Kifo cha Hayati Magufuli kilivyosababisha Stevev Makigo bosi wa Mayanga Construction azimie mara tatu

Kifo cha Hayati Magufuli kilivyosababisha Stevev Makigo bosi wa Mayanga Construction azimie mara tatu

Kuna la kujadili hapa.
Kama kampuni haikuwa inajihusisha na makosa, kwa nini isipewe tenda kama uwezo/ufundi inao?

Hii ni kampuni ya kiTanzania, inaajiri waTanzania. Inatakiwa kujengewa uwezo zaidi.

Yasije yakawa yale yale ya kivuko cha Magogoni kupewa tenda kampuni ya nje na kuwaacha Songoro kwenye mataa bila ya sababu zinazoeleweka.
Bila God father huwezi pewa ya maana nchi hii
 
Kuna mzee mmoja alikuwa na nyumba mbovumbovu mitaa ya kariakoo mtaa wa Congo mkabala na ilipokuwa Club ya Nyota Nyekundu,tuliozaliwa mjini miaka hiyo tunapaelewa.

Yule mzee majirani zake waliuza vile viwanja kwa mamilioni kadhaa cha chini ilikuwa bilioni moja
Ghafla afya ya yule mzee ikaanza kutetereka ,watoto wakaona hapa ndio muda wa kutajirika ,wakawa hawamuhudumii na wanamoaushauri mbovu ili afe wauze wagawane hela.

Yule mzee akawastukia kile kiwanja akakitoa wakfu kwa Bakwata,kwamba akifa ile ni mali ya waislam sio yao,muda si muda akakata kamba.watoto hawakuambulua kitu.leo kuna ghorofa la mwekezaji akiwa na ubia na Bakwata

Steve Makigo boss wa Mayanga Construction alipewa tenda ya kujenga uwanja wa Chato kwa mabilioni ya shilingi.bajeti ya awali ya uwanja ilikuwa bilioni 18 ila npaka unakamilika zilitumika bilioni 53

Makigo alikuwa best wa Hayati tangu Secondary ,walisoma pamoja na kuna kaundugu kakaibuka hapo baada ya mmoja kuoa kwenye ukoo wa mwenzake.

Siku chache kabla ya hayati kuitwa alitoa maagizo kuwakiasi cha bilioni kadhaa zihamishwe kutoka akaunti ya Mayanga Construction kwa kazi maalumu na zingerudishwa soon.zilihamishiwa kwenye akaunti fulani sitaitaja leo

Kabla hela hazijarudishwa simu ya mheshimiwa kwa wiki mbili haipatikani hakukuwa na mawasiluani ya Steve na John.
Punde taharifa radmi kuwa John hayupo.
Kilichofuata ni Steve kuzimia kuzinduka,kuzimia kuzinduka,mara tatu.

Sasa najiuliza kuzimia huko ni upendo wa dhati aliokuwa nao Steve kwa John au ni kuwaza zile bilioni kadhaa zilizohamishwa toka Mayanga Construction.
Imekula kwa Mayanga Construction hapo. Magufuli alidanganya wajinga kuwa anapambana na ufisadi kumbe yeye alitaka afanye ufisadi na wateule wake wachache
 
Duuuh huu Uzi Lumumba wameshindwa kbs kutia Team , maana mtukufu wao anasulubiwa msalabani [emoji23][emoji23][emoji23]
IMG-20230131-WA0058.jpg
 
Kuna mzee mmoja alikuwa na nyumba mbovumbovu mitaa ya kariakoo mtaa wa Congo mkabala na ilipokuwa Club ya Nyota Nyekundu,tuliozaliwa mjini miaka hiyo tunapaelewa.

Yule mzee majirani zake waliuza vile viwanja kwa mamilioni kadhaa cha chini ilikuwa bilioni moja
Ghafla afya ya yule mzee ikaanza kutetereka ,watoto wakaona hapa ndio muda wa kutajirika ,wakawa hawamuhudumii na wanamoaushauri mbovu ili afe wauze wagawane hela.

Yule mzee akawastukia kile kiwanja akakitoa wakfu kwa Bakwata,kwamba akifa ile ni mali ya waislam sio yao,muda si muda akakata kamba.watoto hawakuambulua kitu.leo kuna ghorofa la mwekezaji akiwa na ubia na Bakwata

Steve Makigo boss wa Mayanga Construction alipewa tenda ya kujenga uwanja wa Chato kwa mabilioni ya shilingi.bajeti ya awali ya uwanja ilikuwa bilioni 18 ila npaka unakamilika zilitumika bilioni 53

Makigo alikuwa best wa Hayati tangu Secondary ,walisoma pamoja na kuna kaundugu kakaibuka hapo baada ya mmoja kuoa kwenye ukoo wa mwenzake.

Siku chache kabla ya hayati kuitwa alitoa maagizo kuwakiasi cha bilioni kadhaa zihamishwe kutoka akaunti ya Mayanga Construction kwa kazi maalumu na zingerudishwa soon.zilihamishiwa kwenye akaunti fulani sitaitaja leo

Kabla hela hazijarudishwa simu ya mheshimiwa kwa wiki mbili haipatikani hakukuwa na mawasiluani ya Steve na John.
Punde taharifa radmi kuwa John hayupo.
Kilichofuata ni Steve kuzimia kuzinduka,kuzimia kuzinduka,mara tatu.

Sasa najiuliza kuzimia huko ni upendo wa dhati aliokuwa nao Steve kwa John au ni kuwaza zile bilioni kadhaa zilizohamishwa toka Mayanga Construction.
Porojo tupu.Watanzania Wana shida na maji na umeme ,ww unaleta projo .Kweli nchi za dunia ya tatu tutafika tumechoka sana.Watu wengi ,hawana idea wala vision.Ni projo za kutunga na ujinga mwingi
 
Awamu iliyopo sasa kuna watendaji walafi sana wa mali za umma na ili wafanikiwe lazima wajifiche kwenye makampuni ya kigeni wasijulikane mapema ila ikiondoka kwanza sheria ya kinga itaondolewa na aliyebariki ndiye atakaangwa kama ngisi
Ninakubaliana nawe.
Na rekodi itakuja kuwa wazi zaidi wakishaondoka madarakani.

Timu hii, kuanzia juu kabisa ni kama wana haraka sana ya kuzoa kabla muda wao haujamalizika.; kiasi kwamba hata kuficha wasionekane kuwa watupu inawawia ngumu sana.
 
Ulikuwa ni uamzi mmoja wa hovyo kabisa uliomjengea sifa mbaya, ikiwa ni pamoja na yale mengi mengine ya hovyo aliyofanya.
Hilo kwa kweli jiwe wetu amefanya upuz kwenda kujenda viwanja vikubwa Cha ndege na kuforce kulazimisha mbuga ya burigi hili limemsalilisha Sana jiwe

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hii nchi ndivyo ilivyo tena kwa awamu zote
Hapana, siyo kwa awamu zote. Awamu ya Mwalimu hata kama walikuwemo walafi ndani ya serikali ile, walichoambulia ni kuvuruga tu mipango ya maendeleo ya wananchi. Wengi walidhibitiwa vya kutosha.
 
Tuliambiwa Mayanga ndio alikuwa anapitishia 10% zake. Hata uwanja wa ndege alilazikisha usiwepo ushindani ili Mayanga apate tenda wapige hela. Mayanga na Nyanza zinatakiwa kuchunguzwa. Ilikuwa ukigoma kulipa labda kazi haijafanyika unapigiwa simu toka juu.

Huyo ndio mzalendo wa mchongo
Mliambiwa na nani?

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom