Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Asikusumbue kichwa Huyo Popoma [emoji38][emoji38]mahesbu ya kihasibu yako hv
Milioni 200 zilitumika siku ya derby nadhani uliona
milion 200 zingine zimetuka misri
Unataka hesabu nyingine?
Hahahahaaa. Ni kweli haezi kabisambumbumbu anasomaje alama?
Jana kaleta million 500, hivyo ameingiza faida ya million 100! Unaumwa si bureUzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Kihasabu hesabu zimeenda vyema.Jana kaleta million 500, hivyo ameingiza faida ya million 100! Unaumwa si bure
Kihasibu sijui. Ila kibiashara ni biashara ambayo umewekeza pesa mingi lkn return yake inatumia mda mrefu kurudi kiasi kwamba mpaka hioni kama inakulipa. Mf umewekeza ml 100 ila kwa mwaka unapata faida afu3.Hasara inapungua au inaendelea ? naomba wataalamu wa economics na accountancy wanisaidie #KihasibuImekaaje
ROI haiendani na uhalisia wa ulichowekezaKihasibu sijui. Ila kibiashara ni biashara ambayo umewekeza pesa mingi lkn return yake inatumia mda mrefu kurudi kiasi kwamba mpaka hioni kama inakulipa. Mf umewekeza ml 100 ila kwa mwaka unapata faida afu3.
Kabisa kumbe waelewa weyeROI haindani na uhalisia wa ulichowekeza
Hamjafikia hata Break even point mpaka sasaHasara inapungua au inaendelea ? naomba wataalamu wa economics na accountancy wanisaidie #KihasibuImekaaje
Anachodeliver mpaka sasa ukilinganisha na gharama za kumleta,bado hazi reflect uhalisia wa gharama iliyotumika.Kabisa kumbe waelewa weye
Poleni Kwa Mnamaumivu makali mnayopitia nyie mbumbumbu fc. Hiyo ndio futiboliHamjafikia hata Break even point mpaka sasa
Hata msimu mmoja haujaisha umesha-conclude ni mchezaj mbaya, Tanzania ni moja ya nchi ya ajabu sana ndo maana hata kwa watoto wetu ni ngumu kufanya vizuri kwenye mambo mengi sababu kabla hawajaanza safari wanakatishwa tamaa vibaya mnoAnachodeliver mpaka sasa ukilinganisha na gharama za kumleta,bado hazi reflect uhalisia wa gharama iliyotumika.
Wewe unajua tulimleta Kwa kazi gani? Mbumbumbu bana yaani mnatafuta mahali pa kuwapa faraja ili mfarijike[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Anachodeliver mpaka sasa ukilinganisha na gharama za kumleta,bado hazi reflect uhalisia wa gharama iliyotumika.
Hitimisho kamili utapata baada ya kutumikia angalau miziki miwili.Kihasibu sijui. Ila kibiashara ni biashara ambayo umewekeza pesa mingi lkn return yake inatumia mda mrefu kurudi kiasi kwamba mpaka hioni kama inakulipa. Mf umewekeza ml 100 ila kwa mwaka unapata faida afu3.
Soma kwanza hii sentensi yangu kama sehemu ya comment uliyoniquote "Anachodeliver mpaka sasa......." Ungeielewa usingekuja na hiyo comment yako.Mbona kiswahili ni lugha inayoeleweka vizuri tu.Hata msimu mmoja haujaisha umesha-conclude ni mchezaj mbaya, Tanzania ni moja ya nchi ya ajabu sana ndo maana hata kwa watoto wetu ni ngumu kufanya vizuri kwenye mambo mengi sababu kabla hawajaanza safari wanakatishwa tamaa vibaya mno