KIFO NA NDOA: Naomba nichukue nafasi hii kuisifu misingi ya dini ya Kiislamu

KIFO NA NDOA: Naomba nichukue nafasi hii kuisifu misingi ya dini ya Kiislamu

Kwetu sisi waislamu Madhumuni ya jumla ya ndoa ni kwamba jinsia zinaweza kupeana ushirika, kupendana, kuzaa watoto na kuishi kwa amani na utulivu kwa amri za Mwenyezi Mungu. Ndoa hutumika kama njia ya kujitosheleza kihisia na kingono na kama njia ya kupunguza mvutano wa nafasi. Harusi kwetu sisi ni sherehe rahisi, ambayo ili ikamilike inahitaji mashahidi wawili kwa makubaliano yaliyotayarishwa. Pia mwanamke lazima awe na walii (muwakilishi wake ima baba yake au kaka yake). Kwa kawaida, ndoa huwa ni kusoma hutuba kutoka katika Qur'an, na kubadilishana viapo mbele ya mashahidi kwa washirika wote wawili. Yanayofuata baada ya hapo huwa ni matakwa ya watu lakini ndoa tayari inakuwa imekamilika.
Nakukumbusha ndugu

Ili ndoa ya kiislamu ikamilike inahitaji mambo manne tu ANAEFUNGISHA NDOA,ANAEOA,ANAEOLEWA NA WALII hapo ndoa inakua imekamilika

Hiyo unayosema hotuba hata kama haikusomwa haizuwii ndoa kukamilika
 
1-Kuna Waislamu wanasema Ukristo si dini kwa mujibu wa maandiko yao.
2-Hakuna dini isiyo na makwazo kwao wenyewe au wengine.
3-Dini zingine zimeanzishwa kiujanjaujanja kwa kutumia udhaifu mdogomdogo wa dini zingine.
4-Kuwa na msimamo kwa unachokiamini.Ila kama unajisikia vinginevyo,haulazimishwi kuendelea kuwepo.Dini ni Imani.
 
Ukristo na uislam Ni kama Tom na jer au chinua na Achebe , au yanga na Simba tu haimaanishi kitu kila mshabiki huona timu yake Ni Bora kuliko ya mwingne Ila ukwel zote Ni game of mind tu[emoji1787]
 
Nikiri wazi Mimi ni mkristo kidanki ndaki , ni mafungu machache ya kwenye biblia yanaweza nipiga chenga ...

Dini zote mbili za kikristo na kiislamu zilitokea eneo moja , mashariki ya Kati , kile ambacho Biblia inasema na kile ambacho Qur'an inasema ni copyright for more than 80% , waislamu wamekuwa waaminifu kuendana na dini Yao angalau Kwa 75% Ila Kwa wakristo kumekuwa na kata funua nyingi , hasa Kwa viongozi wa dini , utitiri wa madhehebu , na taasisi za kiupigaji japo Biblia haihalalishi kile wanachokifanya...ni madhehebu machache yanayoweza kuifuata biblia hata Kwa 50%

Kuna mambo mawili kwenye dini ya kikristo ni wrong copy, au yamechepushwa kimakusudi na genge la watu fulani , na karbia madhehebu yote ya kikristo yanaona huo ndo mfumo sahihi , hata hvyo kiukweli hata Biblia yenyewe haikubaliani nayo...!!!

Jambo la Kwanza ni mfumo wa Sherehe za harusi na Jambo la pili ni mfumo au taratibu za kuwahifadhi wapendwa wetu wanaopumzika (wafu) ....!!

Sina uzoefu na dini ya kiisilamu , hata hvyo kuishi kwangu Tanga Kwa mda fulan kulinipa uzoefu fulani, hvyo kama nitakosea au kwenda kinyume basi nakubali kusahihishwa ....!!

Ndoa za kiislamu Swala la Harusi sio first priority, wapo wachache wanaoweza kulipigia chapuo, hata hvyo waislamu wamekuwa waaminifu Kwa hili , michango ya Harusi isiyo na uhalisia na yenye kuumizana na kutupiana lawama Kwa waislamu hii ni asilimia kidog Sana ,ndoa za mikeka Kwa ubani wa 300 nimezishuhudia several times na familia zao zimekuwa zikienda viral 😊
Cha msingi kuwe na kipunga na ngoma mbili tatu basi lyfe linaenda.

