, maana mpaka sasa wanahangaika kushawishi watz na ushaidi dhaifu sana
 
Iko namna ya kuzuia Mbowe kwenda jela wadhalimu wakikamia? Kama hakuna, basi wasirahisishiwe njia ya kumfunga bila kupitishwa kwenye aibu yote ya dhambi wanayoilazimisha. Kesi yote isikilizwe hadi mwisho.

Mandela alikaa jela miaka 27 akatoka na heshima kubwa sana. Sio la kuombea; ni ikitokea hivyo.
Pointi kubwa sana, kama wamedhamiria kumfunga, kugomea kujitetea ni kuwarahisishia.
 
Kama unayosema Yana ukweri nenda mahakamani kasaidie upande wa ushaidi wa jamuhuri, maana mpaka sasa wanahangaika kushawishi watz na ushaidi dhaifu sana
Mama wa mbege anasema wakati wa kuwakamata walikuwa wanakunywa bia na kusajili line. Mahita anasema walikuwa wanatembea kuelekea upande wake..... haiwezekani Kama Wànasema ukweli wakatofautiana namna Ile...this is not minor variation
 
Serikali siyo wajinga kumfungulia Mbowe kesi ya ugaidi. Mbowe mwenyewe anajuwa namna alivyolikoroga.

Muulizeni kati ya Desemba 2020 na March 2021 mpaka tunamzika DIKTETA Magufuli alikuwa wapi? Muulizeni ni kitu gani aliomba kwenye ubalozi wa Denmark na alijibiwa nini?

Nendeni na ubalozi wa Canada mkaone status ya papers zake kwa alichokiomba. Mmasingizia alikuwa kwenye biashara zake Dubai, ana biashara gani Dubai?

Kwa nini Serikali ihangaike kumtengeneza Mbowe mashtaka ya kubumba? Ni nguvu gani aliyonayo?

Mbowe alitaka kuweka nchi kwenye status of instability immediately baada ya uchaguzi kukamilika. Serikali ilipogundua njama ndipo akalazimika kukimbia.

Nani kasikia masekondari ya shule za Kisslami yanachomwa tena baada ya Mbowe kuwa mikono salama pale Ukonga?

Na kwa kiasi kikubwa amshukuru Samia ambaye ameacha Mahakama itende haki kwani ingekuwa hajawahi kukimbia nchi wakati wa Mwendazake, saa hizi Mbowe angekuwa na msaidizi wake Ben Saanane huko kuzimu.

Nashangaa Wana CDM mnamtukana Rais SSH eti DIKTETA mwanamke wakati ameacha uhuru wa habari na utawala wa sheria uendelee.
Wewe acha upumbavu, akili zako ziko nyuma Kama nyuki, tumia kichwa Cha akili kujibu hoja siyo makalio Kama nyuki kuuma adui.

sasa mbowe alipoenda Dubai alitoroka au alipita wap? Na aliporud aliingilia wap? Kwa hiyo uchunguz wa serikali ulikamilika siku ya mbowe kuaandaa kongamano?

Mahakaman kila kitu mawakili wakisema, Jaj anauliza kwa kifungu kip, lakin yy Jaji alitoa hukum ndogo eti kwa maoni yake yaan et kwa maoni yangu..... Huoni apo ni tatizo?

Mashahid wanavyo jikanyaga, kama yule aliyesema kwamba alikaa kikao na mbowe Moshi, bila kujua tarehe na mwez huo mbowe alikuwa ndan kwa kufutiwa dhamana...!

