Kiasi chake Lema yuko sahihi, niliishi USA miaka kumi niliporudi nchini niliamini Watanzania tuna laana

Kiasi chake Lema yuko sahihi, niliishi USA miaka kumi niliporudi nchini niliamini Watanzania tuna laana

Tujilinganishe na Korea Kusini, Malaysia na Vietnam ambazo hapo nyuma miaka 60 tu tulikuwa karibia sawa kimaendeleo.
Upo sahihi yaani kuanzia karne ya 1 mpk kufikia ya 15 we were almost the same(lakini sio sawa exactly maana kuna vitu walituzidi vingi tu) kama nilivyoeleza hapo kuanzia karne ya 15 mpk uhuru kwa zaid ya miaka mia tano waafrica wamepitia majanga makubwa sana yaliyowarudisha nyuma wakati kwa miaka hiyo wenzetu wa mbele wapo active na wakawa wanazidi kuendelea kwenye nyanja zote..

Hitimisho langu likawa hatuwezi kuwa the same wakati kwa miaka mia tano tulikuwa dormant na wenzetu wakawa wanaendelea kujenga uchumi wao kwa muda huo..

Sisi waafrica hatuna hata miaka mia tangu nchi zetu zianze kupata uhuru kwa hiyo kujifananisha na watu wao na kujiota tuna laana ni unfair kabisa..
 
Kuna hospitali ataonyesha. Si nyie mnasema hamshirikiani na wapinzani kupeleka maendeleo?
Ndio tushirikiane wakati wao ndio wanaunda Halmashauri na mapato Yako chini Yao?

Hospital gani hiyo ya mikunesha miaka 5? Tukimkumbusha kutukana bodaboda,mama Ntilie,Vicoba nk atasema nini?
 
Sasa sasa hivi mbona hata maeneo mengine yenye migodi barabara ni mbovu sana??
Kwa mfano nchi gani zinazotupa msaada kabla ya uhuru tulikuwa nazo sawa kiuchumi!?.

Mjerumani alifanya hayo unayoyaita maendelea kwa ajili tu ya kurahisisha shughuli zake ndani ya koloni..

Reli, barabara,madaraja yalijengwa maeneo ambayo kulikuwa na uzalishaji kwenye migodi na mashamban hili kurahisisha usafirishaji katika maeneo hayo
 
Mwaka 1990 au 91 kama sikosei Nelson Mandela alifanya ziara nchini Tanzania, watu walijipanga kuanzia Pugu Road, Buguruni, Ilala, Kariakoo, Mnazi Mmoja, Posta mpaka Ikulu.

Kufika Ikulu naambiwa alimwaga machozi hatari maana wakati anafungwa jela alikokaa miaka zaidi ya 26 alipotoka alikuta maendeleo makubwa sana nchini kwake chini ya Makaburu. Akawa kama mshamba anashangaa shangaa tu maghorofa na mabarabara. Sasa akawaza kuwa kama Makaburu wameweza haya vipi Tanzania ambayo inajitawala chini ya Mwanajumuni wa Africa JK Nyerere.

Alichokikuta sasa, slums za Buguruni kwa Mnyamani, Malapa, Ilala, Posta ilikuwa ile aliyoiacha, ndio kisa cha kulia. Aliona Uhuru haujamkomboa Mtanzania.

Haya maneno sijayatunga, niliambiwa na mzee wangu aliyekuwa kiongozi mwandamizi kipindi hicho.

Sasa baada ya mimi kumaliza kidato cha sita nilienda USA nikatelekezwa New York na rafiki yangu wa high school. Nilikuja kuokolewa na Babu Sikare naarufu kama Albino Fulani (RIP)a mbaye pia nilisoma nae Dakawa High School na kukulia pamoja mitaa ya Oysterbay. Yeye akiishi Namanga flats za Tanesco na mimi nikiishi Chole.

Siku moja nikifanya mazoezi niliteguka mguu nikapiga simu ikaja ambulance mpaka hospital nikatibiwa nikapona hapo nilikuwa USA kumbuka. Baada ya kurudi nchini nilipitia msoto kwa miezi kadhaa, kuna siku niliumwa nikakosa hata Panadol, nikahitimisha kuwa tumerogwa au tuna laana.

Mnaompinga Lema mjitafakari, wenzetu wako mbali, mnapoendesha hizo crown zenu mnajiona maisha mmeyapatia.

