Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitto ameshindwa kigoma mjiniWakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Kigoma. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Kigoma una jumla ya majimbo ya uchaguzi 8 ambayo ni
Buyungu -
Muhambwe:
Kasulu Mjini:
Kasulu Vijijini:
Manyovu -
Kigoma Mjini -
Kigoma Kaskazini -
Kigoma Kusini/Uvinza -
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.
Ilo hutu ni ibilisi mtupu .kwa jinsi uchaguzi ulivyoendeshwa, nimezidi kumchukia Magu na ma ccm!
Magu namuona ni muuaji kbs sio binadam wa kawaida!.
Matumaini madogo niliyobakia nayo yanaanza kupotea, hakika demokrasia imebakwa.ACT wamepata kata 2 pekee. Rusimbi na Buhanda.. Zitto kapigwa chini..na BABA LEVO Kapoteza kata ya Mwanga Kaskazin. Baba levo kaniuma sana.. ndo alikuwa Diwani wangu
Kwa hiyo ulitaka ubakwe wewe?Matumaini madogo niliyobakia nayo yanaanza kupotea, hakika demokrasia imebakwa.
No, nilitaka abakwe mamako.Kwa hiyo ulitaka ubakwe wewe?
Bado una hamu ya kujua matokeo ya sehemu nyingine kwa hali hii?!Matokeo ya kigoma, kyerwa, BK mjini yakoje wakuu?
ACT wamepata kata 2 pekee. Rusimbi na Buhanda.. Zitto kapigwa chini..na BABA LEVO Kapoteza kata ya Mwanga Kaskazin. Baba levo kaniuma sana.. ndo alikuwa Diwani wangu
Hongera sana kwa Komrade Kirumbe Ng'enda kumtoa Zitto msaliti! Zitto aliniboa sana alipokwenda Benki ya Dunia kuchongea Tanzania isipewe msaada kisa JPM kasema binti akipata mimba hatarudi shule ya Serikali!Zitto kapigwa chini huko kigoma
Saivi ni The Hague anaenda!Hongera sana kwa Komrade Kirumbe Ng'enda kumtoa Zitto msaliti! Zitto aliniboa sana alipokwenda Benki ya Dunia kuchongea Tanzania isipewe msaada kisa JPM kasema binti akipata mimba hatarudi shule ya Serikali!
Akapalilie mawese! Au akafanye usaliti nje ya Bunge!Saivi ni The Hague anaenda!
Au unasema mwanakada?
Ni kweli abaki na kazi moja ya usaliti!Kwaheri bwn. Zito ,
Sasa utapata muda mzuri wa kukesha huko World Bank kuomba tunyimwe mikopo.
Maisha yatakuaje kwa miaka mitano ijayo?Akapalilie mawese! Au akafanye usaliti nje ya Bunge!
Kazi inaendelea kila mmoja achape kazi tuendeleze Taifa letu changa!Maisha yatakuaje kwa miaka mitano ijayo?
Ok. Kila la kheri.Kazi inaendelea kila mmoja achape kazi tuendeleze Taifa letu changa!
Ajabu sana!😁kamanda umeweka imani kubwa sana kwa kigogo kuliko tume ya uchaguz