Mimi ndiyo maana nawashauri mashabiki wenzangu wa simba kumjengea mnara wa heshima Mwenyekiti wetu wa zamani, kwa kutuita sisi mashabiki "mbumbumbu".Tate Mkuu ukikaidi utapigwa2 OKW BOBAN SUNZU Scars Shadeeya Simba lunyasi GENTAMYCINE njooni muchukue madini ya huu uzi .
Hahahaa. Kwa kweeli madini toka kwa mbumbumbu. 🤣🤣🤣Tate Mkuu ukikaidi utapigwa2 OKW BOBAN SUNZU Scars Shadeeya Simba lunyasi GENTAMYCINE njooni muchukue madini ya huu uzi .
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Puuzi HiloMpaka sasa sisiti kumfananisha OKW BOBAN SUNZU na mpiga ramli. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu tuambie hivi ukiingia makundi Bei gani vile🥱.je hasara imepungua ,imeisha au imeongezeka🦁thimbaaa wee🏃🏃Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Wanatuaminisha kwamba kweli hawa ni mbumbumbu Fc sababu wana nyuzi zao hao Mikia ukizisoma hadi unaishiwa kicheko.Puuzi Hilo
Akili Zao Hazina AkiliWanatuaminisha kwamba kweli hawa ni mbumbumbu Fc sababu wana nyuzi zao hao Mikia ukizisoma hadi unaishiwa kicheko.
hahahaha,jamaa hasara sana, ama kwdli rage hakukosea kuita nyie mbumbumbuUzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Rafiki nakuona. Hahahaaa.hahahaha,jamaa hasara sana, ama kwdli rage hakukosea kuita nyie mbumbumbu
hahahaha, jamaa kweli mbumbumbu dah, wamefungua nyuzi nyingi za kimbmbumbumbuWanatuaminisha kwamba kweli hawa ni mbumbumbu Fc sababu wana nyuzi zao hao Mikia ukizisoma hadi unaishiwa kicheko.
rafiki hongera,kwa kunyamazisha mbwa/mbumbumbu hawaRafiki nakuona. Hahahaaa.
Hahahaaa. Halafu hawasomagi alama za nyakati pale wanapokuwa wanajiamini mara nyingi ndo wanapoumbuka.hahahaha, jamaa kweli mbumbumbu dah, wamefungua nyuzi nyingi za kimbmbumbumbu
Ahsante rafiki. Huu ni mwanzo tu.rafiki hongera,kwa kunyamazisha mbwa/mbumbumbu hawa
nimeona rafiki,sio kwa pira lile,mgeni mpk kaogopaAhsante rafiki. Huu ni mwanzo tu.
bado hizo hesabu zako zipo?Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
mbumbumbu anasomaje alama?Hahahaaa. Halafu hawasomagi alama za nyakati pale wanapokuwa wanajiamini mara nyingi ndo wanapoumbuka.
Next derby Bora wasiingie uwanjani,Kwani kila mtu na Zawadi ya yai la kwenda Nato nyumbani🏃🏃nimeona rafiki,sio kwa pira lile,mgeni mpk kaogopa
Acha kabisa rafiki.nimeona rafiki,sio kwa pira lile,mgeni mpk kaogopa
mahesbu ya kihasibu yako hvUzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account