Kiasi gani cha pesa uliwahi kuliwa kwenye DUBWI mpaka ukachanganyikiwa?

Waafrika hatuna akili.

Kamari huchezwa na matajiri wenye pesa za kuchezea.

Tajiri mwenye bilioni 2 akiliwa laki 2, kwake siyo kitu.

Sasa wewe ndugu una laki 2 halafu unaenda kucheza kamari laki 2; hizi siyo akili hata kidogo!
 
Michezo ya jamii zenye high ILLITERATE level...

Mtu yeyote ambae ni LOGICAL being hawezi cheza Hilo dubu .


Cc. Mbagala et. AL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