The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,574
- 10,598
Matokeo saa nyingi sana tyr, na Zitto katundika miguu juu!Kapigwa chini vipi kwani matokeo rasmi yashatangazwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matokeo saa nyingi sana tyr, na Zitto katundika miguu juu!Kapigwa chini vipi kwani matokeo rasmi yashatangazwa?
Eti eee?Matokeo saa nyingi sana tyr, na Zitto katundika miguu juu!
Hahahahahahahahah Unaumwa wewe.Amini hivyo mkuu.. nipo Kigoma na ccm tayari walishajimwaga mtaani..Zitto kapigwachini
tena kwa gap kubwa tu CCM wamerudisha manispaa.
Duh! Kwa hiyo Kirumbe anatinga mjengoni siyo?Matokeo saa nyingi sana tyr, na Zitto katundika miguu juu!
Ndivyo inavyotakiwa mkuu Hawa nikudeal nao wao, ili walioteuliwa hizo nafasi wawe wanajua kabisa wasipondenda haki nini kitawakuta.Wakurugenzi wote nchi nzima iwe Ni ama zao ama zetu
Utashangaamimi mwenyewa pamoja na kuwa CCM ila baba levo kaniuma saana
hii imefanya niwe na ualakini wa .....
Kwamba mtawafanyaje wakurugenzi?Ndivyo inavyotakiwa mkuu Hawa nikudeal nao wao, ili walioteuliwa hizo nafasi wawe wanajua kabisa wasipondenda haki nini kitawakuta.
Uliza Raila Odinga alikuwa anawafanyaje na kwa nini wanamuheshimu Kenya lichayakuwa nimpinzani. Uhuni unazimwa kwa uhuni.Kwamba mtawafanyaje wakurugenzi?
Sio wananchi walioamua, sema kama tume na serikali imeamua hivyo. Maana inakuaje kuna karatasi fake za kupigia kura, ikiwa karatasi za kupigia kura, znaandaliwa na tume, basi hizi fake kaziandaa nani? Na zikiwa zna watermark ya tume. Tumia busara yako fikilia mno tena mnoMatusi hayabadirishi matokeo, pole kwa kuchagua fungu la kushindwa. Hiyo ni moja ya yamkini, ndiyo maana chama kiliweka wagombea majimbo yote, kama wananchi wameamua hivyo, unafanyaje? Hapa ni kupokea na kuheshimu matokea tu!
Fanyeni huo uhuni au unadhani odinga atakuja kuwafanyia?Uliza Raila Odinga alikuwa anawafanyaje na kwa nini wanamuheshimu Kenya lichayakuwa nimpinzani. Uhuni unazimwa kwa uhuni.
Kama wapinzani wanahitaji kuisogeza hii nchi mbele nakuiondoa mikononi mwa ccm basi hio ndio dawa, tofauti nahapo hawawezi kuiondoa ccm madarakani maana ccm sio chama cha siasa.Fanyeni huo uhuni au unadhani odinga atakuja kuwafanyia?
Zitto ameshinda mkurugenz hataki kumtangaza.Hahahahahahahahah Unaumwa wewe.
Huyo MPUUZI hajui chochote Mkuu ,Zitto ameshinda kigoma mjini na hivi sasa mji mzima ni shangwe tu.Duh! Kwa hiyo Kirumbe anatinga mjengoni siyo?
Kigogo anasemaje?Huyo MPUUZI hajui chochote Mkuu ,Zitto ameshinda kigoma mjini na hivi sasa mji mzima ni shangwe tu.
Wapinzani ni wazushi, ninamashaka na hilo wamelizusha tu kama wanavyofanya uzushi mwingine! No tangible evidence.Sio wananchi walioamua, sema kama tume na serikali imeamua hivyo. Maana inakuaje kuna karatasi fake za kupigia kura, ikiwa karatasi za kupigia kura, znaandaliwa na tume, basi hizi fake kaziandaa nani? Na zikiwa zna watermark ya tume. Tumia busara yako fikilia mno tena mno
Azam tv wameandia zitto ashindwa.....Huyo MPUUZI hajui chochote Mkuu ,Zitto ameshinda kigoma mjini na hivi sasa mji mzima ni shangwe tu.
Nimesikia hivyo! Kuna taarifa tofauti na hiyo?!Unamkaribisha Kirumbe, kwani Zitto kishashidwa?
Kushinda si ni pamoja na kutangazwa, naomba ufafanue!Zitto ameshinda mkurugenz hataki kumtangaza.