Kifomula; Roho ya Mungu humshukia Mwanaume wakati Roho za kishetani humshukia Mwanamke. (Siri kuu)

Kifomula; Roho ya Mungu humshukia Mwanaume wakati Roho za kishetani humshukia Mwanamke. (Siri kuu)

Status
Not open for further replies.

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
KIFOMULA; ROHO YA MUNGU HUMSHUKIA MWANAUME WAKATI ROHO ZA KISHETANI HUMSHUKIA MWANAMKE.

Anaandika Robert Heriel.

Hatuandiki kumkashifu yeyote Ila tunaandika kufundisha na kuleta Uelewa wa mambo katika ulimwengu wa kiroho na elimu ya kimwili.

Katika Dunia hii zipo pande mbili zinazolingana. Juu na chini. Kushoto na kulia, Giza na Nuru, wema na ubaya, mwanaume na Mwanamke, Mtawala na mtawaliwa. Mungu na Shetani.
Pande hizo zinazokinzana zote zina kanuni zake na ni nadra Sana kutumia kanuni za upande mwingine.

Ni ngumu Sana Mungu kuongea moja Kwa moja na Mwanamke. Kama ilivyokuwa ngumu Kwa Shetani kuongea moja Kwa moja na Mwanaume.

Kama ingekuwa ni Kemia. Ni kwamba hakuna chemical Reaction baina ya Mungu na Mwanamke halikadhalika Shetani na Mwanaume.

Mungu au roho za Mungu huona kazi kubwa kumtumia Mwanamke katika shughuli za hapa na pale za kiutendaji. Kama ilivyo kaa Shetani au roho za kishetani huona kazi kubwa kumtumia mwanaume na hapa nazungumzia mwanaume kamili na halisi mwenye roho na tabia za kiume.

Shetani afikapo mahali popote pale hufikia Kwa mwanamke. Hata akiingia kwenye familia yoyote Ile basi hufikia Kwa mwanamke Kwanza ili atende kazi zake.

Mungu afikapo mahali popote hufikia Kwa mwanaume. Humuita mwanaume na ndio hufanya kazi zake.

Kimsingi, ili shughuli za Mungu zifanikiwe Kwa upesi basi mfumo utakaopaswa kutumiwa ni mfumo Dume kwani Mungu ndio mfumo wake.

Na ili shughuli za kishetani zifanikiwe Kwa upesi Sana basi yapaswa mwanamke atumike na mfumo jike utumike haraka.

Hii ni kusema, endapo dunia itafuata mifumo jike ni kwamba ufalme wa Mungu umeanguka na Shetani atakuwa yupo incharge.

Ndio maana kimsingi, ni kosa la jinai na kubwa Kuruhusu Mwanamke aongoze ibada za kiungu hasa Mungu Mkuu. Mwanamke kuongoza Ibada za kiroho kitafsiri ni kuwa ni agenda za kishetani zitapenyezwa na ushetani utakuwa dhahiri.

Au haya mwanaume akiongoza lakini akatumia mifumo ya Mfumo jike na kusikiliza sauti za kike ni kwamba Shetani ata-operate na mambo yataanza kwenda mrama.

Kifamilia, haipaswi Mwanamke awe kiongozi wa Familia. Mwanaume ndiye anayepaswa kuongoza familia.
Mwanamke kuongoza Familia ni laana. Na ni tafsiri kuwa familia hiyo ni base muhimu ya kishetani.

Sisemi Kama mtu nisiyefikiria umuhimu wa Wanawake, Hasha! Ila nazungumzia roles za msingi katika kanuni za ukinzani wa uwili.

Najaribu Kueleza Jambo hili ili wenye akili na maarifa wajue nini chakufanya.

Mwanaume kamili na halisi, mwenye roho ya Mungu, anayetumia mifumo ya Mungu Mkuu kamwe hawezi ongozwa ibada na Mwanamke kwani Kwa kufanya hivyo ni kukubali kuongozwa na Shetani na kutawaliwa na shetani hata Kama Mwanzoni ataona mambo ni mazuri lakini mwishoni lazima ubaya ujitokeze.

