Basi nilichojifunza ni kwamba kuna matendo ni mabaya zaidi ya ugaidi ambao tunauogopa na kuuchukia.Wameamua kukata mzizi wa fitna kabisa ila siku nyingine kusitokee tena mashambulizi ya kigaidi.
dini imekutia wehusio kiburi ni haki yao na sikia nikwambie kuwa hakuna anayeweza kuwamaliza hamas
hamna akili kwa hawa watu hata uwaze vipi hautapata kujua kiwango cha ujinga ndani ya hawa wasaka bikra na mifereji ya wanzukiRaia wa palestina sijui niseme wamechanganyikiwa ama ndio hawathamini uhai? Haiwezekani uchukue watoto wadogo uwarundike sehemu moja ambayo imeshatangazwa ni warzone Kisha wakilipuliwa unabeba maiti juuu juu huku ukijidai unatoa machozi inashangaza sana.
Dah! Umeuliza maswali mengiii!! Halafu karibia yote ni 🚮. Wewe ni Mswahili tu. Maumivu na mateso wanayopitia Wapalestina kutoka kwa Mayahudi, kamwe huwezi kuyajua.Kinachoendelea Gaza kwa sasa ni matokeo ya level ya juu zaidi ya ujinga wa wapalestina na kiburi cha Hamas. Wapalestina wanaendelea kufa pasipo ulazima na eneo la Gaza kwa sehemu kubwa linakwenda kuwa chini ya udhibiti wa mamlaka ya Israel. Kwa sasa Israel imesema wazi haya, haijutii chochote ikiwa itawapoteza mateka wake wote waliobakia mikononi mwa Hamas, kasi na nguvu ya operation zake za kivita ardhini imeongezwa maradufu kuelekea upande wa kusini mwa Gaza ili kufuta uchafu wowote wa kigaidi!
Embu sote tujiulize haya maswali ya msingi ili kupima upeo wa wapalestina na kiburi cha Hamas:
1. Kulikuwa na ulazima wowote wa Hamas kufanya tukio la 7 oktoba?
2. Hamas ilifahamu nini kibaya dhidi yao na wapalestina kingefuata kutoka kwa Israel baada ya tukio lile?
3. Wapalestina wanafaidika nini kuendelea kuwakumbatia Hamas mpaka leo hii?
4. Wapalestina walikuwa wanajua gharama za kuwakumbatia Hamas zikoje?
5. Kama wapalestina wanajua waisrael ni watu katili na wenye kudhamiria kile walichokisema wakikikusudia, kwanini Wapalestina wengi wasiokuwa na hatia (wanawake na watoto)wameendelea kubakia maeneo yale yale ambayo yalitangaziwa vita hata baada ya kutakiwa kuondoka?
6. Kama tangu mwanzo Wapalestina, Hamas na dunia nzima wanajua wazi mwisho wa vita hii Hamas itakuwa kwa sehemu kubwa imefutika kabisa, wapalestina wengi wamekufa na eneo karibu lote la Gaza kuwa chini ya udhibiti wa Israel, kwanini waligoma kusalimu amri mapema tu?
7. Kwanini wapalestina (wanawake, watoto, vijana na wazee) walishangilia na kusheherekea kwa shangwe kubwa tukio la Hamas la 7oktoba la kuvamia, kuteka, kuua raia wasiokuwa na hatia wa israel na mataifa mbalimbali?
Walijua nini kingefuata?
Walishindwa kulaani na kuomboleza?
8. Kuna ulazima gani kwa Hamas kuendelea kushikiria mateka wa kiyahudi mpaka leo hii?
9. Kwanini wapalestina walishindwa kutumia vyema muda wa usitishaji mapigano? Nini mantiki ya kubakia hapo hapo kwenye uwanja wa vita kama hawako tayari kufa, kujeruhiwa au kuishi kwa mateso wakati kuna upenyo wa kuondoka umetolewa?
Kwanini Hamas haikutumia huo muda kusalimu amri ili kuepusha umwagaji damu kuendelea?
