Duh! Hii mambo hii, is like a drama like a video.ACT wamepata kata 2 pekee. Rusimbi na Buhanda.. Zitto kapigwa chini..na BABA LEVO Kapoteza kata ya Mwanga Kaskazin. Baba levo kaniuma sana.. ndo alikuwa Diwani wangu
Siyo kigoma tu Bali Muhimili wa Bunge ume poteza vichwa haswa.