Wakati mwingine unaweza ukashangaa kuona Wanaume wazima wamesimamisha suruali zao wakiongozwa ibada na Mwanamke. Kwa kweli inahuzunisha
Ni Dalili ya kukosa akili na kutojitambua.

Mwanamke anaweza kuongoza wanawake wenzake, au kuongoza watoto wenye umri chini ya miaka 15 au ambao bado hawajaona manii/Shahawa zao.

Lakini mwanaume yeyote aliyeona Shahawa zake, mwenye uwezo wa kuzalisha hapaswi kuongozwa na Mwanamke katika mambo ya kiroho.

Mimi Taikon sisemi haya kuwaumiza au kuwadharau wanawake Ila naongea Jambo la kweli linaloigharimu Dunia.

Mungu hufikia Kwa wanaume na hutenda Kwa mfumo Dume. Shetani hufikia Kwa Wanawake na hutumia mfumo jike.

Sishangai dunia ya sasa ikikazania haki Sawa na kuondoa mfumo dume. Sababu ni kuwa Shetani haupendi mfumo dume Kwa sababu haumsapoti na unamchelewesha.

Nanipumzike sasa.

Ni Yule Mtibeli kutoka Nyota ya Tibeli.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
Yes, ndio maana wanaume huvaa nguo nyeupe kwamba wao NI wa Mungu, na wanawake huvaa nyeusi kwamba wao NI wa shetani

Hata peponi unasikia wanaume watakachopata na husikii wanawake watakachopata zaidi ya kuwa vyombo vya starehe.

Wanawake 72 kwa mwanaume mmoja NI udhalikishaji na ukandamizaji



Naam MKUU
 
Kwani umepatwa na nini Mkuu?


Sijapatwa na kitu Mkuu.

Ila najaribu Kueleza Hali halisi.

Nafahamu wewe ni Mwanamke.
Kwenye familia usikubali roho ya kike iongoze familia na watoto wako hata Kama wewe ni mwanamke.

Hata Mumeo ukiona anatumia zaidi mifumo ya kike jaribu kumuepuka.
 
Sijapatwa na kitu Mkuu.

Ila najaribu Kueleza Hali halisi.

Nafahamu wewe ni Mwanamke.
Kwenye familia usikubali roho ya kike iongoze familia na watoto wako hata Kama wewe ni mwanamke.

Hata Mumeo ukiona anatumia zaidi mifumo ya kike jaribu kumuepuka.
Thread 'Usimuonee huruma Mwanamke' Usimuonee huruma Mwanamke

It seems kuna shida somewhere.
 
Hii kufuru yote ya kuwaunganisha mama zetu wapenzi na shetani kasababisha chifu Hangaya!

Anachamba mtu hamalizi!!
Kika akifungua mdomo ni kichambo tu!!
Kwa waislam, watu wa allah, mwanamke hana thamani bali ni kifaa cha kutimiza ashki za ngono. Naona mungu wahawa jamaa amejikita kwenye ngono zaidi no wonder hawaishi kuwasema wanawake kwa kuwa dhalilisha.



MOhamed alisema "wanawake wote, yeyote anaweza kulala na mohamed".


Mohamed alilala na kufanay s.x na maiti ya Aunt yake!
Sahih Muslim: Book 003, Number 0684:


Wemeruhusiwa ku se.x na mama na binti zao, na wanyama.
Hii bado ni dini ya kuisikiliza hata kwa mtu asiyejua kuna Mungu?

 
KIFOMULA; ROHO YA MUNGU HUMSHUKIA MWANAUME WAKATI ROHO ZA KISHETANI HUMSHUKIA MWANAMKE.

Anaandika Robert Heriel.

Hatuandiki kumkashifu yeyote Ila tunaandika kufundisha na kuleta Uelewa wa mambo katika ulimwengu wa kiroho na elimu ya kimwili.

Katika Dunia hii zipo pande mbili zinazolingana. Juu na chini. Kushoto na kulia, Giza na Nuru, wema na ubaya, mwanaume na Mwanamke, Mtawala na mtawaliwa. Mungu na Shetani.
Pande hizo zinazokinzana zote zina kanuni zake na ni nadra Sana kutumia kanuni za upande mwingine.

