Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Huo uhasibu umeshindwa kumfanyia boss wa ma mbumbumbu asipate hasara umekimbilia hela za wanaume wenzako
 
Naomba unionyeshe ushahidi kama thamani ni 400m wapi wameandika ama kiongozi Gani wa yanga kasema usajiri ni 400
 
Nelson Okwa
Augustine Okrah
Habib Kyombo
Nassor Kapama
Mohamed Outarra
Ismail Sawadogo
Victor Akpan

Hao wote ni mizigo tu lakini kuna mtu anawashwa kuja kuisema Yanga na usajili wa Aziz. Anza na hao kwanza kenyamkela wewe
 
Nelson Okwa
Augustine Okrah
Habib Kyombo
Nassor Kapama
Mohamed Outarra
Ismail Sawadogo
Victor Akpan

Hao wote ni mizigo tu lakini kuna mtu anawashwa kuja kuisema Yanga na usajili wa Aziz. Anza na hao kwanza kenyamkela wewe
Upo sahihi, haya rudi sasa kwenye mada
 
Kama mwaka jana hamkuweka hiyo hasara basi mwaka muiweke. Hii hasara ni kubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…