Kwa wakristo ndoa imegeuzwa kuwa mtaji , Kwa asilimia kubwa ndoa bila Harusi kubwa na vinono hyo ni kama haitambuliki , kumekuwa na masharti kibao kwenye kuchumbia , mlolongo mrefu usiokuwa na maana , tozo nyingi Kwa ajili ya mchungaji anayefungisha ndoa , na Gharama zikiongezeka mara dufu , michango ya Harusi , unywaji wa pombe uliokithiri na anasa za kila namna ukumbini ndo fashion now days , sherehe zikiisha usku wa manane na kutengeneza kichaka cha uzinzi na uasherati ....Nina uhakika Mungu hakubaliani na huu ujinga, thus why ndoa nyingi za kikristo zimekuwa zikiishia kwenye maumivu yasiyoelezeka....!!!

Vijana wengi wa kikristo wameishia kuoa kinyemela ili kuepukana na hii adha , wengi wanaishi gheto na mabinti na maisha yanaenda hata hvyo viongozi wa dini huwachukulia kama waliolaaniwa .

jambo la pili ni swala la kuwahifadhi ndugu wanaofariki, hapa pia ni vurugu tupu , Kwa waislamu msiba ni swala zito , na maiti inatakiwa ihifadhiwe kaburini haraka iwezekanavyo , nilishuhudia kwenye msiba wa mkurugenzi wa uwanja wa ndege wa Nyerere kama sikosei , alifariki sa 12 jioni , kesho akazikwa mapema iwezekanavyo, Baba mzazi wa GSM alifariki usiku na Kesho yake akazikwa ..na watu wengine maarufu imekuwa ndo utaratibu...!!

Biblia pia inakubaliana na utaratibu huo , mara nyingi wafalme wa Isarel walipokuwa wanafariki Biblia ilisema sentensi moja tuu , akafariki akazikwa kwenye makaburi ya kifalme full stop , badae yanafanyika maombolezo mara nyingi ilikuwa sku 40...

Kifo cha kuhani mkuu Haruni na nabii Mussa kule jangwani pamoja naa mazishi yao kinaonyesha namna Mungu asivyokubaliana na kuchelewesha mazishi , Kifo cha Miriamu aliyekuwa mtu mkubwa Sana Kando ya Musa na Haruni biblia inatoa sentesi moja tuu , Miriamu akafa huko akazikwa huko , kuchelewesha mazishi kunaongeza machungu Kwa wanandugu na pia kushawishi Ibada za kishetani na matambiko , thus why Musa na Haruni walizikwa haraka iwezekanavyo tena chini ya Mwenyezi Mungu mwenyewe , na makaburi Yao yalifichwa ili kuepusha akili mbovu za binadamu kufanya yasiyompendeza Mungu....

Kwa wakristo wa sa hv Misiba ni mzigo mzito , maiti itazungushwa weee, kuanzia hospitali , kanisani , mara ukumbini , atasubiriwa sijui ndugu gani yupo ulaya , maiti atasafrishwa , kule akifikishwa na penyewe inaanzishwa Ibada fupi sjui , mpak anazikwa , basi ashasababisha taabu kuu , watu wamelia mpak machozi yamekauka , utapeli wa madaftari ya michango rambi rambi ushafanyika vya kutosha huku familia ikiachiwa mzigo mzito wa madeni ya Gharama za mazishi ..!!!
Mkuu subiria waje wahusika utaambia umeshalishwa limbwa tanga huko na maneno mabovu..ila ata me ningependa tupate ufafanuzi maana ata hapa nashindwa kuoa japo nipo ni shemeji yenu mwaka 17 nilipreka posa wakata mil 4 mwaka 2008 nikamwambia mama tuendelee kufyatua watoto tu
 
Nikiri wazi Mimi ni mkristo kidanki ndaki , ni mafungu machache ya kwenye biblia yanaweza nipiga chenga ...

