Full Blood Picture
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 2,223
- 3,961
Yaaaan mwendazake aliwa fool wapumbavu na wajinga kwamba hakuna upigaji kumbe....kunaaa jamaa angu ni hawa wakula vitu aka unga..nmewahi kumuuliza mtapata wapi hiyooo ktu.. jamaaa alijibu hakunaaa kipindi unga unaingia kwa wingi kama zama hizi za mwendazake..
Ukiona wezi hawapo duniani ujue na shetani naye hayupo kabisa kabisa. Hao wataendelea kuwepo as long as shetani naye yupo. Kazi ya serikali ni kuendelea kuwasaka