10. Ni vipi mpaka leo hii wapalestina bado hawajagundua kuwa wao wanatumika na baadhi ya mataifa ya kiarabu kama chambo tu ya kupambana na Israel?
Kwanini hawajiulizi mataifa ya kiarabu yanaishia kulaani tu lakini hawapeleki askari wao kule kupigana?
UJINGA NI MAUTI...
KIBURI NI KABURI....
AKILI YA KUAMBIWA CHANGANYA NA YA KWAKO...
wewe ni mjinga kbs , Ukraine ilivamiwa mwaka 2014 ila walikaa kimya hawakujibu , Urusi hakuridhika akavamia tena 2022 awamu hii alivamia katikati ya nchi , we mpuuz je ulitaka akubali nin? akubali kutekwa kama ilivyotekwa Crimea mwaka 2014 ? Ila Israel ndo ilivamiwa na Hamas , kwahiyo Wanalaumiwa kuanzisha vita ambavyo hawaviwez na Israel alisema hana mpango wa kuivamia Gaza ila anataka mateka wake tu ila waislam pamoja na Gaza mligoma na mkaona anawaogopa sababu mmekosa akili ya kuona mbali , Putin hakuwai kutoa onyo lolote kwa Ukraine na alipoambiwa alikana hana mpango wa kuivamia Ukraine ila Israel walitoa onyo hadi kwa raia kupisha warzoneNdio sawa na Ukraine, kams angekubali yaishe tu angezuia vifo na maafa mengi tu ila kakaza shiko et anapigania nchi yake matokeo yake ni maafa si nchini kwake tu bali sehemu kubwa ya dunia.
Duniani kuna ujinga mwingi sana.
Huyo jamaa namfahamuKuna jamaa mmoja ni mpalestina anaishi gaza alikuwa anasimulia alivyosikia hamas wamefanya yao 7 October,yeye alichofanya siku hiyo hiyo ni kutoka mbio gaza zaidi ya bolt maana anajua nini kinachofata
Mwisho wa siku mkuu ndio yale yale tu, kama angasalimu amri angeepusha maafa mengi tu kuliko kilichotokea.Vita ya Ukraine na Russia ni tofauti kabisa. Ukraine hakwenda Russia kushambulia ili kuchokoza, mzozo wote ulikuwa kwenye mazungumzo ya kumalizika kwa Amani lakini Russia alikuwa tayari kuingia vitani, Nchi ya magharibi zikampa backup Ukraine ya kumsaidia kupigana vita.
Upande wa pili, kusalimu amri huenda kusingeweza kuepukika kwa Ukraine lakini kitendo cha Russia kuingia kichwa kichwa kuliipa nguvu Ukraine kugoma kusalimu amri.
we mpuuz fuatilia huo mgogoro uuelew , sio kila mtu anaabudu shetan kama nyinyi kwamba wasijenge nchi yao wawe wanawalipiza nyiny tu , kwann msipigane wenyew ili muwe mnalipizana vzr ?Wangelipiza hicho kisasi kwa kiasi walichochokozwa, sasa kisasi kimekuwa zaidi ya na vile walivyochokozwa. Kunawekwa makubaliano ya kusitisha mapigano kwa muda ila muda ulivyoisha bado et anaendelea tu kuteketeza watoto wadogo.
kama hujui jibu bas huna akili , Hamas amekuwa anarusha Rocket ndan ya Israel tangu mwaka 2017 ila Israel hajawai kujibu zaid ya kupangua , ebu waislam muwe mnafuatilia mnakuwa wajinga wa dini yenu hiyoWw unaona mwenye kiburi ni nan hapo
Ila wanachofanya Hamas kinakubalika na hiyo dunia yenu!!??Umeamua kuchagua upande,
Anachofanya ISRAEL hakikubaliki na dunia yote kwa ujumla, na iko siku watalipia haya watendayo,lini?,"inabaki kuwa brackets"
Unajua kama hayo mashambulizi ya kisasi yangeelekezwa moja kwa moja kwa hao wahusika basi isingekuwa shida ila unauwa wasio na hatia kwa kikatili huku hao wahusika wakijificha huko sasa si inakuwa ni ujinga nao.Huo mchezo wa kitoto hata mimi sifanyi, yan unikute niko na buznes zangu ,unikere, niache nachofanya kwanujinga wako halaf niki deal na wewe unataka unnipangie ni deal kidogo kama wewe ulivyofanya. 🤣🤣. Ili uje inichokoze tena and cycle begins agains??
