Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga


Umeonyesha upumbafu wako hapo. Kwa hiyo mwisho wa mwaka balance c/f kwenye Registration itakuwa 800m kwa mtu mmoja? Huu ndio upumbavu mnsofundishwa vyuoni au WE ulikuwa unawasindikiza wenzako? Idiot.
Kumbuka WE taahira credit balance kwenye p&l account ni faida.
 
Hebu tuambie hivi ukiingia makundi Bei gani vile🥱.je hasara imepungua ,imeisha au imeongezeka🦁thimbaaa wee🏃🏃
 
hahahaha,jamaa hasara sana, ama kwdli rage hakukosea kuita nyie mbumbumbu
 
bado hizo hesabu zako zipo?
 
nimeona rafiki,sio kwa pira lile,mgeni mpk kaogopa
Acha kabisa rafiki.

Na hawakuamini sababu si ajabu walipoona tunatokea Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wao wakajua wakiwa kwao watakuwa wamapata wale wale mchekea kama ilivyokuwa Kipanga.
 
mahesbu ya kihasibu yako hv

Milioni 200 zilitumika siku ya derby nadhani uliona
milion 200 zingine zimetuka tunis

Unataka hesabu nyingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…