Hakuna myahud anayevaa kanzu,na sio utamaduni was mashariki ya kati:Acha kujitekenya
Wayahudi mpaka kesho wanavaa kanzu, wanafuga ndevu hizo ni tamaduni za kiyahudi huko mashariki ya kati,hazikufanyi wewe uende mbinguni ,ni matendo ya mwili tu
Kuhusu kuzika ,hata uzikwe uchi ,au utupwe kama mzogo haibadili matendo yako ,INASIKITISHA SANA DINI YA UISLAMU kukomaa na maiti eti why inavaa suti ,n.k
HALAFU NGOJA NIKUPE ELIMU NDOGO KUHUSU MASINAGOGI ,MISIKITI MAHEKALU NA MAKANISA, haya ni majengo manne tofauti ,na UZURI QURAN IMEELEZA VIZURI
NA HATA KWA KIARABU YANA MAANA TOFAUTI
NA MPAKA LEO UKIENDA ISRAELI ,BADO MASINAGOGI YAPO NA WAYAHUDI HATA LEO JUMAMOSI WANAENDA KUSALI HUMO, LAKINI HUMKUTI MUISLAMU ANAINGIA KWENYE SINAGOGI
Sinagogi siyo msikiti kwa maana halisi:-
Wakati wa kutafsiri Biblia, wakati ule kiswahili kilikuwa bado hajikakua, wafasiri walikosa neno hasa la kuweka ili liwe na maana katika kiswahili, wakaona Waweke Msikiti wa Wayahudi, kwa sababu Mashariki ya kati, majengo yao ya ibada, yalikuwa katika mfanano, Muhammad alipoanzisha Ujenzi wa Misikiti, aliiga majengo ya masinagogi yalivyo, ndo maana wakaweka msikiti wa Wayahudi, na siyo Msikiti tu katika mfanano wa majengo, maana Masinagogi yalijengwa baada ya Waisraeli kitoka utumwani, yakitumika kama madarasa ya kufundishia Torati, na hata Ibada kwa sababu Hekalu lilikuwa moja, wasingewza kukusanyika wote
Ila kwa sasa, Lugha imepanuka! Ndiyo maana sasa huoni tena uwepo wa maneno magumu! Kufasiri Sinagogi ni msikiti wa Wayahudi kwa sababu lugha imekuwa pana, na hata ukisoma Biblia ya Kiarabu, Sinagogi, halijaitwa Masjid (مسجد) Ambapo katika Lugha ya kingereza, Mosque, bali Limeitwa hivi.
لوقا
4: 16 و جاء الى الناصرة حيث كان قد تربى و دخل المجمع حسب عادته يوم السبت و قام ليقرا
Kumeandikwa
و دخل Wadakhara
المجمع
Ilal Maj'maa
Maj'maa مخمع Ndivyo Sinagogi linavyoitwa, Wakati Msikiti kiarabu huitwa, مسجد (Masjid)
Hata ukisoma katika Biblia ya kingereza, Sinagogi huitwa, Synagogue, na msikiti ni Mosque, Huwezi kwenda kusoma English Bible ukakuta sehemu ye yote imeandikwa, Synagogue ni Mosque, kwani hata Quran yenyewe inakiri wazi kuwa kuna tofauti baina ya sinagogi na Msikiti.
