Kiasi kikubwa cha bangi ya hapa nchini ni kushabu, watu wanavuta makapi sio bangi


Bangi bangi tu , utofauti wa skanka Na kushabu nikule mzigo unapotoka kwa mkulima.
 
Hahaha

Siku hizi madem wengi mjini wanavuta skanka

Wanasema wakipiga wanajisika burdan

Ova
Yeah mkuu,,, ila wale kaka zake mama/wajomba wakijua unayo skanka hata ya kuvuta tu mwenyewe wanakupa kesi ya uhujumu uchumi wakati hii ni starehe kama zilivyo starehe nyingine
Ova,,,
 
Unavutia bangi nyuma ya choo,
Unavuta bangi hujala,
Unavuta bangi mchana jua la saa6-8 ,
Unavuta bangi una stress,
Unavuta bangi ya kugongea,
Unavuta bangi ili ukafanye fujo,
Unavuta bangi ili ukabebe vitu vizuto[emoji23]
Kwanini usichizi hakuna kushabu wala nini ni life style yako tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…