Kibanda cha Bati kwenye kaburi la Hayati Magufuli kinatia aibu

Kibanda cha Bati kwenye kaburi la Hayati Magufuli kinatia aibu

Kaburi la familia ya watu inatuhusu nini sisi? Hebu tuwekee makaburi ya ndugu zako kama angalau hata yana fensi ya mabati,?! Achana na mambo yasiyokuhusu.
Mkuu inatuhusu kwasababu alikuwa Rais wa nchi hii, sio kama ndugu zako ambao hawajawahi kuwa ma Rais wa nchi hii
 
Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali. Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli?

Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia.

Wahusika mjitathmini.

View attachment 1784695
View attachment 1784754
Kwao hapo Wanaamini sana Mambo ya Kiutamaduni wa Mwafrika ( Mazingaombwe ) na huenda hivi uonavyo ni Moja ya Makubaliano ya Kimiiko ya Kabila lake la Wasubi japo nilikuwa nikishangaa mno Watanzania wengi mkimuita na kuamini kuwa alikuwa 100% ni Msukuma.
 
Ninavyoelewa ni kuwa eneo line sasa hivi lina mvua nyingi sana kwa hiyo sishangai kama walijenga hilo banda kuwa temporarly shelter hadi mmvua zitakapokiwsha
Ili mwendazake asinyeshewe?

Mwavuli tu ungemtosha, asituchoshe....
 
Back
Top Bottom