Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Ee Mungu Baba wa rehema mjaza neema ndogo ndogo na kubwaa unayejibu kwa Moto
Ahsante kwa kuwa unajibu sawa sawa na maombi yetu
Kamwe hujawahi kushindwa kamwe hujawahi kumwacha mtu wako akitapeliwa wala kutaharika
Tunakushukuru kwa yote ktk jina la mwanao Yesu Kristo alie hai
Huyu Baba Mungu kaamua kumwaibisha, amekula pesa za masikini wengi sana amewadanganya wengi sana.
Emmanuel Robert kumfungia haitoshi, huyu bwana ni kumweka ndani zile fomu za laki 5 zina namba za simu za waumini, wapigiwe warudishiwe hela zao
Na iwe fundisho kwa wahuni wote wa style kama hii
Bado mwenzie wa Tabata soon loading.
Pia soma
Ahsante kwa kuwa unajibu sawa sawa na maombi yetu
Kamwe hujawahi kushindwa kamwe hujawahi kumwacha mtu wako akitapeliwa wala kutaharika
Tunakushukuru kwa yote ktk jina la mwanao Yesu Kristo alie hai
Huyu Baba Mungu kaamua kumwaibisha, amekula pesa za masikini wengi sana amewadanganya wengi sana.
Emmanuel Robert kumfungia haitoshi, huyu bwana ni kumweka ndani zile fomu za laki 5 zina namba za simu za waumini, wapigiwe warudishiwe hela zao
Na iwe fundisho kwa wahuni wote wa style kama hii
Bado mwenzie wa Tabata soon loading.
Pia soma