Akili za Utopolo utazijua tu.Aliyewapeni hilo jina aliona mbali sana.Wewe unajua tulimleta Kwa kazi gani? Mbumbumbu bana yaani mnatafuta mahali pa kuwapa faraja ili mfarijike[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu allen umenena vemaWachezaji wa Yanga wana Jihad siku zote na mashabiki wao wana Hasira.
waliposema nyumba Mwiko walikuwa wanamaanisha.
Ngoja sasa waje wakutimulie vumbi. Maana wao wako bize na Dejan wanasahau wana watu kibao pale hata goli moja hawana.
Sasa kati ya yeye na wewe nani ni takataka? Mtu uliyestaarabika unaitaje wenzio takataka kisa mada aliyoanzisha[emoji848]Wewe takataka Bado hasara unahesabu mpaka Leo kenge mmoja
"Anaoandikaga" [emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]
Kila Uzi anaoandikaga huyu jamaa huwa unakuja kubuma
Dada punguza jazbaSasa kati ya yeye na wewe nani ni takataka? Mtu uliyestaarabika unaitaje wenzio takataka kisa mada aliyoanzisha[emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kambole anaweza kuwa bora mara 2 ya Azizi Ki
Domokaya hua unaingizwa chaka na jamaa yakoKambole anaweza kuwa bora mara 2 ya Azizi Ki
YametimiaMkuu Huwa haujifunzi tu Kwa nyuzi zako za aina hii[emoji848][emoji848][emoji848]??
Mara zote zimekuwa zikikuumbua na ushahidi upo humu jukwaa..
Muda ni mwalimu mzuri tutakuja kufukua hili kaburi
Scars huwa ni chawa wa okwibobansunzu kwaio hata mataputapu ya jamaa yake huwa anayasapoti tu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787]Domokaya hua unaingizwa chaka na jamaa yako
Umesoma niliyemquote kwanza au ndiyo umejisikia tu kucoment.Dada punguza jazba
Azizi Ki hana maajabu yeyote ya kushangazaDomokaya hua unaingizwa chaka na jamaa yako
Akifanya kitukio chochote uwanjani mnakuja kuamsha uziScars huwa ni chawa wa okwibobansunzu kwaio hata mataputapu ya jamaa yake huwa anayasapoti tu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787]
Usiseme hayo maneno mbele ya Tz oneAzizi Ki hana maajabu yeyote ya kushangaza
tunakuja kuthibitisha haya maneno ya ropo ropo mwenzakoAkifanya kitukio chochote uwanjani mnakuja kuamsha uzi
uoni kama hiyo tu inathibitisha kuwa ni mbahatishaji?
Ye mwenyewe Azizi Ki anaelewa