kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
Ulikua wapi kabla ya kuzaliwa ?Mungu hayupo achana na maandiko ya kitapeli ya quran ama biblia. Yale maandishi hayawezi kua yaliandikwa na anaeitwa mungu, labda kama aliandika akiwa amelewa.
ukweli mchungu ila tegemea povu, majibu ya kisirani toka kwa wana israel wa Mivumoni
nna rafiki kadhaa wa kigalatia, likija suala la harusi, natumiwa Proforma Invoice ya 70k na mimeseji kila kukicha
qmmmmmq
ilihali harusi za kikobazi nachangia 5k tu
Kwanini unapata nguvu ya kujadili kisichokuwepo ndugu? huwoni kama wewe ndio una shida kwa kujadili lisilo kuwepo?Mungu hayupo achana na maandiko ya kitapeli ya quran ama biblia. Yale maandishi hayawezi kua yaliandikwa na anaeitwa mungu, labda kama aliandika akiwa amelewa.
Kabisa mkuu.Kuna rafiki yangu ni mkristo alifunga ndoa ya kawaida tu bila gharama kubwa anajua dini na anasali sana yeye ni mtu wa maandiko ila hapendi mabishano ya kidini
Aliita mashahidi kama wawili mchunganj tena ilikuwa jumapili wazazi na Washenga kama watu 12 ivi basi alioa mwaka 2016 ndo ipo mpaka leo
R u serious...!!?Mungu hayupo achana na maandiko ya kitapeli ya quran ama biblia. Yale maandishi hayawezi kua yaliandikwa na anaeitwa mungu, labda kama aliandika akiwa amelewa.
Kuanzisha thread nacho kipajiMimi hadi nitakapoona thread za ndoa zinaletwa na wanawake ndio nitaona uislam upo kwenye ndoa.. Why kila siku wanaume tu?
Haaaaah.... naDeclare interest... Mimi Muislam... imani yangu ni kwamba DINI zote.... Ukristo... Uislamu... n.k ni dini nyepesi isipokuwa shida ipo kwetu sisi wafuasi... ni Wagumu....ukweli mchungu ila tegemea povu, majibu ya kisirani toka kwa wana israel wa Mivumoni
nna rafiki kadhaa wa kigalatia, likija suala la harusi, natumiwa Proforma Invoice ya 70k na mimeseji kila kukicha
qmmmmmq
ilihali harusi za kikobazi nachangia 5k tu
hahaahahhah!mm mkristo lkn hyo paragragph ya mwisho banaa!hahahahahaNikiri wazi Mimi ni mkristo kidanki ndaki , ni mafungu machache ya kwenye biblia yanaweza nipiga chenga ...
Dini zote mbili za kikristo na kiislamu zilitokea eneo moja , mashariki ya Kati , kile ambacho Biblia inasema na kile ambacho Qur'an inasema ni copyright for more than 80% , waislamu wamekuwa waaminifu kuendana na dini Yao angalau Kwa 75% Ila Kwa wakristo kumekuwa na kata funua nyingi , hasa Kwa viongozi wa dini , utitiri wa madhehebu , na taasisi za kiupigaji japo Biblia haihalalishi kile wanachokifanya...ni madhehebu machache yanayoweza kuifuata biblia hata Kwa 50%
Kuna mambo mawili kwenye dini ya kikristo ni wrong copy, au yamechepushwa kimakusudi na genge la watu fulani , na karbia madhehebu yote ya kikristo yanaona huo ndo mfumo sahihi , hata hvyo kiukweli hata Biblia yenyewe haikubaliani nayo...!!!
Jambo la Kwanza ni mfumo wa Sherehe za harusi na Jambo la pili ni mfumo au taratibu za kuwahifadhi wapendwa wetu wanaopumzika (wafu) ....!!
Sina uzoefu na dini ya kiisilamu , hata hvyo kuishi kwangu Tanga Kwa mda fulan kulinipa uzoefu fulani, hvyo kama nitakosea au kwenda kinyume basi nakubali kusahihishwa ....!!
