Uchaguzi 2020 Kigoma: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia

Uchaguzi 2020 Kigoma: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia

Yaani Misukule ya CCM Wapumbavu sana! Yaani hata kama ni siasa nyie mnaona sawa tu Bunge zima kuwa na chama kimoja kama ilivyokuwa zama za mwalimu? VERY STUPID!

Halafu mlivyo wapumbavu, majority mnaoshangilia wala hampo kwenye system, sasa kama sio uzuzu tuite nini!!!
 
Yaani Misukule ya CCM Wapumbavu sana! Yaani hata kama ni siasa nyie mnaona sawa tu Bunge zima kuwa na chama kimoja kama ilivyokuwa zama za mwalimu? VERY STUPID!

Halafu mlivyo wapumbavu, majority mnaoshangilia wala hampo kwenye system, sasa kama sio uzuzu tuite nini!!!
Matusi hayabadirishi matokeo, pole kwa kuchagua fungu la kushindwa. Hiyo ni moja ya yamkini, ndiyo maana chama kiliweka wagombea majimbo yote, kama wananchi wameamua hivyo, unafanyaje? Hapa ni kupokea na kuheshimu matokea tu!
 
Yaani Misukule ya CCM Wapumbavu sana! Yaani hata kama ni siasa nyie mnaona sawa tu Bunge zima kuwa na chama kimoja kama ilivyokuwa zama za mwalimu? VERY STUPID!

Halafu mlivyo wapumbavu, majority mnaoshangilia wala hampo kwenye system, sasa kama sio uzuzu tuite nini!!!
Hii Tz kwa sanduku lakura wala ccm haiwezi kutoka madarakani dawa nikuanzisha vikundi vya kudeal nahawa wasimamizi wote wauchaguzi kama niwao moja kwa moja au ndugu zao, ili waziogope hizi nafasi za ukurungezi,ukuu wa wilaya na hata ukuu wamkoa.
 
Matusi hayabadirishi matokeo, pole kwa kuchagua fungu la kushindwa. Hiyo ni moja ya yamkini, ndiyo maana chama kiliweka wagombea majimbo yote, kama wananchi wameamua hivyo, unafanyaje? Hapa ni kupokea na kuheshimu matokea tu!
Kama upo kwenye system basi shangilia kuendelea kupata fursa ya kuitafuna nchi manake hicho ndicho wanachojua CCM lakini kama haupo kwenye system basi narudia ni upumbavu kufurahia kwa mbwembwe kuwa na bunge la chama kimoja!!!

Btw, nani aheshimu matokeo yaliyojaa hujuma?!

Again, ni mpumbavu tu ndie anaweza kuamini CCM wanaweza kuzoa viti karibu vyote kwa halali! Ni kipi cha maana ilichofanya CCM cha kuweza ku-win Tanzanai yote?!

Zaidi ya porojo za flyover, mara ndege mara sijui nini, ni kipi cha maana kinacho-reflect moja kwa moja maisha ya Watanzania across the country kwa uwingi wao?!
 
Hii Tz kwa sanduku lakura wala ccm haiwezi kutoka madarakani dawa nikuanzisha vikundi vya kudeal nahawa wasimamizi wote wauchaguzi kama niwao moja kwa moja au ndugu zao, ili waziogope hizi nafasi za ukurungezi,ukuu wa wilaya na hata ukuu wamkoa.
EXACTLY, it's time to say enough is enough!
 
Kama upo kwenye system basi shangilia kuendelea kupata fursa ya kuitafuna nchi manake hicho ndicho wanachojua CCM lakini kama haupo kwenye system basi narudia ni upumbavu kufurahia kwa mbwembwe kuwa na bunge la chama kimoja!!!

Btw, nani aheshimu matokeo yaliyojaa hujuma?!

Again, ni mpumbavu tu ndie anaweza kuamini CCM wanaweza kuzoa viti karibu vyote kwa halali! Ni kipi cha maana ilichofanya CCM cha kuweza ku-win Tanzanai yote?!

Zaidi ya porojo za flyover, mara ndege mara sijui nini, ni kipi cha maana kinacho-reflect moja kwa moja maisha ya Watanzania across the country kwa uwingi wao?!
Wote hatuwezi kuwa kwenye system, kitendo cha kuboresha huduma za kijamii kama afya, maji elimu bure, umeme vijijini, miundombinu, hati za ardhi, meli, shule kukarabatiwa, na vituo vya kutolea huduma za afya ,napigia saluti CCM!
 
Wakuu habari,

Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu anazungumza na waandishi wa habari muda huu.

Hiki ndicho anachokisema (Updates)

-Wagombea ubunge wa chama chetu walikatwa, hii ni ishara moja kuwa uchaguzi wa mwaka huu ulikuwa na dosari

-Tumefanya kampeni nyigi kuliko zile za mgombea wa Chama cha Mapinduzi

-Msafara wangu wa Kampeni za urais ulikuwa na magari sita tu, magari mawili ya waandishi wa habari, na magari mengine manne, yakiwamo mawili ya walinzi

-Watanzania walitupokea kwa upendo mkubwa, walitupa maji, chakula mafuta
 
Wote hatuwezi kuwa kwenye system, kitendo cha kuboresha huduma za kijamii kama afya, maji elimu bure, umeme vijijini, miundombinu, hati za ardhi, meli, shule kukarabatiwa, na vituo vya kutolea huduma za afya ,napigia saluti CCM!
Pole sana! Yaani miaka 60 baada ya uhuru bado unaona hayo ndo mambo ya msingi wakati yalitakiwa yawe yameshatekelezwa long time ago!! Si ajabu hapo nusu au hata zaidi ya wanafamilia yako hawana ajira za kueleweka lakini hapa unafurahia huduma za maji, eti elimu bure!!!

