Mkuu inatuhusu kwasababu alikuwa Rais wa nchi hii, sio kama ndugu zako ambao hawajawahi kuwa ma Rais wa nchi hiiKaburi la familia ya watu inatuhusu nini sisi? Hebu tuwekee makaburi ya ndugu zako kama angalau hata yana fensi ya mabati,?! Achana na mambo yasiyokuhusu.
Wewe nawe ni mtumwa wa Jiwe....Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali. Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia.
Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
I like to know a lot about natureThis only happen in Afrika,
JPM alikuwa jambazi,muhongo,mkabila,the nature Did us good by getting rid of him.
Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali. Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia.
Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
Kwao hapo Wanaamini sana Mambo ya Kiutamaduni wa Mwafrika ( Mazingaombwe ) na huenda hivi uonavyo ni Moja ya Makubaliano ya Kimiiko ya Kabila lake la Wasubi japo nilikuwa nikishangaa mno Watanzania wengi mkimuita na kuamini kuwa alikuwa 100% ni Msukuma.Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali. Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia.
Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
We mwehuAhadi yangu ya kunya kwenye kaburi la huyo fisadi na muuaji iko pale pale!
Ili mwendazake asinyeshewe?Ninavyoelewa ni kuwa eneo line sasa hivi lina mvua nyingi sana kwa hiyo sishangai kama walijenga hilo banda kuwa temporarly shelter hadi mmvua zitakapokiwsha
Duh,Kebbys tena?Why?Wangemhamishia Kebbys pale!
No sio haters sema wazalendoWangeacha wazi kuna haters wanaweza ingia humo wakakojolea kaburi.
Alivuliwa nguo zote akazikwa na mkuki na ngozi ya kondoo,Kamati ya mazishi tuliamua kumfukia Kayafa kama panya kutokana na uovu wa kutisha aliofanya akiwa hai.
bro kebbys na yule mama ngosha hausiki acha kumsingiziaWangemhamishia Kebbys pale!
Kwani hujui Jengo la Mwendazake?Duh,Kebbys tena?Why?
Siku ccm wakiondoka madrakani inabidi kaburi lifukuliwe,maiti itolewe na inyongwe kama walivyomfanyia Oliver Cromwel Uingereza mwaka 1660.Hata hicho mbona wamemsaidia
Kwanza hiyo sehemu inastahili kulipuliwa kwa bomu tufute kabisa ukurasa huo mchafu!Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali. Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia.
Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
Ndio maana yakehapo sio kujengea kaburi ni kijumba cha kuzunguka kaburi...