Kiburi cha Hamas na Ujinga wa wapalestina vinaelekea kuwaangamiza kabisa huko Gaza

hamna akili kwa hawa watu hata uwaze vipi hautapata kujua kiwango cha ujinga ndani ya hawa wasaka bikra na mifereji ya wanzuki
 
Dah! Umeuliza maswali mengiii!! Halafu karibia yote ni 🚮. Wewe ni Mswahili tu. Maumivu na mateso wanayopitia Wapalestina kutoka kwa Mayahudi, kamwe huwezi kuyajua.

Na kwa taarifa yako, hao ndugu zako wa kulazimisha kila siku wanatunguliwa tu mmoja baada ya mwingine. Maana wanapigana vita na mizimu. Jeuri yao iko kwenye kubomoa tu majengo na miundombinu mingine. Ila siyo kwenye kuwaua hao Hamas.
 
Ndio sawa na Ukraine, kams angekubali yaishe tu angezuia vifo na maafa mengi tu ila kakaza shiko et anapigania nchi yake matokeo yake ni maafa si nchini kwake tu bali sehemu kubwa ya dunia.

Duniani kuna ujinga mwingi sana.
wewe ni mjinga kbs , Ukraine ilivamiwa mwaka 2014 ila walikaa kimya hawakujibu , Urusi hakuridhika akavamia tena 2022 awamu hii alivamia katikati ya nchi , we mpuuz je ulitaka akubali nin? akubali kutekwa kama ilivyotekwa Crimea mwaka 2014 ? Ila Israel ndo ilivamiwa na Hamas , kwahiyo Wanalaumiwa kuanzisha vita ambavyo hawaviwez na Israel alisema hana mpango wa kuivamia Gaza ila anataka mateka wake tu ila waislam pamoja na Gaza mligoma na mkaona anawaogopa sababu mmekosa akili ya kuona mbali , Putin hakuwai kutoa onyo lolote kwa Ukraine na alipoambiwa alikana hana mpango wa kuivamia Ukraine ila Israel walitoa onyo hadi kwa raia kupisha warzone
 
Kuna jamaa mmoja ni mpalestina anaishi gaza alikuwa anasimulia alivyosikia hamas wamefanya yao 7 October,yeye alichofanya siku hiyo hiyo ni kutoka mbio gaza zaidi ya bolt maana anajua nini kinachofata
Huyo jamaa namfahamu
 
Mwisho wa siku mkuu ndio yale yale tu, kama angasalimu amri angeepusha maafa mengi tu kuliko kilichotokea.
 
Wangelipiza hicho kisasi kwa kiasi walichochokozwa, sasa kisasi kimekuwa zaidi ya na vile walivyochokozwa. Kunawekwa makubaliano ya kusitisha mapigano kwa muda ila muda ulivyoisha bado et anaendelea tu kuteketeza watoto wadogo.
we mpuuz fuatilia huo mgogoro uuelew , sio kila mtu anaabudu shetan kama nyinyi kwamba wasijenge nchi yao wawe wanawalipiza nyiny tu , kwann msipigane wenyew ili muwe mnalipizana vzr ?
 
Ww unaona mwenye kiburi ni nan hapo
kama hujui jibu bas huna akili , Hamas amekuwa anarusha Rocket ndan ya Israel tangu mwaka 2017 ila Israel hajawai kujibu zaid ya kupangua , ebu waislam muwe mnafuatilia mnakuwa wajinga wa dini yenu hiyo
 
Umeamua kuchagua upande,

Anachofanya ISRAEL hakikubaliki na dunia yote kwa ujumla, na iko siku watalipia haya watendayo,lini?,"inabaki kuwa brackets"
Ila wanachofanya Hamas kinakubalika na hiyo dunia yenu!!??
 
Unajua kama hayo mashambulizi ya kisasi yangeelekezwa moja kwa moja kwa hao wahusika basi isingekuwa shida ila unauwa wasio na hatia kwa kikatili huku hao wahusika wakijificha huko sasa si inakuwa ni ujinga nao.
 
Warudi walipikua kabla ya mwaka 1948
waarabu wamewafanyeni misukule yao , sio wayaudi wote wamekuja , wapo wengi walikwepo sio tu palestina bali hadi mataifa mengine ya kiarabu
Your browser is not able to display this video.
 
mlisema haez ingia Gaza , je hapo ni wap?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo Ukraine ndio kaingia kwenye vita ambayo anaiweza?
 
we mpuuz fuatilia huo mgogoro uuelew , sio kila mtu anaabudu shetan kama nyinyi kwamba wasijenge nchi yao wawe wanawalipiza nyiny tu , kwann msipigane wenyew ili muwe mnalipizana vzr ?
Nyinyi akina nani? Wale watoto wanaouliwa na Israeli au nani hasa unayemkusudia?
 
Wangelipiza hicho kisasi kwa kiasi walichochokozwa, sasa kisasi kimekuwa zaidi ya na vile walivyochokozwa. Kunawekwa makubaliano ya kusitisha mapigano kwa muda ila muda ulivyoisha bado et anaendelea tu kuteketeza watoto wadogo.
Israel wanajenga bumps za kuingiza maji ya bahari kwenye mahanadi ambayo Hamas wanajificha. Hapo wanasema hawatajali kuwapoteza mateka waliobaki.
 
Umeandika kinazi sana.
Je Kabla ya shambulio la HAMAS wapalestuna walikuwa salama.

Kabla ya shambulizi la HAMAS , Israel alichokuwa anawafanyia wapalestuna ni sahihi?

Unajua maana ya OCCUPIED west?

Wapaleatina wanataka kujikomboa kutoka kwenyw makucha ya Israel, hii ina gharama zake pia. Siyo mara ya kwanza watu kufa kwa kuutafuta ukombozi (Mf. SOUTH africa apartheid n.k) .

Ulichotaka wewe ni wao waendelee kukaa kimya na kuendelea kunyonywa?

What if hii vita ndo mwanzo wa dunia kuamua kuisaidia Palestina?

Ungejua maelekezo ya UN kuhusu "two state resolution" , ungeacha kuwasema jamaa, wamepiria mengi mno.

Inshort unachotaka wewe ni wao kuendelea kuishi UTUMWANI ktk ardhi yao
 
Mwisho wa siku mkuu ndio yale yale tu, kama angasalimu amri angeepusha maafa mengi tu kuliko kilichotokea.
Angesalinu amri ya kutekwa maeneo yake na kutawaliwa. Nyie majitu mbona ni majinga majinga hivi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…