Dini zote mbili za kikristo na kiislamu zilitokea eneo moja , mashariki ya Kati , kile ambacho Biblia inasema na kile ambacho Qur'an inasema ni copyright for more than 80% , waislamu wamekuwa waaminifu kuendana na dini Yao angalau Kwa 75% Ila Kwa wakristo kumekuwa na kata funua nyingi , hasa Kwa viongozi wa dini , utitiri wa madhehebu , na taasisi za kiupigaji japo Biblia haihalalishi kile wanachokifanya...ni madhehebu machache yanayoweza kuifuata biblia hata Kwa 50%

Kuna mambo mawili kwenye dini ya kikristo ni wrong copy, au yamechepushwa kimakusudi na genge la watu fulani , na karbia madhehebu yote ya kikristo yanaona huo ndo mfumo sahihi , hata hvyo kiukweli hata Biblia yenyewe haikubaliani nayo...!!!

Jambo la Kwanza ni mfumo wa Sherehe za harusi na Jambo la pili ni mfumo au taratibu za kuwahifadhi wapendwa wetu wanaopumzika (wafu) ....!!

Sina uzoefu na dini ya kiisilamu , hata hvyo kuishi kwangu Tanga Kwa mda fulan kulinipa uzoefu fulani, hvyo kama nitakosea au kwenda kinyume basi nakubali kusahihishwa ....!!

Ndoa za kiislamu Swala la Harusi sio first priority, wapo wachache wanaoweza kulipigia chapuo, hata hvyo waislamu wamekuwa waaminifu Kwa hili , michango ya Harusi isiyo na uhalisia na yenye kuumizana na kutupiana lawama Kwa waislamu hii ni asilimia kidog Sana ,ndoa za mikeka Kwa ubani wa 300 nimezishuhudia several times na familia zao zimekuwa zikienda viral [emoji4]
Cha msingi kuwe na kipunga na ngoma mbili tatu basi lyfe linaenda.

Kwa wakristo ndoa imegeuzwa kuwa mtaji , Kwa asilimia kubwa ndoa bila Harusi kubwa na vinono hyo ni kama haitambuliki , kumekuwa na masharti kibao kwenye kuchumbia , mlolongo mrefu usiokuwa na maana , tozo nyingi Kwa ajili ya mchungaji anayefungisha ndoa , na Gharama zikiongezeka mara dufu , michango ya Harusi , unywaji wa pombe uliokithiri na anasa za kila namna ukumbini ndo fashion now days , sherehe zikiisha usku wa manane na kutengeneza kichaka cha uzinzi na uasherati ....Nina uhakika Mungu hakubaliani na huu ujinga, thus why ndoa nyingi za kikristo zimekuwa zikiishia kwenye maumivu yasiyoelezeka....!!!

Vijana wengi wa kikristo wameishia kuoa kinyemela ili kuepukana na hii adha , wengi wanaishi gheto na mabinti na maisha yanaenda hata hvyo viongozi wa dini huwachukulia kama waliolaaniwa .

jambo la pili ni swala la kuwahifadhi ndugu wanaofariki, hapa pia ni vurugu tupu , Kwa waislamu msiba ni swala zito , na maiti inatakiwa ihifadhiwe kaburini haraka iwezekanavyo , nilishuhudia kwenye msiba wa mkurugenzi wa uwanja wa ndege wa Nyerere kama sikosei , alifariki sa 12 jioni , kesho akazikwa mapema iwezekanavyo, Baba mzazi wa GSM alifariki usiku na Kesho yake akazikwa ..na watu wengine maarufu imekuwa ndo utaratibu...!!

Biblia pia inakubaliana na utaratibu huo , mara nyingi wafalme wa Isarel walipokuwa wanafariki Biblia ilisema sentensi moja tuu , akafariki akazikwa kwenye makaburi ya kifalme full stop , badae yanafanyika maombolezo mara nyingi ilikuwa sku 40...