Ndoa za kiislamu Swala la Harusi sio first priority, wapo wachache wanaoweza kulipigia chapuo, hata hvyo waislamu wamekuwa waaminifu Kwa hili , michango ya Harusi isiyo na uhalisia na yenye kuumizana na kutupiana lawama Kwa waislamu hii ni asilimia kidog Sana ,ndoa za mikeka Kwa ubani wa 300 nimezishuhudia several times na familia zao zimekuwa zikienda viral 😊
Cha msingi kuwe na kipunga na ngoma mbili tatu basi lyfe linaenda.
Kwa wakristo ndoa imegeuzwa kuwa mtaji , Kwa asilimia kubwa ndoa bila Harusi kubwa na vinono hyo ni kama haitambuliki , kumekuwa na masharti kibao kwenye kuchumbia , mlolongo mrefu usiokuwa na maana , tozo nyingi Kwa ajili ya mchungaji anayefungisha ndoa , na Gharama zikiongezeka mara dufu , michango ya Harusi , unywaji wa pombe uliokithiri na anasa za kila namna ukumbini ndo fashion now days , sherehe zikiisha usku wa manane na kutengeneza kichaka cha uzinzi na uasherati ....Nina uhakika Mungu hakubaliani na huu ujinga, thus why ndoa nyingi za kikristo zimekuwa zikiishia kwenye maumivu yasiyoelezeka....!!!
Vijana wengi wa kikristo wameishia kuoa kinyemela ili kuepukana na hii adha , wengi wanaishi gheto na mabinti na maisha yanaenda hata hvyo viongozi wa dini huwachukulia kama waliolaaniwa .
jambo la pili ni swala la kuwahifadhi ndugu wanaofariki, hapa pia ni vurugu tupu , Kwa waislamu msiba ni swala zito , na maiti inatakiwa ihifadhiwe kaburini haraka iwezekanavyo , nilishuhudia kwenye msiba wa mkurugenzi wa uwanja wa ndege wa Nyerere kama sikosei , alifariki sa 12 jioni , kesho akazikwa mapema iwezekanavyo, Baba mzazi wa GSM alifariki usiku na Kesho yake akazikwa ..na watu wengine maarufu imekuwa ndo utaratibu...!!
Biblia pia inakubaliana na utaratibu huo , mara nyingi wafalme wa Isarel walipokuwa wanafariki Biblia ilisema sentensi moja tuu , akafariki akazikwa kwenye makaburi ya kifalme full stop , badae yanafanyika maombolezo mara nyingi ilikuwa sku 40...
Kifo cha kuhani mkuu Haruni na nabii Mussa kule jangwani pamoja naa mazishi yao kinaonyesha namna Mungu asivyokubaliana na kuchelewesha mazishi , Kifo cha Miriamu aliyekuwa mtu mkubwa Sana Kando ya Musa na Haruni biblia inatoa sentesi moja tuu , Miriamu akafa huko akazikwa huko , kuchelewesha mazishi kunaongeza machungu Kwa wanandugu na pia kushawishi Ibada za kishetani na matambiko , thus why Musa na Haruni walizikwa haraka iwezekanavyo tena chini ya Mwenyezi Mungu mwenyewe , na makaburi Yao yalifichwa ili kuepusha akili mbovu za binadamu kufanya yasiyompendeza Mungu....
Kwa wakristo wa sa hv Misiba ni mzigo mzito , maiti itazungushwa weee, kuanzia hospitali , kanisani , mara ukumbini , atasubiriwa sijui ndugu gani yupo ulaya , maiti atasafrishwa , kule akifikishwa na penyewe inaanzishwa Ibada fupi sjui , mpak anazikwa , basi ashasababisha taabu kuu , watu wamelia mpak machozi yamekauka , utapeli wa madaftari ya michango rambi rambi ushafanyika vya kutosha huku familia ikiachiwa mzigo mzito wa madeni ya Gharama za mazishi ..!!!
Na haina mbwembwe wala complications za kuwatia wengine gharama zisizo na tijaKwetu sisi waislamu Madhumuni ya jumla ya ndoa ni kwamba jinsia zinaweza kupeana ushirika, kupendana, kuzaa watoto na kuishi kwa amani na utulivu kwa amri za Mwenyezi Mungu. Ndoa hutumika kama njia ya kujitosheleza kihisia na kingono na kama njia ya kupunguza mvutano wa nafasi. Harusi kwetu sisi ni sherehe rahisi, ambayo ili ikamilike inahitaji mashahidi wawili kwa makubaliano yaliyotayarishwa. Pia mwanamke lazima awe na walii (muwakilishi wake ima baba yake au kaka yake). Kwa kawaida, ndoa huwa ni kusoma hutuba kutoka katika Qur'an, na kubadilishana viapo mbele ya mashahidi kwa washirika wote wawili. Yanayofuata baada ya hapo huwa ni matakwa ya watu lakini ndoa tayari inakuwa imekamilika.