Quran 22: SUURATUL HAJJ
ﺍﻟَّﺬِﻳﻦَ ﺃُﺧْﺮِﺟُﻮﺍ ﻣِﻦ
ﺩِﻳَﺎﺭِﻫِﻢْ ﺑِﻐَﻴْﺮِ ﺣَﻖٍّ ﺇِﻟَّﺎ ﺃَﻥ
ﻳَﻘُﻮﻟُﻮﺍ ﺭَﺑُّﻨَﺎ ﺍﻟﻠَّﻪُ ﻭَﻟَﻮْﻟَﺎ
ﺩَﻓْﻊُ ﺍﻟﻠَّﻪِ ﺍﻟﻨَّﺎﺱَ ﺑَﻌْﻀَﻬُﻢ
ﺑِﺒَﻌْﺾٍ ﻟَّﻬُﺪِّﻣَﺖْ ﺻَﻮَﺍﻣِﻊُ
ﻭَﺑِﻴَﻊٌ ﻭَﺻَﻠَﻮَﺍﺕٌ
ﻭَﻣَﺴَﺎﺟِﺪُ ﻳُﺬْﻛَﺮُ ﻓِﻴﻬَﺎ
ﺍﺳْﻢُ ﺍﻟﻠَّﻪِ ﻛَﺜِﻴﺮﺍً
ﻭَﻟَﻴَﻨﺼُﺮَﻥَّ ﺍﻟﻠَّﻪُ ﻣَﻦ
ﻳَﻨﺼُﺮُﻩُ ﺇِﻥَّ ﺍﻟﻠَّﻪَ ﻟَﻘَﻮِﻱٌّ
ﻋَﺰِﻳﺰٌ
40. Ambao wametolewa
majumbani mwao pasipo haki
ila kwa sababu wanasema Mola
wetu ni Mwenyeezi Mungu. Na
kama Mwenyeezi Mungu
asingeliwakinga watu baadhi
yao kwa wengine, bila shaka
yangelivunjwa mahekalu na
makanisa, na masinagogi, na
misikiti ambamo jina la
Mwenyeezi Mungu hutajwa kwa
wingi. Na bila shaka Mwenyeezi
Mungu humsaidia yule
anayemsaidia Yeye. Hakika
Mwenyeezi Mungu ni Mwenye
nguvu Mtukufu.
Hapo Quran Imetaja kwa uwingi kila Jengo.
ﺻَﻮَﺍﻣِﻊُ
(1) Mahekalalu (Swawaamiu)
َﺑِﻴَﻊٌ
(2) Makanisani (biyaaun)
َﺻَﻠَﻮَﺍﺕٌ
(3) Masinagogi (Swalawaatun)
َﻣَﺴَﺎﺟِﺪُ
(4) Msikikiti (masaa jidu)
huo ni utofauti wa kuonyesha kwamba, Kuna tofauti kati ya sinagogi na msikiti,
HIVO ENDELEENI KUWADANGANYA MAAMUMA NA WAKRISTO WASIOSOMA VITABU VYENU,
MIMI NILIKUWA MUISLAMU WA KUZALIWA, NA NILISHATOKA HUKO,
UISLAMU NI DINI ALIYOILETA MUHAMAD, AWALI ALIKUWA ANASALI NA WAYAHUDI, MPAKA PALE ALIPOKOROFISHANA NAO, NDIO AKAANZISHA HUO UISLAMU NA KUWADANGANYA ETI ibrahimu ,musa walikuwa waislamu
Hivi Trump ni msomi au mcheza sinema aiseeeeHivi ndugu zangu Mtoto aliezaliwa mwaka 2005 leo akijiunga na Ccm akawa mwanachama WA Ccm. Hivi ni halali kwake kudai yeye ni mwanachama WA chama cha cha Tanu? Ni ajabu waislamu kusema musa na Abraham na manabii wengine kuwa waislamu wakti uislamu haukuwepo wakt wa kina Abraham. Hakika muhamadi nampongeza kwa kuwadanganya waislamu kuwa musa na kina yesu ni waislamu. IsraeL ni Nchi yao takatifu hii ni ajabu Sana. Toka ukristo kuanza mpk uislamu kuja ilipita miaka 570 Hv sasa vipi waislamu wameshindwa kuelewa hesabu hz na Historia ya Dunia hii je tuamini kuwa ktk uislamu elimu ni tatizo ni watu wa kukaririshwa tu. Hakika sasa Naelewa kwa nini waislamu ni wakorofi washari wagomvi washirikina ni urithi wa mama yao hajira mmisri kijakazi wa Sara mchepuko wa Abraham. Mama hakika Mtoto WA mchepuko hawezi kuwa na maadili km Mtoto WA ndoa. Nashangaa dunia na wasomi wanasema uongo ili kuwafurahisha waarabu kwa kuogopa vita. Ni vyema wasomi wawe WA kweli km trampy alivyosema ukweli kuwa Israel makao makuu ni Jerusalem. Waislamu Acheni kukaririshwa.