Arafu unakuja hapa eti unajifanya unaelewa makosa yake eti tuulize ubaloz......, Kwa hiyo wewe umepata data ubaloz? Malaya mkubwa wewe, mabaya mnayo ombea wenzio yatawatokeen mpaka ufiwe na vifamilia vyenu. Pumbavu
 
Sio wazo baya, ila mimi nashauri waombe mwenendo wa kesi toka kwa jaji, kisha hapo wataona nini jaji anaandika, baada ya hapo watajua nini kinaendelea nyuma ya pazia. Wakiona mwenendo wowote uonaoacha shaka, ambao nina uhakika upo wachukue uamuzi wa kujitoa kwani hawana imani na mahakama. Nasisitiza waseme hawana imani na mahakama na sio jaji tu. Kisha wairuhusu mahakama itekeleze inachoagizwa na serikali.
Ndugu yangu wewe ndio umeongea point.kama inawezekana kuomba mwenendo wa kesi,hii itasaidia kujua muelekeo upoje.Binafsi huyu simuelewi bora yule Siyani alisikiliza vizuri japo alizingua kwenye maamuzi ya kesi ndogo.Ni bora kujitoa na msimamo uwe ni kukosa Imani na mahakama
 
Ktk kususia kesi ni jambo la khatari zaid
Hakuna mtu mwenye muda wa kuitisha mahakama, bali mahakama inashindwa kusimamia utendaji haki. Mifumo yetu kuanzia vyombo vya dola, mihimili kama bunge na mahakama zote kumeingizwa siasa chafu. Kama tumeamua kususia chaguzi za nchi hii kwa uhayawani unaondelea, sioni kwanini tuendelee kupoteza muda huko mahakamani ambako tayari uozo umeshaingia na unaonekana wazi.
 
Kwanini sasa mnayoa ushauri wa kutaka kuwaondoa Mawakili na Mbowe asijibu? Mnakaanga samaki kwa mafuta yake.

Majibu mnayo ya ambacho Mbowe ametenda ila mnataka kui FOOL public kuwa anaonewa.

Kama ushahudi ni wa kuunga unga WHY WORRY? Si ndiyo sasa mtamnasua Mbowe kirahisi?

You peolple you have to be matured, Mbowe is a mere suspect like any other person in custody until proven GUILTY by the Court. The more mna doubt rule if law the more mnaonyesha mtu wenu ni mwovu.
Labda nikuulize kitu kidogo,wewe kwa uelewa wako kila aliyefungwa Mahakamani (kesi ilisikilizwa kama inavyotakiwa) ni mhalifu?Mh.Rais alikiri uwepo wa kesi za kubambikwa,we unadhan wanaobambikwa ushahidi hukosekana?Hata ushahidi huwa unapikwa.Kwenye kesi hii ya Mbowe mashahidi wenyewe wanapingana kuashiria kuna uongo
 
Dogo mbna unarudia ngonjera hzhzo tu
Serikali siyo wajinga kumfungulia Mbowe kesi ya ugaidi. Mbowe mwenyewe anajuwa namna alivyolikoroga.

Muulizeni kati ya Desemba 2020 na March 2021 mpaka tunamzika Magufuli alikuwa wapi? Muulizeni ni kitu gani aliomba kwenye ubalozi wa Denmark na alijibiwa nini?

Nendeni na ubalozi wa Canada mkaone status ya papers zake kwa alichokiomba. Mmasingizia alikuwa kwenye biashara zake Dubai, ana biashara gani Dubai?

Kwa nini Serikali ihangaike kumtengeneza Mbowe mashtaka ya kubumba? Ni nguvu gani aliyonayo?

Mbowe alitaka kuweka nchi kwenye status of instability immediately baada ya uchaguzi kukamilika. Serikali ilipogundua njama ndipo akalazimika kukimbia.

Nani kasikia masekondari ya shule za Kisslami yanachomwa tena baada ya Mbowe kuwa mikono salama pale Ukonga?

Na kwa kiasi kikubwa amshukuru Samia ambaye ameacha Mahakama itende haki kwani ingekuwa hajawahi kukimbia nchi wakati wa Mwendazake, saa hizi Mbowe angekuwa na msaidizi wake Ben Saanane huko kuzimu.

Nashangaa Wana CDM mnamtukana Rais SSH eti mwanamke wakati ameacha uhuru wa habari na utawala wa sheria uendelee.
 
Naunga mkono hoja
Napinga hii hoja, kujitoa mapema kwenye hii kesi kwa style ya kususa ndio kutawapa jamhuri sababu ya kupandikiza propaganda zao ambazo mpaka sasa zimefeli, kesi ibaki mahakamani mpaka dakika ya mwisho, na ikibidi kama hukumu itakuwa mbaya wakate rufaa mahakama ya rufani.

- Wacha ulimwengu unaofuatilia hiyo kesi uendelee kujionea kila hatua ya uozo wa mahakama zetu na majaji, wawakilishi wao wapo wanahudhuria hiyo kesi, kitendo chochote cha kujitoa utakuwa ni utoto usiokuwa na maana yoyote.

Kila jambo linalofanywa huacha precedence iwe mbaya au nzuri, kususia kesi mahakamani itaonekana jamaa ni wahalifu kweli na wataitumia karata hiyo kuwajaza ujinga wale wasiojitambua na watawaamini, kwamba Chadema ni chama cha vurugu, hakuna kuitoa kesi mahakamani, wacha waendelee kujivua nguo mpaka dakika ya mwisho, wenye akili zao wanaujua ukweli.
 
Pole mjane wa mwendazake
ninge kuwa mfuasi wa mbowe, ktk kipindi hiki kigumu ningemshauri atubie sana maovu yake aliyo yatenda yanayo julikana na yasiyo julikana, maana huenda hii ni saaa ya malipo kwake kwa uovu alio watendea wengine.
 
Kesi za kisiasa huwa hazina nguvu..hata wakimfunga mbowe hawatazima vuguvugu la katiba mpya.
Watanzania wa leo si wa mwaka 77. Kesi hii inazidi kuishushia heshima CCM ndaji na nje ta nchi.

Hakuna mtazania youote hata mwana CCM ambaye hajui kwamba hii kesi ni ya kunambikiza.

Chama kikongwe kinashindwa kujibu hoja kinakimbilia kumbambikiza kesi..ni kufirisika kisiasa.
 
Nakumbushia tu ndugu zangu,week takribani mbili zilizopita mlipiga zenu konyagi na kushangilia mitaani na mitandaoni baada ya sabaya kula 30yrs,Tena mkapongeza mahakama hizihiz.Baadhi ya wadau waliwakumbusha,Mahakama hizihizi zinazotoa hukumu za kina sabaya nanyi mkafurahi KWA vifijo na nderemo,Ndo hizo hizo hutoa KWA wengine.

WAZEE NCHI NGUMU SANA HII,WATU HAWAELEWEKI WANACHOKITAKA.
 
Serikali siyo wajinga kumfungulia Mbowe kesi ya ugaidi. Mbowe mwenyewe anajuwa namna alivyolikoroga.

Muulizeni kati ya Desemba 2020 na March 2021 mpaka tunamzika DIKTETA Magufuli alikuwa wapi? Muulizeni ni kitu gani aliomba kwenye ubalozi wa Denmark na alijibiwa nini?

Nendeni na ubalozi wa Canada mkaone status ya papers zake kwa alichokiomba. Mmasingizia alikuwa kwenye biashara zake Dubai, ana biashara gani Dubai?

Kwa nini Serikali ihangaike kumtengeneza Mbowe mashtaka ya kubumba? Ni nguvu gani aliyonayo?

Mbowe alitaka kuweka nchi kwenye status of instability immediately baada ya uchaguzi kukamilika. Serikali ilipogundua njama ndipo akalazimika kukimbia.

Nani kasikia masekondari ya shule za Kisslami yanachomwa tena baada ya Mbowe kuwa mikono salama pale Ukonga?

Na kwa kiasi kikubwa amshukuru Samia ambaye ameacha Mahakama itende haki kwani ingekuwa hajawahi kukimbia nchi wakati wa Mwendazake, saa hizi Mbowe angekuwa na msaidizi wake Ben Saanane huko kuzimu.

Nashangaa Wana CDM mnamtukana Rais SSH eti DIKTETA mwanamke wakati ameacha uhuru wa habari na utawala wa sheria uendelee.
Kumbe unajua Ben saa Nane Yuko kuzimu hii dhambi itakutafuna vibaya mno huna hata huruma wazazi wake na ndugu zake wakiona ulichokiandika duu mungu anakuona hebu jaribu kuvaa viatu vya familia ya Ben saa Nane lazima vikupwaye.
 
Back
Top Bottom