Kifomula; Roho ya Mungu humshukia Mwanaume wakati Roho za kishetani humshukia Mwanamke. (Siri kuu)

Status
Not open for further replies.
cariha achana na hawa malofa ..usipoteze muda kujibizana nao..kama anaweza kusapoti alichoandika huyu mjinga, kwa nini asikutane wewe kirahisi ....kuwa ana amani mamaa
JF huwa inapenda sana kuacha mada za kutuzalilisha wanawake kuanzia matusi na kila kitu ndio furaha Yao hyo, Yani vile ni wanaume huwa ruksa kutukana wengine
 
Hizi ni hisia zako tu ama??
Maana hakuna rejea ya kitabu chochote wala maandishi yoyote kuthibitisha hayo achilia mbali mfano wowote zaidi ya hisia tu.

Jaribu kupitia bandiko lako vyema ni nini hasa source ya haya uliyoyaandika!! Umetaja Mungu Munga na shetani mara kadhaa nadhani unavijua vitabu vya dini, tupe mfano au maelezo yoyote kuthibitisha usemayo kutoka katika vitabu vilivyomtaja Mungu na shetani.
 
Ukiwa huna uelewa wa kitu zuia vidole vyako visikuaibishe kama wewe ni mweupe kichwani kuhusu mambo ya imani uliza ueleweshwe sio kukurupuka na kuandika visivyoeleweka.
 
Ukisoma alichokiandika mleta mada Kwa umakini na pasi mihemuko na Kwa akili tulivu ni dhahiri kuna Jambo la manufaa.

Hebu tujiulize kwanini wanawake ndo wanongoza Kwa kujidhalilisha hasa kingono kwenye mitandao,mfano wale wa chupa ya soda na beer.

Kwa nini wao ndo wanaongoza huko mitandaoni kujibinuabinua na kujirekodi picha za utupu.

Pia tuzingatie mwanamke,Kwa sisi wakristo aliumbwa baada ya mwanaume,hii ikiwa na maana kuwa mwanamke ni wa mwanaume na pasipo mwanaume hakuna mwanamke.....hii ni natural law.

Sasa laana inakuja pale mwanamke anapota taka kutumia nguvu kubwa kujiona yeye yu Sawa na mwanaume aliumbwa kabla yake.

Ukisoma maandiko baada ya Adam na Hawa kuasi utaona laana ya mwanamke kuzaa Kwa uchungu inatolewa lakini ina andikwa pia mwanamke hata Kwa kuzaa kwake Kwa uchungu bado atakuwa na hamu na muwewe,maana yake nini hii... mwanamke ni wa mwanaume haijalishi hali,sema tatizo la siku hizi wanawake wanaona wao ni Sawa na mwanaume.

NOTE: Katika uumbaji,alitangulia mwanaume hivyo pasipo mwanaume hakuna mwanamke.
 
Enyi wanawake hakuna mahali mleta mada kawadhalilisha ni vile tu nyie ni watu wa kureact haraka.

Jibizaneni nae kwa hoja na sio matusi na kuja juu. Na hilo tatizo hata mama Tozo analo, yeye kila kitu mpaka akiongee na atoe mipasho, lawama na kutaka huruma.

Acheni hiyo kitu, na wanaume huwagwaya zaidi wanawake wa kureason na kuja na mijadala na sio mipasho. Hii mipasho yeyote anaweza kuwajibu lakini ukiweka hoja mezani wachache wataigusa.
 
Ivi hayo mambo kweli yapo kwenye quruani au ni uzushi? Kama ni uzushi si vema kuchafua dini za watu wengine.
Ova
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…