Mbona una hoja mufilisiHakuna asiye muislamu akivaa mavaxi hayo, hata wewe ukikutana na mtu ,barabarani lavas mavazi hayo,utachukulia asilimia 100 ni muislamu.Ukimuona mwanamke kajifinika ushungi 100%,utasema kapita mwanamke wa kiislamu.
Maiti ikifufuliwa kokote duniani,akiwa kavalishwa sanda sio suti, anajulikana muislamu.
Na ndivyo Yesu alivyozikwa
1:Alivyalishwa sanda,
2:Hakutiwa kwenye sanduku.
Au hujui sanda ni nini,
Sanda ni shuka nyeupe anayovingirishiwa maiti wa kiislamu,kwa mpangilio maalumu.
Mbona umebaki na hoja mufilisi , hahaaaHakuna myahud anayevaa kanzu,na sio utamaduni was mashariki ya kati:
1:waarabu wakristo hawavai kanzu, wanavaa Sufi
2:Wayahudi hawavai Kansu,wanavaa Suti
3:Waarabu wakristo wanazikwa na suti, na sanduku,Yesu kazikwa na sanda bila sanduku kiislamu.
4:Wayahudi wanazikwa na suti.
Huna hoja,nimekubana sawa sawa.
Acha kukaa kwenye vijiwe vya mbege,na kudanganyana,kama uislamu ulianza kwa Mtume Muhammad.
Wacha kukopi na kupaste,muislamu aliyesoma uislamu wake,gawzi kutoka katika uislamu hata siku moja akaingia kiristo,hebu nijibu maswali haya tu mawili,kama mtu anaingia kiristo:Acha kujitekenya
Wayahudi mpaka kesho wanavaa kanzu, wanafuga ndevu hizo ni tamaduni za kiyahudi huko mashariki ya kati,hazikufanyi wewe uende mbinguni ,ni matendo ya mwili tu
Kuhusu kuzika ,hata uzikwe uchi ,au utupwe kama mzogo haibadili matendo yako ,INASIKITISHA SANA DINI YA UISLAMU kukomaa na maiti eti why inavaa suti ,n.k
HALAFU NGOJA NIKUPE ELIMU NDOGO KUHUSU MASINAGOGI ,MISIKITI MAHEKALU NA MAKANISA, haya ni majengo manne tofauti ,na UZURI QURAN IMEELEZA VIZURI
NA HATA KWA KIARABU YANA MAANA TOFAUTI
NA MPAKA LEO UKIENDA ISRAELI ,BADO MASINAGOGI YAPO NA WAYAHUDI HATA LEO JUMAMOSI WANAENDA KUSALI HUMO, LAKINI HUMKUTI MUISLAMU ANAINGIA KWENYE SINAGOGI
Sinagogi siyo msikiti kwa maana halisi:-
Wakati wa kutafsiri Biblia, wakati ule kiswahili kilikuwa bado hajikakua, wafasiri walikosa neno hasa la kuweka ili liwe na maana katika kiswahili, wakaona Waweke Msikiti wa Wayahudi, kwa sababu Mashariki ya kati, majengo yao ya ibada, yalikuwa katika mfanano, Muhammad alipoanzisha Ujenzi wa Misikiti, aliiga majengo ya masinagogi yalivyo, ndo maana wakaweka msikiti wa Wayahudi, na siyo Msikiti tu katika mfanano wa majengo, maana Masinagogi yalijengwa baada ya Waisraeli kitoka utumwani, yakitumika kama madarasa ya kufundishia Torati, na hata Ibada kwa sababu Hekalu lilikuwa moja, wasingewza kukusanyika wote
Ila kwa sasa, Lugha imepanuka! Ndiyo maana sasa huoni tena uwepo wa maneno magumu! Kufasiri Sinagogi ni msikiti wa Wayahudi kwa sababu lugha imekuwa pana, na hata ukisoma Biblia ya Kiarabu, Sinagogi, halijaitwa Masjid (مسجد) Ambapo katika Lugha ya kingereza, Mosque, bali Limeitwa hivi.
