Kifo cha Nusra wa UDOM Bado ni pasua kichwa, UDOM waikana taarifa iliyosambaa

Wamezingua Sana UDOM, ilikuwa haina haja ya kuandika hivyo. Happ wamerefusha mambo itabidi mpenzi wake atafutwe.
 
Kwenye V8 iliyokanwa na tamisemi si tunasikia kulikuwa na mwanamke aliyefia mle....au ninyamaza?

Lisemwalo lipo kama halipo basi laja.

Haiwezekani watu wazushe kwamba kuna mwanamke alikuwepo kwenye ajali ila alifariki halafu ipite bila kujulikana....Kwa jinsi ile barua ya UDOM ilivyotoka kuna possibility walitoa kwa ajili ya kudivert ili isijulikane kwamba source ni ajali ya V8 au Mtu wa Nje ameidraft kwa ajili ya kutusanua wananzengo tujue kinachoendelea.

Huu utata na kificho means kuna kitu hawataki kukisema.

raraa reree amemtupa wimbo hapo juu ,enyi vijana mnapokuwa mashuleni zingatieni masomo acheni mambo ya mapenzi maana mnawapa uchungu wazazi wenu.
 
Sio kama tumekuwa, ni kwamba ndio tulivyo. Leo hii ukianzisha mjadala wenye maslahi kwa nchi, utaishia kudhihakiwa na matusi juu, wako wapi walioitwa Wazalendo? Wako wapi leo walioitwa Vibaraka wa Wazungu?? Mbona ndege zimekamatwa kweli? Dah
Ila tatizo ni wazazi hawoneshi matendo ya ujasiri kwa watoto ambayo yanaweza kurithiwa na kuleta mambo chanya
 
Samahani mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…