Viongozi wetu bado wana kazi ya kututoa kwenye umasikini, tuko nyuma sana. Lema hakuyajua hayo maana alikuwa hajawahi kufika Duniani!

ni muda sahihi wa kupigania maendeleo ya vitu bila kutekana au kuuana.
Tupo nyuma sana,na kenge waliomadarakani wanqlijua hili,ila wanaona ni Bora tubaki gizani Ili waendelee kutawala,maaana wakitutoa gizani,watapoteza nafasi zao
 
Ingekuwa kulima ni rahisi hivyo ungekuta wakulima wote ni matajiri

Mdomo Kila mtu anao,Leo hii Singida wanalalamika alizeti hazinunuliki
Sawa, wanasaidiwaje? Mimi nimesema ardhi nzuri na mvua za kuaminika kama factors muhimu katika maendeleo ya kilimo. Hizo fursa hazitumiwi vilivyo ila zikitumika vilivyo mkulima atainuka.
Mfano huko nilikosema mtu analima heka 5 anavuna gunia 25 badala yab100. Ndio kilimo kina changamoto lakini ukikabiliana nazo unatoka.
Nilienda mahali bagamoyo nikakuta mtu amejenga karibu bwawa ambalo halikauki lakini alikuwa anatafuta mboga nikaenda kumnunulia mbegu za bamia, maboga na biringanya nikamuelekeza nikamtafutia na samadi kutoka maboma ya wamang'ati baada alinishukuru.
Kwa hiyo usikatishe watu tamaa kama alizeti hazina bei mnaotawala mna mpango gani au mnazidi tu kuagiza korie
 
Mimi naona tupambane kwa uwezo wetu tu tusijilinganishe na mtu.

Kufikia karne ya 15 Marekani ilikuwa tayari imepiga hatua katika nyanja kadhaa kiuchumi,kijamii na kisiasa wakati huo mababu zetu wanavaa vibwaya na kuvuta kinyesi cha ng'ombe..

Kutoka karne ya 15 ambapo Marekani ilikuwa active mpk karne ya 21 ni miaka mia 6 hiyo na katika kipindi hicho mababu zetu wamepitia vipindi vigumu vya biashara za utumwa mara ghafla ukoloni huu hapa tunakuja kuachiwa huru mpaka sasa ni miaka 60 tu tangu tuanze kujitegemea..

Hivi mnaona ni sahihi kujilinganisha na watu ambao wameendelea tangu katne ya 15? Yaani wana miaka zaidi ya mia tano kwenye game!?...Hatuna laana balu mazingira yametuforce kuwa hivi
 
Mimi naona tupambane kwa uwezo wetu tu tusijilinganishe na mtu.

Kufikia karne ya 15 Marekani ilikuwa tayari imepiga hatua katika nyanja kadhaa kiuchumi,kijamii na kisiasa wakati huo mababu zetu wanavaa vibwaya na kuvuta kinyesi cha ng'ombe..

Kutoka karne ya 15 ambapo Marekani ilikuwa active mpk karne ya 21 ni miaka mia 6 hiyo na katika kipindi hicho mababu zetu wamepitia vipindi vigumu vya biashara za utumwa mara ghafla ukoloni huu hapa tunakuja kuachiwa huru mpaka sasa ni miaka 60 tu tangu tuanze kujitegemea..

Hivi mnaona ni sahihi kujilinganisha na watu ambao wameendelea tangu katne ya 15? Yaani wana miaka zaidi ya mia tano kwenye game!?...Hatuna laana balu mazingira yametuforce kuwa hivi
Unaishi karne ya 15 au 21.
Kwa mentality hii tuache magari tupande farasi.
 
Kwa ushuhuda huu Basi na mimi nimekubali tuna laana
 
We taahira nini,Kila kitu kilikuwepo Kuna stand na Barabara za mitaani hapo?

Maji mlikuwa nayo nyie pimbi? Hivyo vyote vimefanyika awamu hii ya Gambo

Huna lolote ujualo kuhusu Arusha zaidi ya kupiga siasa mfu hapa jukwaani. Nenda kawaulize wakazi wa Arusha barabara za mitaa zenye lami ziliwekwa lini, Mradi mkubwa wa maji umesainiwa kabla ya 2015 na utekelezaji wake haukutegemea msukumo wowote wa diwani, mbunge awe wa CCM au CDM.

Usitake kuleta upotoshaji wa kijinga hapa. Kama unasubiri taarifa za maendeleo ya Arusha kupitia kwa Gambo basi umefeli pakubwa.
 
Back
Top Bottom