لوقا
4: 16 و جاء الى الناصرة حيث كان قد تربى و دخل المجمع حسب عادته يوم السبت و قام ليقرا
Kumeandikwa
و دخل Wadakhara
المجمع
Ilal Maj'maa
Maj'maa مخمع Ndivyo Sinagogi linavyoitwa, Wakati Msikiti kiarabu huitwa, مسجد (Masjid)
Hata ukisoma katika Biblia ya kingereza, Sinagogi huitwa, Synagogue, na msikiti ni Mosque, Huwezi kwenda kusoma English Bible ukakuta sehemu ye yote imeandikwa, Synagogue ni Mosque, kwani hata Quran yenyewe inakiri wazi kuwa kuna tofauti baina ya sinagogi na Msikiti.
Quran 22: SUURATUL HAJJ
ﺍﻟَّﺬِﻳﻦَ ﺃُﺧْﺮِﺟُﻮﺍ ﻣِﻦ
ﺩِﻳَﺎﺭِﻫِﻢْ ﺑِﻐَﻴْﺮِ ﺣَﻖٍّ ﺇِﻟَّﺎ ﺃَﻥ
ﻳَﻘُﻮﻟُﻮﺍ ﺭَﺑُّﻨَﺎ ﺍﻟﻠَّﻪُ ﻭَﻟَﻮْﻟَﺎ
ﺩَﻓْﻊُ ﺍﻟﻠَّﻪِ ﺍﻟﻨَّﺎﺱَ ﺑَﻌْﻀَﻬُﻢ
ﺑِﺒَﻌْﺾٍ ﻟَّﻬُﺪِّﻣَﺖْ ﺻَﻮَﺍﻣِﻊُ
ﻭَﺑِﻴَﻊٌ ﻭَﺻَﻠَﻮَﺍﺕٌ
ﻭَﻣَﺴَﺎﺟِﺪُ ﻳُﺬْﻛَﺮُ ﻓِﻴﻬَﺎ
ﺍﺳْﻢُ ﺍﻟﻠَّﻪِ ﻛَﺜِﻴﺮﺍً
ﻭَﻟَﻴَﻨﺼُﺮَﻥَّ ﺍﻟﻠَّﻪُ ﻣَﻦ
ﻳَﻨﺼُﺮُﻩُ ﺇِﻥَّ ﺍﻟﻠَّﻪَ ﻟَﻘَﻮِﻱٌّ
ﻋَﺰِﻳﺰٌ
40. Ambao wametolewa
majumbani mwao pasipo haki
ila kwa sababu wanasema Mola
wetu ni Mwenyeezi Mungu. Na
kama Mwenyeezi Mungu
asingeliwakinga watu baadhi
yao kwa wengine, bila shaka
yangelivunjwa mahekalu na
makanisa, na masinagogi, na
misikiti ambamo jina la
Mwenyeezi Mungu hutajwa kwa
wingi. Na bila shaka Mwenyeezi
Mungu humsaidia yule
anayemsaidia Yeye. Hakika
Mwenyeezi Mungu ni Mwenye
nguvu Mtukufu.
Hapo Quran Imetaja kwa uwingi kila Jengo.