Ni ngumu Sana Mungu kuongea moja Kwa moja na Mwanamke. Kama ilivyokuwa ngumu Kwa Shetani kuongea moja Kwa moja na Mwanaume.

Kama ingekuwa ni Kemia. Ni kwamba hakuna chemical Reaction baina ya Mungu na Mwanamke halikadhalika Shetani na Mwanaume.

Mungu au roho za Mungu huona kazi kubwa kumtumia Mwanamke katika shughuli za hapa na pale za kiutendaji. Kama ilivyo kaa Shetani au roho za kishetani huona kazi kubwa kumtumia mwanaume na hapa nazungumzia mwanaume kamili na halisi mwenye roho na tabia za kiume.

Shetani afikapo mahali popote pale hufikia Kwa mwanamke. Hata akiingia kwenye familia yoyote Ile basi hufikia Kwa mwanamke Kwanza ili atende kazi zake.

Mungu afikapo mahali popote hufikia Kwa mwanaume. Humuita mwanaume na ndio hufanya kazi zake.

Kimsingi, ili shughuli za Mungu zifanikiwe Kwa upesi basi mfumo utakaopaswa kutumiwa ni mfumo Dume kwani Mungu ndio mfumo wake.

Na ili shughuli za kishetani zifanikiwe Kwa upesi Sana basi yapaswa mwanamke atumike na mfumo jike utumike haraka.

Hii ni kusema, endapo dunia itafuata mifumo jike ni kwamba ufalme wa Mungu umeanguka na Shetani atakuwa yupo incharge.

Ndio maana kimsingi, ni kosa la jinai na kubwa Kuruhusu Mwanamke aongoze ibada za kiungu hasa Mungu Mkuu. Mwanamke kuongoza Ibada za kiroho kitafsiri ni kuwa ni agenda za kishetani zitapenyezwa na ushetani utakuwa dhahiri.

Au haya mwanaume akiongoza lakini akatumia mifumo ya Mfumo jike na kusikiliza sauti za kike ni kwamba Shetani ata-operate na mambo yataanza kwenda mrama.

Kifamilia, haipaswi Mwanamke awe kiongozi wa Familia. Mwanaume ndiye anayepaswa kuongoza familia.
Mwanamke kuongoza Familia ni laana. Na ni tafsiri kuwa familia hiyo ni base muhimu ya kishetani.

Sisemi Kama mtu nisiyefikiria umuhimu wa Wanawake, Hasha! Ila nazungumzia roles za msingi katika kanuni za ukinzani wa uwili.

Najaribu Kueleza Jambo hili ili wenye akili na maarifa wajue nini chakufanya.

Mwanaume kamili na halisi, mwenye roho ya Mungu, anayetumia mifumo ya Mungu Mkuu kamwe hawezi ongozwa ibada na Mwanamke kwani Kwa kufanya hivyo ni kukubali kuongozwa na Shetani na kutawaliwa na shetani hata Kama Mwanzoni ataona mambo ni mazuri lakini mwishoni lazima ubaya ujitokeze.

Wakati mwingine unaweza ukashangaa kuona Wanaume wazima wamesimamisha suruali zao wakiongozwa ibada na Mwanamke. Kwa kweli inahuzunisha
Ni Dalili ya kukosa akili na kutojitambua.

Mwanamke anaweza kuongoza wanawake wenzake, au kuongoza watoto wenye umri chini ya miaka 15 au ambao bado hawajaona manii/Shahawa zao.

Lakini mwanaume yeyote aliyeona Shahawa zake, mwenye uwezo wa kuzalisha hapaswi kuongozwa na Mwanamke katika mambo ya kiroho.

Mimi Taikon sisemi haya kuwaumiza au kuwadharau wanawake Ila naongea Jambo la kweli linaloigharimu Dunia.

Mungu hufikia Kwa wanaume na hutenda Kwa mfumo Dume. Shetani hufikia Kwa Wanawake na hutumia mfumo jike.

Sishangai dunia ya sasa ikikazania haki Sawa na kuondoa mfumo dume. Sababu ni kuwa Shetani haupendi mfumo dume Kwa sababu haumsapoti na unamchelewesha.

Nanipumzike sasa.

