Kwani amekosa nini hadi mmeamua kumhukumu adhabu ya kifo mapema hivi?Wanaukumbi.
BREAKING: KHALID MISH’AL ANAWEZA KUWA KIONGOZI ANAYEFUATA WA HAMAS
Kuna muundo wa uongozi uliowekwa
=========================
View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1846918165936091304?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wanaukumbi.
BREAKING: KHALID MISH’AL ANAWEZA KUWA KIONGOZI ANAYEFUATA WA HAMAS
Kuna muundo wa uongozi uliowekwa
=========================
View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1846918165936091304?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Chumaahichooò kiko na mabikra 128
Na yeye safar ya kuwahi mabikra 72 inawadia yaan ipo loading........Wanaukumbi.
BREAKING: KHALID MISH’AL ANAWEZA KUWA KIONGOZI ANAYEFUATA WA HAMAS
Kuna muundo wa uongozi uliowekwa
=========================
View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1846918165936091304?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Yukohapa anakulazigooKwani
Kwani aliyetangulia amekwenda wapi?
Akusoma nyakatiI feel sorry for his family that will be left on earth alone.
Mwenzake mwezi wa nane kakalia kiti, mwezi wa kumi kaondolewa.
Huyo Khalid Meshal alishawahi kuwa kiongozi wa Hamas na baadaye ndiyo akakabidhi uongozi kwa Ismael Haniyeh,kwahiyo siyo mgeni huyo sema kwa muda mrefu anaishi Qatar.Hili papai litatobolewa faster sana na myahudi
Hao ni freedom seekers br. Wanajua kupambana na Israel ni jambo la kutisha na kufa ni hadharani bila chenga. Wanachokifanya wao ni kuendeleza harakati kukomboa taifa lao.Kupewa uongozi wa kundi la kigaidi hakuna tofauti na kufungwa mabomu/vilipuzi mwilini ili ukajitoe muhanga.Huna hiyari hata ukilia na kutia huruma.Ukipewa tu wewe ni "the number one walking dead "!Alale pema peponi kamanda in advance!
Sawasawa.Ngoja tusubiri.Hao ni freedom seekers br. Wanajua kupambana na Israel ni jambo la kutisha na kufa ni hadharani bila chenga. Wanachokifanya wao ni kuendeleza harakati kukomboa taifa lao.
Nisikudanganye pamoja na hili Israel hawatafanikiwa kuishi Kwa amani maisha yote ya hapa
Kwa hiyo?Wewe umeifahamu Hamas kupitia JF ngioja nikupe darsa kidogo wewe mlokole huwenda ulikuwa bado upo Utegi au kwenye zipu.
Tarehe 22 Machi 2004, kiongozi wa Palestina na mmoja wa waanzilishi wa Hamas, Ahmed Yassin, 67, aliuawa katika mji wa Gaza. Sheikh Ahmed Yassin - ambaye alitumia kiti cha magurudumu kwa sababu ya kuwa na ulemavu wa miguu tangu ujana wake - alikuwa akirejea kutoka kuswali Swalah ya Alfajiri, na masahaba zake pia waliuawa mara moja.
Ni darsa kidogo lisilo na muelekeo.Mvumilie tu.Kwa hiyo?
Kaka jibu swali mbona simple tu umeulizwa huyo wa nyuma yake yupo wapi mpaka unataka aje mwingineHuyu ndiyo muasisi wa Hamas aliuliwa mwaka 2004, baada ya kifo chake Hamas wanapambana Hamas ni ideology, siyo mtu huwezi kuwamaliza Hamas kwa kuuwa watu wao zadi ni kuwapa nguvu. Tofauti na nyie wagalatia mnaogopa kufa😀
Anakupatia darsa kidogo.🤔Kaka jibu swali mbona simple tu umeulizwa huyo wa nyuma yake yupo wapi mpaka unataka aje mwingine
kifo si suala la sifa. kifo ni kifo hizo narrative ni ujinga.Hahahaha kuna tofauti kati ya hamas na nyie wagalatia nyie mnaogopa kufa wakati Hamas kifo ni ushindi🤣