ﺻَﻮَﺍﻣِﻊُ
(1) Mahekalalu (Swawaamiu)
َﺑِﻴَﻊٌ
(2) Makanisani (biyaaun)
َﺻَﻠَﻮَﺍﺕٌ
(3) Masinagogi (Swalawaatun)
َﻣَﺴَﺎﺟِﺪُ
(4) Msikikiti (masaa jidu)
huo ni utofauti wa kuonyesha kwamba, Kuna tofauti kati ya sinagogi na msikiti,
HIVO ENDELEENI KUWADANGANYA MAAMUMA NA WAKRISTO WASIOSOMA VITABU VYENU,
MIMI NILIKUWA MUISLAMU WA KUZALIWA, NA NILISHATOKA HUKO,
UISLAMU NI DINI ALIYOILETA MUHAMAD, AWALI ALIKUWA ANASALI NA WAYAHUDI, MPAKA PALE ALIPOKOROFISHANA NAO, NDIO AKAANZISHA HUO UISLAMU NA KUWADANGANYA ETI ibrahimu ,musa walikuwa waislamu
Kama wako sahihi onyesha andiko tu mkuu.Kwahiyo kidini waislam pia wako sahihi wanavyoruhusiwa kukata vichwa ma kafir wote mjini?
MBONA HUJAJIBU HOJAWacha kukopi na kupaste,muislamu aliyesoma uislamu wake,gawzi kutoka katika uislamu hata siku moja akaingia kiristo,hebu nijibu maswali haya tu mawili,kama mtu anaingia kiristo:
1:Siku za kuabudu katika ukristo zimatofautiana
a.Wapo wakristo wanaoabudu jumamosi
b.Na wapo wanaobudu jumapili.
Dini moja,siku za kuabudu mmetofautiana.Anaengia kwenye ukristo afuate siku ipi aache siku ipi.
2:Kuna biblia ana tofauti,na matoleo tofauti,kwenye kiingereza peke yake kuna biblia matoleo 60,na hayafanani
Dini moja ya kikristo, vitabu maelfu ,yasio fanana,kwa hiyo anaywingia kwenye ukristo afuate kitabu kipi aache kipi.
Hayo ni mawili tu, na yapo mengi yenye kukinzana,yenye magagaziko mengi tu.
Wakristo ndo wenye eneo kubwa sana ktk israel lkn ndo pia ndo watajwa sana ktk hili swala ktk israel wanamaeneo makubwa ma nne ,soma vzuriTatizo huu mgogoro wanatajwa waislam na wayahudi tu ila wakristo hawatajwi sijui ni kimkakati au bahati mbaya, nataka kujua wakristu walioa maeneo hayo ya Jerusalem wapo upande upi, wa Israeli au Palestinia?
Kama aliishi vibaya na wayahudi,kilimzua nini kuwapingausizilazimishe hizo dini kutambua hivo vitabu
Kama mnavitambua. Vileten hivo vitabu tuvione ,
Halafu lazima UJUE muhamad aliishi vzr na wayahudi, ila alipotokewa na Shetani akampa Wahyi wa uongo na kuanzisha dini ya UISLAMU, ndipo alipoanza kugombana na WAYAHUDI , na amewarithisha hadi nyinyi hii chuki,
Kuanzia hapo akaanzisha hadi SIKU YA IBADA YA IJUMAA, AWALI ALISALI JUMAMOSI NA WAYAHUDI VZR TU
AKAANZA KUSEMA IBRAHIMU NA MUSA, NA YESU WALIKUWA WAISLAMU kitu ambacho sio kweli
Jiulize kwa nini watumie kitabu tofauti na kitabu alichokuja nacho Yesu, na Yesu amezaliwa ndani ya nchi ya Israel.Ukisikia agano la kale,nyinyi wakriato wengi mnafikiria ni kitabu cha Yesu, agano la kale,sio kitabu cha Yesu ,ni Taurati ya Musa.Wayahudi wamtambui Yesu,wala hawamkubali,na wanasema ni mtoto wa haramu.Sasa Torati ya wayahudi na UISLAMU WAPI NA WAPI?
MBONA MNATUMIA LIKITABU ALILOKUJA NALO MUDY?