Ni Yule Mtibeli kutoka Nyota ya Tibeli.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Shetani ni kweli anapitia kwa mwanamke mm alibadilishwa mke akaniambia maneno na yalifanya kazi maneno hayo kama yalivokusudiwa nilichogundua kumbe ilikua sio maneno yake ilikua ni nguvu ya shetani baada ya kunifika mpaka mke tuliachana
 
Thread 'Usimuonee huruma Mwanamke' Usimuonee huruma Mwanamke

It seems kuna shida somewhere.


Kuongea ukweli ndio shida??


Mbona natumia Majina halisi. Ningetumia Fake ID huenda maoni yako yangeleta maana Kwa sababu ya kutonijua.

WANAWAKE nawaheshimu na wanamchango Mkubwa Sana kwani wao ndio walionilea lakini haimaanishi nisiseme ukweli unaowahusu wao.

Tatizo wanawake hawapendi Kuambiwa ukweli, wao wanapenda kusifiwa sifiwa, kudanganywa danganywa Kwa sifa za uongo.

Yapo mazuri yenu lakini yapo mabaya yenu Kama tulivyosisi wanaume
 
Kwa waislam, watu wa allah, mwanamke hana thamani bali ni kifaa cha kutimiza ashki za ngono. Naona mungu wahawa jamaa amejikita kwenye ngono zaidi no wonder hawaishi kuwasema wanawake kwa kuwa dhalilisha.



MOhamed alisema "wanawake wote, yeyote anaweza kulala na mohamed".


Mohamed alilala na kufanay s.x na maiti ya Aunt yake!
Sahih Muslim: Book 003, Number 0684:


Wemeruhusiwa ku se.x na mama na binti zao, na wanyama.
Hii bado ni dini ya kuisikiliza hata kwa mtu asiyejua kuna Mungu?


Kaka jikite kwenye mada husika...acha kuingiza chuki zako kwenye dini za watu...muislamu mmoja anaejitambua ni sawa na wakiristo 1000....kuwa makini kijana, nikijitoa muhanga siku ya jpili pale church naenda peponi...
 
Kaka jikite kwenye mada husika...acha kuingiza chuki zako kwenye dini za watu...muislamu mmoja anaejitambua ni sawa na wakiristo 1000....kuwa makini kijana, nikijitoa muhanga siku ya jpili pale church naenda peponi...
Huwezi kulinganisha Christ and shetani. Na kifo chako ni faida kwa shetani aka allah. Kifo chako ni hasara lakini kifo changu ni faida!. Unajua hilo?
Muislam anajitambua zaidi ya allah na mody. Ona hapa



Dini gani ya Mungu inawaza ngono tu? Siku novel zenu zikiondoa vipengele vya ngono na mauaji, nani atakuwa muislam? Kama hujui kiingereza wala kiarabu ambacho najua hukijui, tafuta marimali akuambie tafsiri ili ujue usanii wa huyo Lunatic Mody.


Kimbia kama wenzako wanaoelewa ujiponye na jehanum

 
Hakuna Mungu wala shetani. its just goodness or evil,.

Concept za dini na mungu ukichunguza vizuri, zimelenga katika kumdhoofisha mwanamke na kumuondosha thamani, huku zikitoa upperhand kwasisi wanaume.

story ya adam na hawa, samson na delila na zingine za namna hiyo, zote zilikua na lengo la kumshusha thamani mwanamke na kumkandamiza., mfano miaka ya 1550's kanisa liliwahi kuweka mkutano/mhadhara kujadili kama mwanamke ni binadamu au si binadamu[emoji16] its interesting sio!?. hii yote ni kwasababu tupo katika mfumo dume, although kuna eras nyingi BC zilipitia mfumo jike, hata huko infuture yatabadilika tu.

Utakua ni mpumbavu wa kiwango cha lami kumuwianisha mwanamke na upande wa shetani ilhali inajulikana women have purest love[emoji848]goodness, trust except mpka mazingira yatakampombadilisha na kua evil, hapo the pure love itakua pure hate and soo and soo, whatever comes from a woman is pure, whether love or hate, goodness or evil, dont u know even babies are soo pure when being born!?.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom