Kiboko ya Wachawi ashtakiwe arudishe pesa za watu, na afungwe iwe fundisho kwa wahuni wote wa aina hii

Kiboko ya Wachawi ashtakiwe arudishe pesa za watu, na afungwe iwe fundisho kwa wahuni wote wa aina hii

Hao watu ndio wanapaswa kufungwa kwa kosa la uhujumu uchumi.
Wengi ni maskini kapuku.
Kuna dada muuza uji alitoa laki 2, laki alikopa na laki ya kwake
Hata kuwekewa mkono kichwani hajawekewa pesa yake ndogo
Wajinga sana hawa halafu anaweza kukudai mia yake mwaka mzima
Hata masikini hampi senti
 
Ashtakiwe kivipi? Kwan kaiba? Wajinga ndio waliwao wamejipeleka wenyewe acha walambwe, mwamba hana tatizo kabsa wamrudishie huduma yake aendelee kuwapiga wajinga.
 
Unajuwa mpwa watu ni wjnga sana,na wakiambiwa hawaelewi
Eti leo hii huyo kiboko ya wachawi ni nabii anafanya maajabu...

Mpwaa sijuii tumelogwq mbaya hadi walioenda shule na aunt yangu na kanchechede kangu sijui

kama.alikqqchq ssalama wana masters lakn walikufa wakaoza yaaan ile mazingaombwe ya usiku wanaamn kweli anafufua watu kwenye simu hahahaa
 
KUNppA CLIP INATEMBEA JAMAA KAJIREKODI ANASEMA HAKUAMBIWQ SABABU ALISHANGA TU KAAMBIWA KWENYE SIMU ANA MASAA 24 AWE AMEONDOKA HAHAHAAA MPWA NAKAPIGIWA USIKU MNS PESA ZETU AMETOA SANA MIL KWENYE ATM ELSE ZIKO SALAMA TUFANYE MKAKATI KUZIDAI
 
Ile baruua sijui alipewa.mkewe akaificha hahaha mparee nyokooo
 
Mpwaa sijuii tumelogwq mbaya hadi walioenda shule na aunt yangu na kanchechede kangu sijui kama.alikqqchq ssalama wana masters lakn walikufa wakaoza yaaan ile mazingaombwe ya usiku wanaamn kweli anafufua watu kwenye simu hahahaa
Kipindi fulani kuna mama mmoja alienda huko alikuwa na shida zake za afya

Alipokutana naye huyo kiboko ya wachawi akadai hyo mama amtafutie mln 9 huyo mama kurudi nyumbani ilibidi akae na ndg zake sasa kuna mtoto wa mama huyo tena muajiriwa wa serikalini akanitafuta akaniambia 1,2,3 nkasema basi siku nkija dar tutakaa na kuzungumza naye

Kufika dar kweli nkawaibukia kwao

Makongo juu,nkazungumza sana na mama mwisho nkamwambia asijitusu kutoa hyo mln 9 ataumia
Yule mama alikuja kunishukuru sana

Huyu kiboko ya wachawi ni TP tu

na kabla ya hapo ashauza sana vipodozi feki eti leo nabii sjui mtume

Tunajuwa sahv kuna manabii mitume wengine feki wanalindwa na watu wako kwenye mfumo
Ila siku yao itakuja tu

Acha waendelee kucheza na akili za wajinga

Ova
 
Kipindi fulani kuna mama mmoja alienda huko alikuwa na shida zake za afy...
Mwambaaaaa mpwaaaaa anawapigaaa watu wakiwa Congo umeona clips kaomba mil 10 oooh mwandishiwahabari
 
Dibwe Dibwela afanye huko huko DRC UTAPELI wake ,huku akirudi mwekeni NDANI.
 
1722891467875.png
 
Tunashauri, tuna onya, tunajadili, tunakemea! Bado mijitu inaenda huko huko, kina Mwamposa na matapeli wengine wa kiroho!
Wacha wawalie hela tu!
 
UPATU MLIIZIPATA HIVI ZILISHIA WAPI
 
Mpwaa sijuii tumelogwq mbaya hadi walioenda shule na aunt yangu na kanchechede kangu sijui kama.alikqqchq ssalama wana masters lakn walikufa wakaoza yaaan ile mazingaombwe ya usiku wanaamn kweli anafufua watu kwenye simu hahahaa
Hivi alikuwa anafanya mazingaombwe gani kiasi cha kuwafanya watu wamuamini sana
 
Ee Mungu Baba wa rehema mjaza neema ndogo ndogo na kubwaa unayejibu kwa Moto

Ahsante kwa kuwa unajibu sawa sawa na maombi yetu

Kamwe hujawahi kushindwa kamwe hujawahi kumwacha mtu wako akitapeliwa wala kutaharika

Tunakushukuru kwa yote ktk jina la mwanao Yesu Kristo alie hai

Huyu Baba Mungu kaamua kumwaibisha, amekula pesa za masikini wengi sana amewadanganya wengi sana.

Emmanuel Robert kumfungia haitoshi, huyu bwana ni kumweka ndani zile fomu za laki 5 zina namba za simu za waumini, wapigiwe warudishiwe hela zao

Na iwe fundisho kwa wahuni wote wa style kama hii

Bado mwenzie wa Tabata soon loading.

Pia soma
Arudishe nini? Ulimpa mwenyewe kwa hiari yako. Andika tu umeliwa.
 
Back
Top Bottom