WAYAHUD MPAKA KESHO WANATUMIA BIBLIA AGANO LA KALE(TANAKH)
MBONA HAMUITAKI MNASEMA YA UONGO, HIYO YA UKWELI IPO WAPI?
SULEMAN ALIJENGA HEKALU,
HEKALU NA MSIKITI WAP NA WAPI?
MISIKITI IMEANZ kujengwa baada ya muhamad, before hakuna kitu kilichokuwa kinaitwa msikiti ,
Wacha uongo, ndugu zako kuvaa mavazi hayo ya kanzu na kujifinika shungi,wakati wakristo wengi,mnadanganywa makanisani,aliyevaa kanzu au ushungi mpitie mbali au uimbe pambio,kwa maana ameficha majini kwenye kanzu.Mbona una hoja mufilisi
Mm na mdogo wangu anavaa kanzu na ni mkristo pure, na dada zangu pia wanavaa shungi na ni wakristo
Yaani unakuja na hoja dhaifu hivo
MBONA ALQAIDA, ALSHABAB, BOKOHARAM WAKITEKA WATU NA KUUA MAMIA YA WATU, NA KUFANYA UGAIDI HUKU WAMEFUGA NDEVU NA KUVAA KANZU,
MKIAMBIWA UISLAMU NI UGAIDI mnakana?
Leta hoja zenye nguvu
WAYAHUDI MPAKA KESHO WANAVAA KANZU, NA WANAWAKE WA KIZAYUNI WANAVAA SHUNGI, je nao ni waislamu?
Angesema kidiplomasia sio kisheria. Yaani kwa hisani tu. Jerusalem ya Wayahudi. Yesu atatawala pamoja na Kanisa miaka elfu kutokea hapo. Lazima hili lianze kuandaliwa tokea sasa.
Hakuna myahudi anayevaa kanzu wala mkristo anayevaa kanzu, hata wakristo waarabu hawavai kanzu.Ni viongozi wenu wa dini, walivyo wajanja,baada ya kujuwa ni vazi takatifu,wanavaa wao tu, muumini wa kawaida marufuku.Na ushungi wanavyaa watawa wa kiroma tu, wengine marufuku.Dini gani,mpaka mavazi wanavaa watu maalumu mwingine,haruhusiwi kuvaa,halafu mwadanganywa,wanaovaa kanzu na ushungi wabaficha majini,na akili hamna za kuhoji,kama Mhona viongozi wenu wanavaa kanzu na watawa wa kikristo wanavyaa shungi,je na wao wanaficha majini?Mbona umebaki na hoja mufilisi , hahaaa
Eti wayahud hawavai kanzu, uliza ujibiwe au tembea uone
Ni Amani kweli tena uko sawa kabisa lkn huko kunaaman?mambo ya kuchinjana ni amani?basi ninyi mko kinyume na hiyo mnayoiita AMANI kubalini kuwa nyie ni mawakala wa uovu na ki ukweli ninyi ndo mnaivuruga dunia kuwa c salama.Uislamu upo tangu enzi za Adam we tulia tu, neno Uislamu ni "Amani" AMANI ikitawala kwenye nafsi yako unapata utulivu wa kuabudu, na utambue Israeli ni jina lilopachikwa kwenye ardhi ya wapalestina msukumo wako usikufanye yakutoke yasiyo bayana ukashindwa kuelewa, hata dini yako ni Uislamu na hujui tuu
Kilete hapa hicho kitabu cha taurati na injili ,unaonesha mnacho ,Jiulize kwa nini watumie kitabu tofauti na kitabu alichokuja nacho Yesu, na Yesu amezaliwa ndani ya nchi ya Israel.Ukisikia agano la kale,nyinyi wakriato wengi mnafikiria ni kitabu cha Yesu, agano la kale,sio kitabu cha Yesu ,ni Taurati ya Musa.Wayahudi wamtambui Yesu,wala hawamkubali,na wanasema ni mtoto wa haramu.