Kifo cha kuhani mkuu Haruni na nabii Mussa kule jangwani pamoja naa mazishi yao kinaonyesha namna Mungu asivyokubaliana na kuchelewesha mazishi , Kifo cha Miriamu aliyekuwa mtu mkubwa Sana Kando ya Musa na Haruni biblia inatoa sentesi moja tuu , Miriamu akafa huko akazikwa huko , kuchelewesha mazishi kunaongeza machungu Kwa wanandugu na pia kushawishi Ibada za kishetani na matambiko , thus why Musa na Haruni walizikwa haraka iwezekanavyo tena chini ya Mwenyezi Mungu mwenyewe , na makaburi Yao yalifichwa ili kuepusha akili mbovu za binadamu kufanya yasiyompendeza Mungu....

Kwa wakristo wa sa hv Misiba ni mzigo mzito , maiti itazungushwa weee, kuanzia hospitali , kanisani , mara ukumbini , atasubiriwa sijui ndugu gani yupo ulaya , maiti atasafrishwa , kule akifikishwa na penyewe inaanzishwa Ibada fupi sjui , mpak anazikwa , basi ashasababisha taabu kuu , watu wamelia mpak machozi yamekauka , utapeli wa madaftari ya michango rambi rambi ushafanyika vya kutosha huku familia ikiachiwa mzigo mzito wa madeni ya Gharama za mazishi ..!!!
Kama huna hela ukristo hauuwezi..nenda kwa maskini wenzako mkafarijiane..kupitia tamaa za ngono kwa kuoa wake na kuachana kila muda kama panya.

#MaendeleoHayanaChama
 
ukweli mchungu ila tegemea povu, majibu ya kisirani toka kwa wana israel wa Mivumoni

nna rafiki kadhaa wa kigalatia, likija suala la harusi, natumiwa Proforma Invoice ya 70k na mimeseji kila kukicha
qmmmmmq
ilihali harusi za kikobazi nachangia 5k tu
Umasikini tu unawasumbueni katafuteni pesa.

#MaendeleoHayanaChama
 
KAMA MKRISTO KINDAKINDAKI,

NAKUMBALIA NAWE KWENYE HILI

1.MAREHEMU HATA AKICHELEWESHWA VIPI, AKAOMBEWA VIPI, NA KAZI KWA KWENYE JENEZA LA BEI GHALI NANI GANI. HAIPI HAKI YA KUWA MTAKATIFU,NA MOTO HAWEZI KUKWEPA.

2.HARUSI
MAHANGAIKO NI MAKUBWA,GHARAMA NI KUBWA.NA NDOA ZINAVUNJIKA KWA IDADI KUBWA VILEVILE
ANASA ZA KISHETANI,WANATOKA KANISANI WANAKWENDA UKUMBINI KUCHEZA NA KUBINUA MAT.AKO NA WACHUNGAJI WAKIWEMO HUMO HUMO.
Hamia kwa wavaa kobazi..kuna mtu kakushikia mtutu kuwa mkristo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mimi hadi nitakapoona thread za ndoa zinaletwa na wanawake ndio nitaona uislam upo kwenye ndoa.. Why kila siku wanaume tu?
Kwenye uislam mwanamke Hana chochote. Ni kiumbe tu Cha kumridhisha mwanaume kingono kuanzia duniani mpaka peponi.

In short, starehe, pepo na ahadi za kuishi Uislam Ni ngono.
 
Kuna rafiki yangu ni mkristo alifunga ndoa ya kawaida tu bila gharama kubwa anajua dini na anasali sana yeye ni mtu wa maandiko ila hapendi mabishano ya kidini

Aliita mashahidi kama wawili mchunganj tena ilikuwa jumapili wazazi na Washenga kama watu 12 ivi basi alioa mwaka 2016 ndo ipo mpaka leo
Shida ni ubishi tu..hakuna mahali kumendikwa ndoa ziwe na gharama..mimi kuna mzee mkristo alikua anaozesha binti zake bila hata mahali..na gharama za harusi alikua anazibeba yeye..

#MaendeleoHayanaChama
 
Kingine ni usafi wakati wa ibada. Ndugu zetu waislamu wako na utaratibu mzuri sana wa kujisafisha kabla ya ibada.