waarabu wamewafanyeni misukule yao , sio wayaudi wote wamekuja , wapo wengi walikwepo sio tu palestina bali hadi mataifa mengine ya kiarabuWarudi walipikua kabla ya mwaka 1948
mlisema haez ingia Gaza , je hapo ni wap?[emoji23][emoji23][emoji23]Hamas kundi teule
Mleta mada tukukumbushe suala la israhell kuifuta hamas hilo suala yaani ulisahau kabisaaa
Maafa yaliotokea na Yanayoendelea kutokea ghaza bila ubishi nimakubwa sana sanaa
Ila israhell kuifuta hamas na kuikalia ghaza na kukomboa mateka wake haya usahau
Kusema kwamba kakubali mateka wake wafe sio kwamba kapenda nikwamba tu hawezi kuwakomboa
Halaf hii israhell si ndio ilipigana na mataifa yote ya kiarabu kwa siku sita tu nakuwatwanga[emoji1787][emoji3][emoji1787]
Hii israhell si ndio iliokoa mateka wake. Pale entebee kwa 72hrs tu kama sijakosea ila inashindwa kuwaokoa magaidi wake waliopo hapo jirani
Israhell ilikua overrated sana na media mbwa hawa
Kwahiyo Ukraine ndio kaingia kwenye vita ambayo anaiweza?wewe ni mjinga kbs , Ukraine ilivamiwa mwaka 2014 ila walikaa kimya hawakujibu , Urusi hakuridhika akavamia tena 2022 awamu hii alivamia katikati ya nchi , we mpuuz je ulitaka akubali nin? akubali kutekwa kama ilivyotekwa Crimea mwaka 2014 ? Ila Israel ndo ilivamiwa na Hamas , kwahiyo Wanalaumiwa kuanzisha vita ambavyo hawaviwez na Israel alisema hana mpango wa kuivamia Gaza ila anataka mateka wake tu ila waislam pamoja na Gaza mligoma na mkaona anawaogopa sababu mmekosa akili ya kuona mbali , Putin hakuwai kutoa onyo lolote kwa Ukraine na alipoambiwa alikana hana mpango wa kuivamia Ukraine ila Israel walitoa onyo hadi kwa raia kupisha warzone
Nyinyi akina nani? Wale watoto wanaouliwa na Israeli au nani hasa unayemkusudia?we mpuuz fuatilia huo mgogoro uuelew , sio kila mtu anaabudu shetan kama nyinyi kwamba wasijenge nchi yao wawe wanawalipiza nyiny tu , kwann msipigane wenyew ili muwe mnalipizana vzr ?
Israel wanajenga bumps za kuingiza maji ya bahari kwenye mahanadi ambayo Hamas wanajificha. Hapo wanasema hawatajali kuwapoteza mateka waliobaki.Wangelipiza hicho kisasi kwa kiasi walichochokozwa, sasa kisasi kimekuwa zaidi ya na vile walivyochokozwa. Kunawekwa makubaliano ya kusitisha mapigano kwa muda ila muda ulivyoisha bado et anaendelea tu kuteketeza watoto wadogo.
Angesalinu amri ya kutekwa maeneo yake na kutawaliwa. Nyie majitu mbona ni majinga majinga hivi?Mwisho wa siku mkuu ndio yale yale tu, kama angasalimu amri angeepusha maafa mengi tu kuliko kilichotokea.
Baada ya kuuwa kwanza watoto?Israel wanajenga bumps za kuingiza maji ya bahari kwenye mahanadi ambayo Hamas wanajificha. Hapo wanasema hawatajali kuwapoteza mateka waliobaki.