Kweli wewe maamuma dahHakuna myahudi anayevaa kanzu wala mkristo anayevaa kanzu, hata wakristo waarabu hawavai kanzu.Ni viongozi wenu wa dini, walivyo wajanja,baada ya kujuwa ni vazi takatifu,wanavaa wao tu, muumini wa kawaida marufuku.Na ushungi wanavyaa watawa wa kiroma tu, wengine marufuku.Dini gani,mpaka mavazi wanavaa watu maalumu mwingine,haruhusiwi kuvaa,halafu mwadanganywa,wanaovaa kanzu na ushungi wabaficha majini,na akili hamna za kuhoji,kama Mhona viongozi wenu wanavaa kanzu na watawa wa kikristo wanavyaa shungi,je na wao wanaficha majini?
Wewe unazidi kutoa ushahidi Kuwait waliopita ni waislamu,na uislamu ulianza kabla ya Mtume Muhammad,ndio wakavaa kanzu.Wasiokuwa wafuata hao mitume iliyopita,ndio hawavai kanzu, kwa sababu wanajuwa wazi na ndivyo ilivyo ,hilo ni vazi la waislamu.Hutkuta Trump,hata siku moja avyae kanzu, wala Netanyau avyae kanzu..MBONA HUJAJIBU HOJA
AU NA WEWE KATI YA WASUNI, WAAMADIYA, N.K NANI WAPO SAHIHI?
SASA NGOJA NIKUFUNZE KUHUSU KANZU UNAYODANDIA OHO UKIVAA KANZU UNAKUWA MUISLAMU..hoja mufilisi hii
NAKOPY NDIO...KWENYE QURAN YENU...au huitaki?
Katika Quran nzima hakuna andiko linalotaja Kanzu kama vazi la Kiislamu, au ni vazi special kwa ajili ya kufanyia Ibada, kama Waislamu wafanyavyo leo, bali Quran ina kazi 2 tu kwa mujibu wa Quran.
Quran 16 SURATUL NAHL
ﻭَﺍﻟﻠّﻪُ ﺟَﻌَﻞَ ﻟَﻜُﻢ
ﻣِّﻤَّﺎ ﺧَﻠَﻖَ ﻇِﻼَﻻً ﻭَﺟَﻌَﻞَ
ﻟَﻜُﻢ ﻣِّﻦَ ﺍﻟْﺠِﺒَﺎﻝِ ﺃَﻛْﻨَﺎﻧًﺎ
ﻭَﺟَﻌَﻞَ ﻟَﻜُﻢْ ﺳَﺮَﺍﺑِﻴﻞَ
ﺗَﻘِﻴﻜُﻢُ ﺍﻟْﺤَﺮَّ ﻭَﺳَﺮَﺍﺑِﻴﻞَ
ﺗَﻘِﻴﻜُﻢ ﺑَﺄْﺳَﻜُﻢْ ﻛَﺬَﻟِﻚَ
ﻳُﺘِﻢُّ ﻧِﻌْﻤَﺘَﻪُ ﻋَﻠَﻴْﻜُﻢْ
ﻟَﻌَﻠَّﻜُﻢْ ﺗُﺴْﻠِﻤُﻮﻥَ
81. Na Mwenyeezi
Mungu katika vitu alivyo viumba
amekufanyieni vitu vitiavyo
vivuli, na amekufanyieni makazi
katika milima, na amekufanyieni
kanzu zinakukingeni na joto, na (baridi) na amekufanyieni
nguo za chuma ndivyo hivyo
anavyokutimizieni neema zake
ili mpate kutii.
Kanzu kazi zake ni hizo mbili kama zilivyoanishwa ndani ya Quran.
(1) Kukinga na Joto
(2) Kukinga na baridi
Japo hapo sina uhakika kama kweli kanzu inaweza kugeuka A/c wakati wa Joto, au au Eater wakati wa Baridi, maana Dar e salaam kusingekuwa na haja ya kununua Feni, kwa ajili ya kupambana na Joto, watu tungekuwa tunavaa kanzu, ili tupate ubaridi.