Huku kwetu, kiatu ulichotoka nacho gesti na ukaingia nacho kwenye vyoo vya baa, ndicho unaingia nacho kanisani. Musa na utakatifu wake wote, Mungu alimwambia avue viatu. Sisi tunapuyanga tu!
 
Mkuu subiria waje wahusika utaambia umeshalishwa limbwa tanga huko na maneno mabovu..ila ata me ningependa tupate ufafanuzi maana ata hapa nashindwa kuoa japo nipo ni shemeji yenu mwaka 17 nilipreka posa wakata mil 4 mwaka 2008 nikamwambia mama tuendelee kufyatua watoto tu

Mkuu subiria waje wahusika utaambia umeshalishwa limbwa tanga huko na maneno mabovu..ila ata me ningependa tupate ufafanuzi maana ata hapa nashindwa kuoa japo nipo ni shemeji yenu mwaka 17 nilipreka posa wakata mil 4 mwaka 2008 nikamwambia mama tuendelee kufyatua watoto tu
Posa ni utaratibu wa mila za kiafrika uliokuwepo kabla ata ya ujio wa hizi dini ila kwa utaratibu wa kibiblia ni huu👇👇 kwa condition kama yako

Kumbukumbu la Torati 22:28-29
²⁸ Mtu mume akimwona kijana aliye mwanamwali ambaye hajaposwa, akamshika na kulala naye, wakaonekana;
²⁹ yule mtu mume aliyelala naye na ampe baba yake yule kijana shekeli hamsini za fedha, kisha na awe mkewe, kwa kuwa amemtweza; hana ruhusa ya kumwacha siku zake zote.


Sasa convert hiyo shekeli hamsin ni sh ngap sahv
 
Nikiri wazi Mimi ni mkristo kidanki ndaki , ni mafungu machache ya kwenye biblia yanaweza nipiga chenga ...

Dini zote mbili za kikristo na kiislamu zilitokea eneo moja , mashariki ya Kati , kile ambacho Biblia inasema na kile ambacho Qur'an inasema ni copyright for more than 80% , waislamu wamekuwa waaminifu kuendana na dini Yao angalau Kwa 75% Ila Kwa wakristo kumekuwa na kata funua nyingi , hasa Kwa viongozi wa dini , utitiri wa madhehebu , na taasisi za kiupigaji japo Biblia haihalalishi kile wanachokifanya...ni madhehebu machache yanayoweza kuifuata biblia hata Kwa 50%

Kuna mambo mawili kwenye dini ya kikristo ni wrong copy, au yamechepushwa kimakusudi na genge la watu fulani , na karbia madhehebu yote ya kikristo yanaona huo ndo mfumo sahihi , hata hvyo kiukweli hata Biblia yenyewe haikubaliani nayo...!!!

Jambo la Kwanza ni mfumo wa Sherehe za harusi na Jambo la pili ni mfumo au taratibu za kuwahifadhi wapendwa wetu wanaopumzika (wafu) ....!!

Sina uzoefu na dini ya kiisilamu , hata hvyo kuishi kwangu Tanga Kwa mda fulan kulinipa uzoefu fulani, hvyo kama nitakosea au kwenda kinyume basi nakubali kusahihishwa ....!!

Ndoa za kiislamu Swala la Harusi sio first priority, wapo wachache wanaoweza kulipigia chapuo, hata hvyo waislamu wamekuwa waaminifu Kwa hili , michango ya Harusi isiyo na uhalisia na yenye kuumizana na kutupiana lawama Kwa waislamu hii ni asilimia kidog Sana ,ndoa za mikeka Kwa ubani wa 300 nimezishuhudia several times na familia zao zimekuwa zikienda viral [emoji4]
Cha msingi kuwe na kipunga na ngoma mbili tatu basi lyfe linaenda.