Kwa elimu gani ya kutamba kwamba elimu bure?! Hivi lau kama CCM wangekuwa wametekeleza wajibu wao wa kuondoa umaskini suala la elimu bure lingekuwa issue?! NI nani mwenye angalau visenti tu anayemeleka mtoto wake kwenye hiyo elimu bure?!

Yaani unaongelea kwa tambo matunda ya umaskini?!

Na kwa huduma za afya gani wakati mtu ukienda hospital chance kubwa ni kuambiwa kanunue dawa? Ikiwa hata enzi madaktari wanaajiriwa bado walikuwa hawatoshi, what about now ambapo hata ajira za madaktari zinatoka kwa kumulika kwa tochi?! Sasa hizo huduma za afya ni zipi?! Au unazungumzia majengo yaliyo kwenye baadhi ya vijiji?!

Hivi seriously unaona kuna cha maana kimefanyika kwa kupewa hati ya ardhi wakati hiyo ni haki yako?!

Kwa mawazo yako hayo, una kila sababu ya kushangilia manake bado kabisa wala hujui kama taifa tunahitaji nini!!!
 
Hii Tz kwa sanduku lakura wala ccm haiwezi kutoka madarakani dawa nikuanzisha vikundi vya kudeal nahawa wasimamizi wote wauchaguzi kama niwao moja kwa moja au ndugu zao, ili waziogope hizi nafasi za ukurungezi,ukuu wa wilaya na hata ukuu wamkoa.
Ebu anzisha hivyo vikundi wewe kwanza ili na sisi tufuate?
 
Umepaniki Mkuu..

Seriously..!! Kutokuwepo kwenye system ndio justification ya unaowatuhumu kuwa ni wapumbavu..

Typical promotion of selfishness.
Pole sana manake, mosi inaelekea wala huelewi hoja hasa ni nini hapo?!

Pili, unless nawe kama upo kwenye system au nawe ni mwanasiasa vinginevyo inaelekea pia hujui ubinafsi wa wanasiasa!!

Inaelekea hujui kwamba wanasiasa wetu wanaingia kwenye siasa kwa ajili ya maslahi yao binafsi na sio ya umma!!!

Inaelekea hujui wanasiasa wengi wanasukumwa kufanikisha mambo yao kuliko ya wale waliowachagua!!

Hivi watu wazima na watoto wao nyumbani wanafikia hadi kuomba kura kwa kupiga magoti lakini bado unaamini wanalilia kura kwa nguvu kiasi hicho ili wakakuhudumie wewe?!!

Sasa ukishayajua hayo utashangaa kuona wanasiasa walio kwenye sytem wakifurahia kubaki madarakani?!

Hivi Mbunge wa CCM atajali kuona miswada ya kijinga wanaipitisha kwa kura ya ndiyooooo simply because ni miswada iliyoletwa na serikali yao, huku na yeye anapiga posho yake kama kawaida?!

Hivi leo Wabunge wa CCM watajali akitokea mwendawazimu mmoja miongoni mwao akataka mishahara na posho zao zipande kwa 100% na muhula wa ubunge upande kutoka 5-7 or to 10 years wakati hiyo itamuongezea ulaji ambao ndio hasa wanaufuata bungeni?

Sasa na yule mwenzangu mimi anasherehekea nini kwa kuwa na bunge la chama kimoja litakalotumika ku-endorse miswada mbalimbali bila kujali kama ina maslahi kwa wengi au hapana?!

Au anasherehekea kuwapa watu rungu la kwenda kupitisha miswada ya kijkinga?!

Na lau kama ungekuwa unajua kusoma between the lines ungejua nimeongea kauli hiyo kwa uchungu wa kuona wanasiasa wanajali maslahi yao zaidi kuliko ya wananchi ndo maana wapo tayari kufanya lolote kuhakikisha wana-retain madaraka huku wananchi wa kawaida wakishangilia kama mazuzu, wakati si ajabu wengine hata ajira hawana!!!!

Na ikiwa kauli kama hii:-
Kama upo kwenye system basi shangilia kuendelea kupata fursa ya kuitafuna nchi manake hicho ndicho wanachojua CCM lakini kama haupo kwenye system basi narudia ni upumbavu kufurahia kwa mbwembwe kuwa na bunge la chama kimoja!!!
Kama kwako kauli kama hiyo ina-sound selfishness then you have a very very long way to go hadi kufikia kuelewa hoja mbalimbali!!
 
Hii Tz kwa sanduku lakura wala ccm haiwezi kutoka madarakani dawa nikuanzisha vikundi vya kudeal nahawa wasimamizi wote wauchaguzi kama niwao moja kwa moja au ndugu zao, ili waziogope hizi nafasi za ukurungezi,ukuu wa wilaya na hata ukuu wamkoa.
Wakurugenzi wote nchi nzima iwe Ni ama zao ama zetu
 
Eti Zitto hashindi hahahahahahahahah
ZITOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
 
Back
Top Bottom