Waislamu waishio MBEYA, Arusha, Iringa, Njombe, na sehemu zingine zenye baridi, wangekuwa wanavaa tu kanzu, ili kujikinga na baridi. Kwa hivyo hakuna andiko linalosema kwamba Kanzu ni vazi la kiislamu, au vazi la Ibada kwa ajili ya waislamu, ili Yesu awe muislamu! na isitoshe Kanzu Kibiblia matumizi yake ni tofauti na ya ndani ya Quran, kwani Iliandaliwa kwa ajili ya kazi ya Ukuhani.
Kutoka 28:40 Kisha utafanya kanzu kwa ajili ya wana wa Haruni, nawe wafanyie mishipi, wafanyie na kofia kwa utukufu na uzuri.
41 Nawe mvike huyo nduguyo Haruni na wanawe nao mavazi hayo; nawe watie mafuta, na kuwaweka kwa kazi takatifu, na kuwatakasa, ili wapate kunitumikia mimi katika kazi ya ukuhani.
42 Nawe wafanyie suruali za nguo ya kitani, ili kufunika tupu ya miili yao; suruali hizo zitafika tangu kiunoni hata mapajani;
43 na Haruni na wanawe watazivaa, hapo watakapoingia katika hema ya kukutania, au hapo watakapoikaribia madhabahu ili watumike katika mahali patakatifu; wasije wakachukua uovu, wakafa; hii itakuwa ni amri ya milele kwake yeye, na kwa wazao wake.
Hiyo ndo ilikuwa kazi ya Kanzu, kwa ajili ya kazi ya Ukuhani, Waliivaa tu pale walipoingia katika hema za kukutania, na walipotoka, waliyavua, hayo yakaitwa mavazi Matakatifu, kwa sababu yalivaliwa kwa ajili ya kazi Takatifu.
Walawi 16:1 Bwana akasema na Musa, baada ya kufa kwa hao wana wawili wa Haruni, walipokaribia mbele za Bwana, wakafa;
2 Bwana akamwambia Musa, Sema na Haruni ndugu yako, kwamba asiingie wakati wo wote katika mahali patakatifu ndani ya pazia, mbele ya kiti cha rehema, kilicho juu ya sanduku, asije akafa; maana, mimi nitaonekana katika lile wingu juu ya kiti cha rehema.
3 Haruni ataingia katika patakatifu na vitu hivi; ng'ombe mume mchanga kwa sadaka ya dhambi, na kondoo mume kwa sadaka ya kuteketezwa.
4 Ataivaa ile kanzu takatifu ya kitani, atakuwa na zile suruali za kitani mwilini mwake, atafungwa ule mshipi wa kitani, naye atavaa ile kofia ya kitani; hayo ndiyo mavazi matakatifu, naye ataoga mwili wake majini, na kuyavaa.
Kanzu hizo za Kikuhani zilikuwa maalumu sana kwa ajili ya utumishi, mavazi ambayo yalikuwa na masharti katika kuyavaa, Hakuruhusiwa mtu mwingine asiye kuhani kuvaa mavazi hayo yaliyokuwa maalumu kwa ajili ya kazi ya Ukuhani, Haruni na wanae walipomaliza, waliyavua, kama Wafanyavyo mapadre, na Wachungaji wa Anglikani, Lutherani, na Moraviani, huyavaa wakati waingiapo Madhabahuni, na baada ya Ibada huyavua, hawatembei nayo, tofauti na Kanzu za waislamu leo, ambazo
Vibaka, Wapiga debe, wacheza music, Huzivaa, masokoni, Maguest house kwenye uasherati wanaingia nayo, yanauzwa kila kona, mpaka 3000 kwa sababu ni kanzu za kawaida, zisizo Takatifu, ambazo walikuwa wanavaa wanawake waliokuwa mabikira.