Kwa wakristo ndoa imegeuzwa kuwa mtaji , Kwa asilimia kubwa ndoa bila Harusi kubwa na vinono hyo ni kama haitambuliki , kumekuwa na masharti kibao kwenye kuchumbia , mlolongo mrefu usiokuwa na maana , tozo nyingi Kwa ajili ya mchungaji anayefungisha ndoa , na Gharama zikiongezeka mara dufu , michango ya Harusi , unywaji wa pombe uliokithiri na anasa za kila namna ukumbini ndo fashion now days , sherehe zikiisha usku wa manane na kutengeneza kichaka cha uzinzi na uasherati ....Nina uhakika Mungu hakubaliani na huu ujinga, thus why ndoa nyingi za kikristo zimekuwa zikiishia kwenye maumivu yasiyoelezeka....!!!

Vijana wengi wa kikristo wameishia kuoa kinyemela ili kuepukana na hii adha , wengi wanaishi gheto na mabinti na maisha yanaenda hata hvyo viongozi wa dini huwachukulia kama waliolaaniwa .

jambo la pili ni swala la kuwahifadhi ndugu wanaofariki, hapa pia ni vurugu tupu , Kwa waislamu msiba ni swala zito , na maiti inatakiwa ihifadhiwe kaburini haraka iwezekanavyo , nilishuhudia kwenye msiba wa mkurugenzi wa uwanja wa ndege wa Nyerere kama sikosei , alifariki sa 12 jioni , kesho akazikwa mapema iwezekanavyo, Baba mzazi wa GSM alifariki usiku na Kesho yake akazikwa ..na watu wengine maarufu imekuwa ndo utaratibu...!!

Biblia pia inakubaliana na utaratibu huo , mara nyingi wafalme wa Isarel walipokuwa wanafariki Biblia ilisema sentensi moja tuu , akafariki akazikwa kwenye makaburi ya kifalme full stop , badae yanafanyika maombolezo mara nyingi ilikuwa sku 40...

Kifo cha kuhani mkuu Haruni na nabii Mussa kule jangwani pamoja naa mazishi yao kinaonyesha namna Mungu asivyokubaliana na kuchelewesha mazishi , Kifo cha Miriamu aliyekuwa mtu mkubwa Sana Kando ya Musa na Haruni biblia inatoa sentesi moja tuu , Miriamu akafa huko akazikwa huko , kuchelewesha mazishi kunaongeza machungu Kwa wanandugu na pia kushawishi Ibada za kishetani na matambiko , thus why Musa na Haruni walizikwa haraka iwezekanavyo tena chini ya Mwenyezi Mungu mwenyewe , na makaburi Yao yalifichwa ili kuepusha akili mbovu za binadamu kufanya yasiyompendeza Mungu....

Kwa wakristo wa sa hv Misiba ni mzigo mzito , maiti itazungushwa weee, kuanzia hospitali , kanisani , mara ukumbini , atasubiriwa sijui ndugu gani yupo ulaya , maiti atasafrishwa , kule akifikishwa na penyewe inaanzishwa Ibada fupi sjui , mpak anazikwa , basi ashasababisha taabu kuu , watu wamelia mpak machozi yamekauka , utapeli wa madaftari ya michango rambi rambi ushafanyika vya kutosha huku familia ikiachiwa mzigo mzito wa madeni ya Gharama za mazishi ..!!!
Mkuu, kimsingi hayo unayoeleza hayatoki kwenye Ukristo bali tamaduni, mapokeo, na matakwa binafsi.
Kuna tofauti ya ndoa na harusi. Wanandoa na ndugu ndio wanaamua sherehe (harusi) yao iweje sio dini. Siku hizi hata baadhi ya Waislamu wanafanya harusi ukumbini na kuongeza gharama za maisha.

Baadhi ya madhehebu baada ya kuona 'mzigo' wa harusi kuwa kikwazo kwa waumini kufunga ndoa, yameamua kuwa na ndoa za jumla.

Kuhusu maziko kuchelewa na kushreheshwa yote sio matakwa ya dini bali tamaduni na matakwa ya waliofikwa na msiba, Ukristo haukatazi kuzika papo hapo baada ya mtu kufariki au kuzika baada ya siku kadhaa. Mfano, Yesu alizikwa haraka kwa kuwa siku aliyofariki ilikuwa siku ya maandalio ya Sabato, Sabato haikuruhusiwa kufanya kazi yoyote, hata kuzika! Maana yake ni kuwa kama angefariki saa 12 jioni maana yake Yesu angezikwa Jumapili. Kwa hiyo hayo unayozungumzia ni masuala ya kibinafis.