Ni mambo matatu, ikiwa ni pamoja na kuslim mkuu.Moja ya vitu ambavyo uislamu unataka vifanyike kwa haraka wakati ukifika ni ndoa na kuzika. Sababu kubwa ni kuepusha fitna ya dunia na maaswi
KuntuKwetu sisi waislamu Madhumuni ya jumla ya ndoa ni kwamba jinsia zinaweza kupeana ushirika, kupendana, kuzaa watoto na kuishi kwa amani na utulivu kwa amri za Mwenyezi Mungu. Ndoa hutumika kama njia ya kujitosheleza kihisia na kingono na kama njia ya kupunguza mvutano wa nafasi. Harusi kwetu sisi ni sherehe rahisi, ambayo ili ikamilike inahitaji mashahidi wawili kwa makubaliano yaliyotayarishwa. Pia mwanamke lazima awe na walii (muwakilishi wake ima baba yake au kaka yake). Kwa kawaida, ndoa huwa ni kusoma hutuba kutoka katika Qur'an, na kubadilishana viapo mbele ya mashahidi kwa washirika wote wawili. Yanayofuata baada ya hapo huwa ni matakwa ya watu lakini ndoa tayari inakuwa imekamilika.
Kama tulivyomtesa JPMKwa wakristo wa sa hv Misiba ni mzigo mzito , maiti itazungushwa weee, kuanzia hospitali , kanisani , mara ukumbini , atasubiriwa sijui ndugu gani yupo ulaya , maiti atasafrishwa , kule akifikishwa na penyewe inaanzishwa Ibada fupi sjui , mpak anazikwa , basi ashasababisha taabu kuu , watu wamelia mpak machozi yamekauka , utapeli wa madaftari ya michango rambi rambi ushafanyika vya kutosha huku familia ikiachiwa mzigo mzito wa madeni ya Gharama za mazishi ..!!!
Dini zote mbili za kikristo na kiislamu zilitokea eneo moja , mashariki ya Kati , kile ambacho Biblia inasema na kile ambacho Qur'an inasema ni copyright for more than 80% , waislamu wamekuwa waaminifu kuendana na dini Yao angalau Kwa 75% Ila Kwa wakristo kumekuwa na kata funua nyingi , hasa Kwa viongozi wa dini , utitiri wa madhehebu , na taasisi za kiupigaji japo Biblia haihalalishi kile wanachokifanya...ni madhehebu machache yanayoweza kuifuata biblia hata Kwa 50%
TakbiiirNikiri wazi Mimi ni mkristo kidanki ndaki , ni mafungu machache ya kwenye biblia yanaweza nipiga chenga ...
Dini zote mbili za kikristo na kiislamu zilitokea eneo moja , mashariki ya Kati , kile ambacho Biblia inasema na kile ambacho Qur'an inasema ni copyright for more than 80% , waislamu wamekuwa waaminifu kuendana na dini Yao angalau Kwa 75% Ila Kwa wakristo kumekuwa na kata funua nyingi , hasa Kwa viongozi wa dini , utitiri wa madhehebu , na taasisi za kiupigaji japo Biblia haihalalishi kile wanachokifanya...ni madhehebu machache yanayoweza kuifuata biblia hata Kwa 50%
Kuna mambo mawili kwenye dini ya kikristo ni wrong copy, au yamechepushwa kimakusudi na genge la watu fulani , na karbia madhehebu yote ya kikristo yanaona huo ndo mfumo sahihi , hata hvyo kiukweli hata Biblia yenyewe haikubaliani nayo...!!!
Jambo la Kwanza ni mfumo wa Sherehe za harusi na Jambo la pili ni mfumo au taratibu za kuwahifadhi wapendwa wetu wanaopumzika (wafu) ....!!
Sina uzoefu na dini ya kiisilamu , hata hvyo kuishi kwangu Tanga Kwa mda fulan kulinipa uzoefu fulani, hvyo kama nitakosea au kwenda kinyume basi nakubali kusahihishwa ....!!
