Full Blood Picture
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 2,223
- 3,961
Yaaaan mwendazake aliwa fool wapumbavu na wajinga kwamba hakuna upigaji kumbe....kunaaa jamaa angu ni hawa wakula vitu aka unga..nmewahi kumuuliza mtapata wapi hiyooo ktu.. jamaaa alijibu hakunaaa kipindi unga unaingia kwa wingi kama zama hizi za mwendazake..
Kosa lake kuzuia uhuru wa kutoa maoni na taarifa! Ukisema Nchi kuna wezi anakulisu kabla ya kuchunguza na kujua ukweli, aliisi watasema yeye ndio mwizi!Sasa Magufuli anahusikaje hapo. Hao si wezi Kama wezi wengine au kosa lake ni kule kupiga vita wizi kwa maslahi ya taifa. Lazima tukubali alijitahidi kwa uwezo wake ila haizuii ukweli kwamba kuna wachache walikuwepo bado ambao mmoja wapo ni hawa
Tunamuombea kwa Mwenyezi Mungu amlinde mkuu wa wilaya wasije wakamdhuru.Na ukitaka kujua huu ni mtandao mkubwa,hii issue nayo itapotea tu hewani na wala hatutajua mwisho wake,hiyo ndiyo imetoka ndukii!!
Watuonyeshe mfano watakaokamatwa tuwaone kwenye vyombo vya habari, siyo stori stori tuu.--->>>KWA UONI WANGU HAFIFU HAPA PANA MTU MZITO KWELI SEREKALINI,NI MIMI NIONAVYO KWA RAMLI YANGU.
Kumbe unawajua wauza unga basi vizuriYaaaan mwendazake aliwa fool wapumbavu na wajinga kwamba hakuna upigaji kumbe....kunaaa jamaa angu ni hawa wakula vitu aka unga..nmewahi kumuuliza mtapata wapi hiyooo ktu.. jamaaa alijibu hakunaaa kipindi unga unaingia kwa wingi kama zama hizi za mwendazake..
hata ungeambiwa ungesema ni kiki wametengeneza wenyewe. kwani wakat JPM anavamia bandarini anakamata ma container ya makinikia mlisema ni kikiUsingeambiwa sasa kama kuna wizi, ungeendelea kufichwa tu
Wahusika wote wakamatwe, akiwemo mmiliki wa hiyo nyumba na wenye hayo malori kama yanavyoonekana hapo kampuni ya LAKE OIL.
we mpu mbavu. barrick na makinikia ulisema wewShida ya mwendazake alikuwa anatuficha mno ili asichafuke
bavicha bhanaKilikuwa kipindi kizuri Sana cha upigaji, no wapinzani, no waandishi no watu kufichua. Kulikuwa ni kuogopana kila mtu alikuwa TISS au ndugu wa mkulu..
Saizi upigaji utakuwa kidogo au kwa akili maana kufichuana kutakuwa waziwazi
Ndiyo maana Magu alifika kipindi mpaka akatamani angekua IGP, maana alikua anaona Kama IGP anapwaya,lakini Sasa atatumbuwa wangapi, maana angeendelea kutumbua mwisho wa siku angebaki pekee yake huko Serekalini, maana Watumishi wengi wanapenda upigaji kwenye sectors zao,na bila upigaji Watumishi watafanya kazi kwa kujivuta!!Aliye teuliwa na nani?
Walilogwa na uchawi wa kizungu unaitwa mulaamulaa,huo hata wwe ukipigwa nao hupinduwi!!Usalama wa Taifa walikuwa wapi?
Haya uliyoandika yanahusiana pia na hii mada?Tatizo kubwa la mwendazake alikuwa anataka ale yeye tu ilhali wengine wanakufa na kwashakoo sasa kwa jinsi binadamu alivyo unapombana sana anatafuta njia mbadala ya kutokea, katika kipindi chake kulikua na chawa wake ambao uwepo wake ulikua unawanufaisha sana ndio maana hata walikua radhi kuua hata mtu aliyekua anampinga.
Ukweli ni kwamba aliharibu sana hili Taifa, Mungu wa mbinguni amesikia kilio cha watanzania akaamua kumchukua maana alikokua anaelekea kulikuwa siyoooo kabisaaaaa.
Ingekuwa wakati wake, huyo mama hapo, sijui Mkuu wa Wilaya asingeonekana popote.Sasa Magufuli anahusikaje hapo. Hao si wezi Kama wezi wengine au kosa lake ni kule kupiga vita wizi kwa maslahi ya taifa. Lazima tukubali alijitahidi kwa uwezo wake ila haizuii ukweli kwamba kuna wachache walikuwepo bado ambao mmoja wapo ni hawa