Mimi nilikutana na mshangao nilipoenda kuishi Arusha, kwao kipaimara ni suala kubwa mno, nilishangaa kuona msafara barabarani, matarumbeta na magari lukuki, binti yuko kwenye gari la wazi anapunga mikono wakati magari yako kwenye msafara. Ni bahati mbaya sana sherehe hizo zinatumiwa kama mahali pa familia kuonyesha ufahari na utajiri. Mimi kipaimara changu tulitoka kanisani tukala chakula kizuri (pilau) na shughuli ikawa imeisha.

Bahati mbaya hata ubatizo nyakati hizi umegeuzwa kuwa sherehe! Nikiwa huko huko Arusha, nililetewa kadi ya mchango kwa ajili ya sherehe ya ubatizo. Nilimwambia wazi rafiki yangu kuwa huwa sichangii ubatizo wala kipaimara bali harusi pekee.

Vv
 
Acheni tupige sherehe ya nguvu ndoa zetu zinafungwa mara moja tu..nyie ndoa zenu mtu mmoja unaweza kufunga ndoa zaidi ya mara 10.
Swala la kifo nahisi kwa asilimia kubwa nyie waislam mnazikana mkiwa hai unaweza kuta mtu amepata coma jioni tu ameshapigwa chepe nimeshuhudia kesi nyingi watu wakizinduka wakiwa mortuary
 
Ukristo na uislam Ni kama Tom na jer au chinua na Achebe , au yanga na Simba tu haimaanishi kitu kila mshabiki huona timu yake Ni Bora kuliko ya mwingne Ila ukwel zote Ni game of mind tu[emoji1787]
Daaah
 
Mkuu, kimsingi hayo unayoeleza hayatoki kwenye Ukristo bali tamaduni, mapokeo, na matakwa binafsi.
Kuna tofauti ya ndoa na harusi. Wanandoa na ndugu ndio wanaamua sherehe (harusi) yao iweje sio dini. Siku hizi hata baadhi ya Waislamu wanafanya harusi ukumbini na kuongeza gharama za maisha.

Baadhi ya madhehebu baada ya kuona 'mzigo' wa harusi kuwa kikwazo kwa waumini kufunga ndoa, yameamua kuwa na ndoa za jumla.

Kuhusu maziko kuchelewa na kushreheshwa yote sio matakwa ya dini bali tamaduni na matakwa ya waliofikwa na msiba, Ukristo haukatazi kuzika papo hapo baada ya mtu kufariki au kuzika baada ya siku kadhaa. Mfano, Yesu alizikwa haraka kwa kuwa siku aliyofariki ilikuwa siku ya maandalio ya Sabato, Sabato haikuruhusiwa kufanya kazi yoyote, hata kuzika! Maana yake ni kuwa kama angefariki saa 12 jioni maana yake Yesu angezikwa Jumapili. Kwa hiyo hayo unayozungumzia ni masuala ya kibinafis.

Mimi nilikutana na mshangao nilipoenda kuishi Arusha, kwao kipaimara ni suala kubwa mno, nilishangaa kuona msafara barabarani, matarumbeta na magari lukuki, binti yuko kwenye gari la wazi anapunga mikono wakati magari yako kwenye msafara. Ni bahati mbaya sana sherehe hizo zinatumiwa kama mahali pa familia kuonyesha ufahari na utajiri. Mimi kipaimara changu tulitoka kanisani tukala chakula kizuri (pilau) na shughuli ikawa imeisha.

Bahati mbaya hata ubatizo nyakati hizi umegeuzwa kuwa sherehe! Nikiwa huko huko Arusha, nililetewa kadi ya mchango kwa ajili ya sherehe ya ubatizo. Nilimwambia wazi rafiki yangu kuwa huwa sichangii ubatizo wala kipaimara bali harusi pekee.

Vv
Mkuu hata Mimi nimesema biblia haicommand hcho kitu
 
Back
Top Bottom