Ndoa za kiislamu Swala la Harusi sio first priority, wapo wachache wanaoweza kulipigia chapuo, hata hvyo waislamu wamekuwa waaminifu Kwa hili , michango ya Harusi isiyo na uhalisia na yenye kuumizana na kutupiana lawama Kwa waislamu hii ni asilimia kidog Sana ,ndoa za mikeka Kwa ubani wa 300 nimezishuhudia several times na familia zao zimekuwa zikienda viral 😊
Cha msingi kuwe na kipunga na ngoma mbili tatu basi lyfe linaenda.
Kwa wakristo ndoa imegeuzwa kuwa mtaji , Kwa asilimia kubwa ndoa bila Harusi kubwa na vinono hyo ni kama haitambuliki , kumekuwa na masharti kibao kwenye kuchumbia , mlolongo mrefu usiokuwa na maana , tozo nyingi Kwa ajili ya mchungaji anayefungisha ndoa , na Gharama zikiongezeka mara dufu , michango ya Harusi , unywaji wa pombe uliokithiri na anasa za kila namna ukumbini ndo fashion now days , sherehe zikiisha usku wa manane na kutengeneza kichaka cha uzinzi na uasherati ....Nina uhakika Mungu hakubaliani na huu ujinga, thus why ndoa nyingi za kikristo zimekuwa zikiishia kwenye maumivu yasiyoelezeka....!!!
Vijana wengi wa kikristo wameishia kuoa kinyemela ili kuepukana na hii adha , wengi wanaishi gheto na mabinti na maisha yanaenda hata hvyo viongozi wa dini huwachukulia kama waliolaaniwa .
jambo la pili ni swala la kuwahifadhi ndugu wanaofariki, hapa pia ni vurugu tupu , Kwa waislamu msiba ni swala zito , na maiti inatakiwa ihifadhiwe kaburini haraka iwezekanavyo , nilishuhudia kwenye msiba wa mkurugenzi wa uwanja wa ndege wa Nyerere kama sikosei , alifariki sa 12 jioni , kesho akazikwa mapema iwezekanavyo, Baba mzazi wa GSM alifariki usiku na Kesho yake akazikwa ..na watu wengine maarufu imekuwa ndo utaratibu...!!
Biblia pia inakubaliana na utaratibu huo , mara nyingi wafalme wa Isarel walipokuwa wanafariki Biblia ilisema sentensi moja tuu , akafariki akazikwa kwenye makaburi ya kifalme full stop , badae yanafanyika maombolezo mara nyingi ilikuwa sku 40...
Kifo cha kuhani mkuu Haruni na nabii Mussa kule jangwani pamoja naa mazishi yao kinaonyesha namna Mungu asivyokubaliana na kuchelewesha mazishi , Kifo cha Miriamu aliyekuwa mtu mkubwa Sana Kando ya Musa na Haruni biblia inatoa sentesi moja tuu , Miriamu akafa huko akazikwa huko , kuchelewesha mazishi kunaongeza machungu Kwa wanandugu na pia kushawishi Ibada za kishetani na matambiko , thus why Musa na Haruni walizikwa haraka iwezekanavyo tena chini ya Mwenyezi Mungu mwenyewe , na makaburi Yao yalifichwa ili kuepusha akili mbovu za binadamu kufanya yasiyompendeza Mungu....
Kwa wakristo wa sa hv Misiba ni mzigo mzito , maiti itazungushwa weee, kuanzia hospitali , kanisani , mara ukumbini , atasubiriwa sijui ndugu gani yupo ulaya , maiti atasafrishwa , kule akifikishwa na penyewe inaanzishwa Ibada fupi sjui , mpak anazikwa , basi ashasababisha taabu kuu , watu wamelia mpak machozi yamekauka , utapeli wa madaftari ya michango rambi rambi ushafanyika vya kutosha huku familia ikiachiwa mzigo mzito wa madeni ya Gharama za mazishi ..!!!
Uislamu ndio dini nyepesi kuliko zote, zilozabiki ni ngumuHaaaaah.... naDeclare interest... Mimi Muislam... imani yangu ni kwamba DINI zote.... Ukristo... Uislamu... n.k ni dini nyepesi isipokuwa shida ipo kwetu sisi wafuasi... ni Wagumu....